Mhe. Mnyika live ITV katika 'Malumbano ya hoja'

Mhe. Mnyika live ITV katika 'Malumbano ya hoja'

CHADEMA imesomba wanachama wake na kuwapeleka kwenye kipindi mkuu
Tutawasomba na siku ya kwenda kupiga kura, inaoneakna huelewi kitu kimoja ya kuwa kwenye vijana kumi ccm ni mmoja au hakuna kabisa....fanya kiutafiti kidogo utagundua...
 
Kwenye malumbano cdm kama kawaida yao waliingia na majibu. Licha ya mjumbe kutoka bunge kuwaeleza kuwa Mhe.Kashilila alikuwa anatoa mawazo ya wabunge wengine na hadi sasa hakuna mpango wa aina yoyote wa kuzuia matangazo live-bado cdm walikuwa wanajichanganya kwa kung'ang'ania kana kwamba tayari imepitishwa kutotangazwa live.
Kuna kijana mmoja nadhani aliwafunika wote kwa kuwaeleza wajumbe hasa wa cdm kuwa wanachanganya mada.Cdm wanadai kutopata habari ni kuvunja haki ya kikatiba ya kupata habari, vizuri, lkn yule kijana alisema ni lazima tafsiri iwe wazi 'tatizo ni kupata taarifa au taarifa ipatikane muda gani' swala hapa ni kupata taarifa na sio lazima iwe live. SWALI gumu lilikuja pale mjumbe mmoja alipouliza kama kweli watu wanataka haki ya kupata taarifa mbona hawajaandamana kushinikiza mahakama ziwe live katika kuendesha mahakama? Ama kweli mdahalo unaonesha umbumbu wavijana kitanzania, mbaya zaidi wanaanza na majidai ya --mimi naitwa---niko mwaka watatu chuo kikuu dsm,ifm, n.k. Sasa sikiliza utumbo wanaongea hata STD VII hawezi kuongea.

Hiyo taarifa we unadhani kwanini inacheleweshwa kama technology ya kurusha live ipo its just muzzling the press. wanataka kuedit bunge!! Hata mchakato majimboni ulwahudhi. Suala la kuedit na kukataza binge kurushwa wazi hiyo haipo popote duniani iko bongo tu tunazidi kuwa mabongo lala. some people have to stand up to these guys alafu wengine wetu bado wanawaua kina mnyika
 
Kitu kingine ambacho sijakipenda na sio mdahalo huu tu hata mingine ni biasness ya ITV. Mfano jana, waendeshaji walipokuwa wanatoa nafasi kwa meza kuu mara nyingi Mnyika aliwekwa kuwa mzungumzaji wa mwisho ili iwe iwe faida kwake kuzima hoja za wengine. Hata waendesha kipindi wanaonesha ushabiki wa kisiasa na chuki kwa serikali. Mfano pale mwanzo dada mmoja alipewa nafasi muda mrefu kwa kuwa tu alikuwa anaisema vibaya serikali na chama chake-akapewa muda mrefu sana. Mimi nilidhani yule kiongozi kutoka bungeni ndio angekuwa anapewa muda wa mwisho wa kutolea majibu ya wajumbe wote maana lile lilimuhusu zaidi. Mimi naamini malumbano ya hoja yanavyoendeshwa na kusimamiwa ni wazi watangazaji wamepata maelekezo kutoka juu au nao wanaonesha uchadema wao. Anaebisha aangalie malumbano yaliyopita yanayohusu mijadala ya kisiasa atakubaliana nami.
 
Kitu kingine ambacho sijakipenda na sio mdahalo huu tu hata mingine ni biasness ya ITV. Mfano jana, waendeshaji walipokuwa wanatoa nafasi kwa meza kuu mara nyingi Mnyika aliwekwa kuwa mzungumzaji wa mwisho ili iwe iwe faida kwake kuzima hoja za wengine. Hata waendesha kipindi wanaonesha ushabiki wa kisiasa na chuki kwa serikali. Mfano pale mwanzo dada mmoja alipewa nafasi muda mrefu kwa kuwa tu alikuwa anaisema vibaya serikali na chama chake-akapewa muda mrefu sana. Mimi nilidhani yule kiongozi kutoka bungeni ndio angekuwa anapewa muda wa mwisho wa kutolea majibu ya wajumbe wote maana lile lilimuhusu zaidi. Mimi naamini malumbano ya hoja yanavyoendeshwa na kusimamiwa ni wazi watangazaji wamepata maelekezo kutoka juu au nao wanaonesha uchadema wao. Anaebisha aangalie malumbano yaliyopita yanayohusu mijadala ya kisiasa atakubaliana nami.
YawningSmiley.jpg
 
Kitu kingine ambacho sijakipenda na sio mdahalo huu tu hata mingine ni biasness ya ITV. Mfano jana, waendeshaji walipokuwa wanatoa nafasi kwa meza kuu mara nyingi Mnyika aliwekwa kuwa mzungumzaji wa mwisho ili iwe iwe faida kwake kuzima hoja za wengine. Hata waendesha kipindi wanaonesha ushabiki wa kisiasa na chuki kwa serikali. Mfano pale mwanzo dada mmoja alipewa nafasi muda mrefu kwa kuwa tu alikuwa anaisema vibaya serikali na chama chake-akapewa muda mrefu sana. Mimi nilidhani yule kiongozi kutoka bungeni ndio angekuwa anapewa muda wa mwisho wa kutolea majibu ya wajumbe wote maana lile lilimuhusu zaidi. Mimi naamini malumbano ya hoja yanavyoendeshwa na kusimamiwa ni wazi watangazaji wamepata maelekezo kutoka juu au nao wanaonesha uchadema wao. Anaebisha aangalie malumbano yaliyopita yanayohusu mijadala ya kisiasa atakubaliana nami.

One could urgue Itv ni makada wa ccm they usually call in ministers to clear the air with their 'dakika 45' it is very obvious its an elite media
 
wachangiaji wengi ni viwavi wa cdm ,kipindi kimepoteza ladha

Safi sana mkuu, kwanza mlisema JF ni ya chadema, sasa malumabni ya hoja, at last mtasema nchi ni ya chadema... raha sana yani...
 
Haitofautiani na kale kakipima joto ka ITV na Redio one ni upotezaji wa muda tu. Maswali elekezi tupu. Mfano kipima joto kinauliza " Kukithiri kwa uchafu katika soko la---je, haihatarishi afya ya walaji'? Sasa hilo swali kweli au kwa sababu lina alama ya kuuliza. Sasa likiwa swali la kisiasa na hasa linapotakiwa kuonyesha serikali imeshindwa linaulizwa hivi, "Wanafunzi kusomea chini ya miti, nani alaumiwe?" Sasa hapo unataka jibu gani na ili iwe nini! Kwanini swali kama hilo ITV isiliweke ifuatavyo, "Wanafunzi kusomea chini ya miti, nini kifanyike? Unajua vyombo vya habari vinaweza kujenga au kubomoa kama vitakuwa haviko wazi. Kama chombo cha habari kina mlengo wa chama fulani au dini fulani kijiache wazi-ni haki ya chombo chochote cha habari kuwa na upande,mfano gazeti la Tanzania Daima ni gazeti la propaganda la chadema kama lilivyo Uhuru kwa CCM. Hivyo, haitatokea hata siku moja Tanzania daima ikaisifia CCM na serikali yake wala haitatokea gazeti la Uhuru kuisifia chadema na kuiponda serikali. Hiyo ndio tunataka, sio chombo cha habari kinaonekana wazi kiko upande gani lakini bado kinataka tuamini hakina upande-huo ni udhaifu.
 
aisee hii mada hata sikuifaidi Tanesco walitoa feeder mapema huku Ubungo nhc nadhani walipomwona jembe mnyika wakajua Ubungo itatetemeka kwa hasira za kukosa maji

Mkuu nataka kupanga ubungo nhc nifanyeje? Samahani lakini.
 
Siwezi nikamsikiliza form six ya kuungaunga aka wakuwashwa kuna majembe Kama Sugu,Lema ndo wakusikiliza huyu 2015 harudi
 
Siwezi nikamsikiliza form six ya kuungaunga aka wakuwashwa kuna majembe Kama Sugu,Lema ndo wakusikiliza huyu 2015 harudi

wewe ni gamba tunakujua chizi wa ukweli,eti limejidai nalo ni likamanda kwa kujificha kwenye majina ya sugu na lema, ma-ccm inaelekea majimbo ya ubungo na kawe yanawauma sana sasa mbona 2014-2015 mnaondoka itakuaje sasa? Maana hata huko vijijini kimenuka cheki Magu,MBOZI yaliyowapata majambazi nyie,we chizi Mnyika atarudi bungeni tena kwa kishindo kikubwa zaidi.
 
Kitu kingine ambacho sijakipenda na sio mdahalo huu tu hata mingine ni biasness ya ITV. Mfano jana, waendeshaji walipokuwa wanatoa nafasi kwa meza kuu mara nyingi Mnyika aliwekwa kuwa mzungumzaji wa mwisho ili iwe iwe faida kwake kuzima hoja za wengine. Hata waendesha kipindi wanaonesha ushabiki wa kisiasa na chuki kwa serikali. Mfano pale mwanzo dada mmoja alipewa nafasi muda mrefu kwa kuwa tu alikuwa anaisema vibaya serikali na chama chake-akapewa muda mrefu sana. Mimi nilidhani yule kiongozi kutoka bungeni ndio angekuwa anapewa muda wa mwisho wa kutolea majibu ya wajumbe wote maana lile lilimuhusu zaidi. Mimi naamini malumbano ya hoja yanavyoendeshwa na kusimamiwa ni wazi watangazaji wamepata maelekezo kutoka juu au nao wanaonesha uchadema wao. Anaebisha aangalie malumbano yaliyopita yanayohusu mijadala ya kisiasa atakubaliana nami.

Haha haa haa ma-CCM bana,kumbe ndo janja yenu kuomba kuwa wa mwisho ili mfunike hoja zenye msing.ndo maana hivi karibuni kwenye kipimajoto itv tulimshudia naibu spika Job Ndugai akiomba kuwa mchangiaji wa mwisho kwenye mjadala na Tundu Lisu. Shame on you!
 
Haitofautiani na kale kakipima joto ka ITV na Redio one ni upotezaji wa muda tu. Maswali elekezi tupu. Mfano kipima joto kinauliza " Kukithiri kwa uchafu katika soko la---je, haihatarishi afya ya walaji'? Sasa hilo swali kweli au kwa sababu lina alama ya kuuliza. Sasa likiwa swali la kisiasa na hasa linapotakiwa kuonyesha serikali imeshindwa linaulizwa hivi, "Wanafunzi kusomea chini ya miti, nani alaumiwe?" Sasa hapo unataka jibu gani na ili iwe nini! Kwanini swali kama hilo ITV isiliweke ifuatavyo, "Wanafunzi kusomea chini ya miti, nini kifanyike? Unajua vyombo vya habari vinaweza kujenga au kubomoa kama vitakuwa haviko wazi. Kama chombo cha habari kina mlengo wa chama fulani au dini fulani kijiache wazi-ni haki ya chombo chochote cha habari kuwa na upande,mfano gazeti la Tanzania Daima ni gazeti la propaganda la chadema kama lilivyo Uhuru kwa CCM. Hivyo, haitatokea hata siku moja Tanzania daima ikaisifia CCM na serikali yake wala haitatokea gazeti la Uhuru kuisifia chadema na kuiponda serikali. Hiyo ndio tunataka, sio chombo cha habari kinaonekana wazi kiko upande gani lakini bado kinataka tuamini hakina upande-huo ni udhaifu.

1.Ungependa bunge lisirushwe live?, 2) unaweza kusema nini juu ya utendaji wa tbc?
 
Back
Top Bottom