Majoja
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 612
- 186
Mnyika azidi kucharukia mfumuko wa bei
Na Tamali Vullu
(Tanzania Daima 24th Oct 2011)
"Kutokana na kukithiri kwa mfumuko wa bei za bidhaaa mabali mbali mchini. Mbunge wa Ubungo John Mnyika,anakusudia kuwasilisha muswada binafsi Bungeni ili Serikali itunge sgeria ya kudhibiti bei za bidhaa muhimu.
Akizungumza na waandishi wa hahari jijini Dar es salaam, Mnyika alisema kutokana na mfumuka wa bei za bidhaa muhimi, hali ya maisha ya Watanzania imezidi kuwa ngumu kila kukicha.
Alisema hali hiyo ikiachwa hivi hivi ni hatari kwa uchumi wa nchi na kwamba Taifa linaweza kuingia katika machafuko makubwa."
My Take:
Mtazamo wa utatuzi wa mfumuko wa bei nchini nasikitika kucomment kuwa si wa kisomi sana na nilitegemea fikra zaidi kutoka kwa Mh. mnyika juu ya hili.Nakubaliana na Mnyika as far as the EFFECTS za mfumiko wa bei na si zaidi ya hapo.
Si jambo linaloeleweka kuwekea sheria mfumuko wa bei-to the layman yes.
Tulikubali wenyewe zaidi ya miaka ishirini na tano iliyopita juu ya kutumia nguvu ya soko katika kuendesha uchumi.Sijui ni wangapi wanaoikumbuka SCOPO ya Ndg Wilfred Mwabulambo.
Ilifanya kazi tu katika misingi ya ujamaa na controlled economy. Leo tukipanga aei za vitu muhimu wakati uzalishaji hakuna hilo halieleweki wala si sustainable. Nilitegemea Mh Mnyika akazanie UZALISHAJI mali wa bidhaa hizo kwa nguvu zote na kwa tija ili bei ziweze kushuka.
Leo ukipangia bei ya sukari kuwa Tshs 1,900 wakati demand yake inadictate at Tshs 2,500 ni kujidanganya.
Bidhaa inakuwa muhimu kwako pale tu unapoweza kumudu kuinunua, bidhaa hiyo ikiwa nje ya uwezo wako ina-cease kuwa na umuhimu kwako.
Wabunge wetu vijana nawashauri msome sana hizi economical dynamics ili muweze kutumika vizuri katika vyombo mnavyo wawakilisha wananchi.
Kikubwa zaidi ni serikali yenyewe kubana matumizi yake ili matumizi yalingane na kipato chake. Kinachoelekea kuwa kimetokea (mfumuko wa bei)ni kuwa Serikali inaendelea kuchapisha fedha zisizo na backing ya uzalishaji, hivyo more money chasing the few commodities at large.Serikali ikiendelea na msimamo huu tuatuwa na pesa nyingi sana kwenye mzunguko wa biashara, fedha ambazo si halali kuwepo.
Nina uhakika economists waliobobea wana cheka juu ya hii suggestion ya Mh Mnyika kwa vile haitekelezeki.
Na Tamali Vullu
(Tanzania Daima 24th Oct 2011)
"Kutokana na kukithiri kwa mfumuko wa bei za bidhaaa mabali mbali mchini. Mbunge wa Ubungo John Mnyika,anakusudia kuwasilisha muswada binafsi Bungeni ili Serikali itunge sgeria ya kudhibiti bei za bidhaa muhimu.
Akizungumza na waandishi wa hahari jijini Dar es salaam, Mnyika alisema kutokana na mfumuka wa bei za bidhaa muhimi, hali ya maisha ya Watanzania imezidi kuwa ngumu kila kukicha.
Alisema hali hiyo ikiachwa hivi hivi ni hatari kwa uchumi wa nchi na kwamba Taifa linaweza kuingia katika machafuko makubwa."
My Take:
Mtazamo wa utatuzi wa mfumuko wa bei nchini nasikitika kucomment kuwa si wa kisomi sana na nilitegemea fikra zaidi kutoka kwa Mh. mnyika juu ya hili.Nakubaliana na Mnyika as far as the EFFECTS za mfumiko wa bei na si zaidi ya hapo.
Si jambo linaloeleweka kuwekea sheria mfumuko wa bei-to the layman yes.
Tulikubali wenyewe zaidi ya miaka ishirini na tano iliyopita juu ya kutumia nguvu ya soko katika kuendesha uchumi.Sijui ni wangapi wanaoikumbuka SCOPO ya Ndg Wilfred Mwabulambo.
Ilifanya kazi tu katika misingi ya ujamaa na controlled economy. Leo tukipanga aei za vitu muhimu wakati uzalishaji hakuna hilo halieleweki wala si sustainable. Nilitegemea Mh Mnyika akazanie UZALISHAJI mali wa bidhaa hizo kwa nguvu zote na kwa tija ili bei ziweze kushuka.
Leo ukipangia bei ya sukari kuwa Tshs 1,900 wakati demand yake inadictate at Tshs 2,500 ni kujidanganya.
Bidhaa inakuwa muhimu kwako pale tu unapoweza kumudu kuinunua, bidhaa hiyo ikiwa nje ya uwezo wako ina-cease kuwa na umuhimu kwako.
Wabunge wetu vijana nawashauri msome sana hizi economical dynamics ili muweze kutumika vizuri katika vyombo mnavyo wawakilisha wananchi.
Kikubwa zaidi ni serikali yenyewe kubana matumizi yake ili matumizi yalingane na kipato chake. Kinachoelekea kuwa kimetokea (mfumuko wa bei)ni kuwa Serikali inaendelea kuchapisha fedha zisizo na backing ya uzalishaji, hivyo more money chasing the few commodities at large.Serikali ikiendelea na msimamo huu tuatuwa na pesa nyingi sana kwenye mzunguko wa biashara, fedha ambazo si halali kuwepo.
Nina uhakika economists waliobobea wana cheka juu ya hii suggestion ya Mh Mnyika kwa vile haitekelezeki.