Mhe. Mnyika live ITV katika 'Malumbano ya hoja'

Mhe. Mnyika live ITV katika 'Malumbano ya hoja'

Ni chama kinachoifanya CCM ikose amani, haijawahi kutokea CCM wakawa na hofu kama sasa, wala hatujawahi kuwa na bunge kama hili la siku hizi, hakika CHADEMA inawashika CCM.
 
Kamanda Mwasiwelwa Perfect ametikisa kwenye Malumbano ya hoja.Kamrarua Spika na Naibu wake na kuwataka wajiuzulu.

Huyu Mwasiwelwa ni nyota ndani ya Chadema katika vijana.
 
mnyika ametia msumari wa mwisho pale mwanasheria wa ccm alipojaribu kutetea kwamba katika website ya bunge hansadi zote zipo mnyika akamwambia bunge la kumi bado huku akimwambia msemaji wa bunge amsaidie kumwelewesha huyo mwanasheria
kuhusu kukata rufaa mnyika alisema mpaka sasa amekata rufaa tano hakuna iliyojibiwa
 
Mimi ni mwananchama wa NHIF (NATIONAL HEALTH INSURANCE FUND) dukuduku langu ni kutaka kujua eti huduma ya matibabu ya meno hailipiwi na huu mfuko. Mn nimetembele hospitali moja leo nikiwa na tatizo meno kuuma nilipofika hapo hospitali wakasema natakiwa kusafishwa meno lkn kusafisha meno ni laki moja, na hii huduma.NHIF hailipi kwa huduma hizi lazima.nilipe.toka mfukoni mwangu ss ebu nijuzeni ili jambo ni kweli, mana mhusika kanifafanulia eti NHIF hawatambui matibabu ya kusafisha meno ss sijui wao NHIF wanatambua nini.

Mimi mdau Kishimba75

Jamii forum haina mpinzani...
 
Kuna mpuuzi mmoja,tena kijana,alinishangaza sana!
Alidai,anapenda Bunge lisirushwe LIVE,kwani wabunge vijana,wanatumia matangazo hayo kuuza sura! Hawana cha maana wanachochangia,ni kelele tu! Na hata kama halitarushwa LIVE,hiyo recording itayorushwa baadaye,ihaririwe! Kwa ufupi,alionyesha chuki kubwa kwa wabunge vijana!
 
Mimi ni mwananchama wa NHIF (NATIONAL HEALTH INSURANCE FUND) dukuduku langu ni kutaka kujua eti huduma ya matibabu ya meno hailipiwi na huu mfuko. Mn nimetembele hospitali moja leo nikiwa na tatizo meno kuuma nilipofika hapo hospitali wakasema natakiwa kusafishwa meno lkn kusafisha meno ni laki moja, na hii huduma.NHIF hailipi kwa huduma hizi lazima.nilipe.toka mfukoni mwangu ss ebu nijuzeni ili jambo ni kweli, mana mhusika kanifafanulia eti NHIF hawatambui matibabu ya kusafisha meno ss sijui wao NHIF wanatambua nini.

Mimi mdau Kishimba75

Daaah!
Haya nayo,yaliongelewa kwenye kipindi hicho cha 'MALUMBANO YA HOJA'?
 
Kuna mpuuzi mmoja,tena kijana,alinishangaza sana!
Alidai,anapenda Bunge lisirushwe LIVE,kwani wabunge vijana,wanatumia matangazo hayo kuuza sura! Hawana cha maana wanachochangia,ni kelele tu! Na hata kama halitarushwa LIVE,hiyo recording itayorushwa baadaye,ihaririwe! Kwa ufupi,alionyesha chuki kubwa kwa wabunge vijana!

Lofa yule ni gamba anaongea kwa panic bila kufikiria.
 
aisee hii mada hata sikuifaidi Tanesco walitoa feeder mapema huku Ubungo nhc nadhani walipomwona jembe mnyika wakajua Ubungo itatetemeka kwa hasira za kukosa maji
 
Kuna kale kamtu kanaitwa mande likwepa yaani ni kapuuzi..!eti kiongozi wa michezo ya jadi na tai tai zake wapi na lini? Njaa mbaya sana.
 
Naona hoja za Watu katika ITV.. Watu wanavyochangia naona sasa chadema imewaamusha watu na kuwafanya wasiwe waoga na kuonyesha hisia zao...

PEOPLE's..................

Nchi haiwezi kuendeshwa kwa hisia lakini, nakubalina na kupinga mkakati wowote ule wa kudamaza democrasia,fikra,na upashanaji wa habari na taarifa.
 
wachangiaji wengi ni viwavi wa cdm ,kipindi kimepoteza ladha
Ulitegemea utapata wachangiaji wa CCM wakati mliwakosesha nafasi ya kwenda shule sasa watapata wapi uwezo wa kujenga hoja na kuweza kupiga simu,wao wanaangalia tu hawana hata ujasiri wa kuchangia labda ingekuwa kupiga vigelegele na kujiburuza chini wangefanya lakini sio kujenga hoja
 
Ndio wengi Tanzania kwa sasa,hivyo kila mahali lazima wataonekana wengi"
.....au chadema wanamwamko chanya kwenye masuala ya msingi,sio ccm mpaka wapewe posho na wakodishiwe malori,wapi Tambwe Hiza na mchakato wa katiba..
 
Kwenye malumbano cdm kama kawaida yao waliingia na majibu. Licha ya mjumbe kutoka bunge kuwaeleza kuwa Mhe.Kashilila alikuwa anatoa mawazo ya wabunge wengine na hadi sasa hakuna mpango wa aina yoyote wa kuzuia matangazo live-bado cdm walikuwa wanajichanganya kwa kung'ang'ania kana kwamba tayari imepitishwa kutotangazwa live.
Kuna kijana mmoja nadhani aliwafunika wote kwa kuwaeleza wajumbe hasa wa cdm kuwa wanachanganya mada.Cdm wanadai kutopata habari ni kuvunja haki ya kikatiba ya kupata habari, vizuri, lkn yule kijana alisema ni lazima tafsiri iwe wazi 'tatizo ni kupata taarifa au taarifa ipatikane muda gani' swala hapa ni kupata taarifa na sio lazima iwe live. SWALI gumu lilikuja pale mjumbe mmoja alipouliza kama kweli watu wanataka haki ya kupata taarifa mbona hawajaandamana kushinikiza mahakama ziwe live katika kuendesha mahakama? Ama kweli mdahalo unaonesha umbumbu wavijana kitanzania, mbaya zaidi wanaanza na majidai ya --mimi naitwa---niko mwaka watatu chuo kikuu dsm,ifm, n.k. Sasa sikiliza utumbo wanaongea hata STD VII hawezi kuongea.
 
Back
Top Bottom