OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
wadau!!
Naoamba nielekeze hoja hii kwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani mh. Mbowe na Joyce Mukya mbunge wa viti maalumu CHADEMA.
Ni muda sasa umepita tumesikia mengi kuhusu uhusiano siri wa kimpaenzi unaendelea kati ya mh Mbowe na Joyce Mukya Lakin si mh mbowe wala joyce mukya aliyewahi kutoka hadharani kukanusha taarifa hii.
Ni wazi kuwa wote wamebaki kimya,hakuna anayetaka wala kusubutu kulitoka nadharani kuujulisha umma wa watanzania juu ya jambo hili,ikumbukwe kwamba ni hivi majuzi tu mh. Mbowe alituhumiwa kumbadilishia mh. Mukya safari mpaka kufikia hatua ya mh. Mbowe kumwandia spika barua ya kumwomba ambadikishie mh. Mukya safari ili aungane naye Dubai kula raha.
Ni wazi kabIsa kwamba haya ni maisha binafsi ya mh. Mbowe ila akiwa kama kiongozi anayepaswa kuwa kioo cha jamii alipaswa kuweka mambo yake ya uhusiano hadharani.
Ni majuzi tu kuna uzi uliletwa humu jamvinI na msemaji wa chadema kuwa mh. Mbowe na Lilian Mbowe walishaachana kitambo,lakini mleta uzi hakufafanuwa kiundani kwanini ilifikia hatua hiyo ya kuachana.
Swali la kujiuliza, kama kweli mh. Mbowe ameachana na Lilian kwanini basi asiweke mambo hadharani kuwa Mukya sasa ndiye mke wake?
Kwa upande mwingine au basi ni wazi kuwa anamuogopa mzee Mtei baba yake na Liliani kwamba endapo ataweka wazi uhusiano wake wa kimapenzi atatimuliwa kwenye chama?
Je mh. Mbowe haoni kuna haja yeye kama kiongozi kuwa na mwanamke mmoja kama mke ili jamii ijifunze kutoka kwake?
Au basi tuamini kuwa yawezekana naye Joyce Mukya ni mke wa mtu?
Naoamba nielekeze hoja hii kwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani mh. Mbowe na Joyce Mukya mbunge wa viti maalumu CHADEMA.
Ni muda sasa umepita tumesikia mengi kuhusu uhusiano siri wa kimpaenzi unaendelea kati ya mh Mbowe na Joyce Mukya Lakin si mh mbowe wala joyce mukya aliyewahi kutoka hadharani kukanusha taarifa hii.
Ni wazi kuwa wote wamebaki kimya,hakuna anayetaka wala kusubutu kulitoka nadharani kuujulisha umma wa watanzania juu ya jambo hili,ikumbukwe kwamba ni hivi majuzi tu mh. Mbowe alituhumiwa kumbadilishia mh. Mukya safari mpaka kufikia hatua ya mh. Mbowe kumwandia spika barua ya kumwomba ambadikishie mh. Mukya safari ili aungane naye Dubai kula raha.
Ni wazi kabIsa kwamba haya ni maisha binafsi ya mh. Mbowe ila akiwa kama kiongozi anayepaswa kuwa kioo cha jamii alipaswa kuweka mambo yake ya uhusiano hadharani.
Ni majuzi tu kuna uzi uliletwa humu jamvinI na msemaji wa chadema kuwa mh. Mbowe na Lilian Mbowe walishaachana kitambo,lakini mleta uzi hakufafanuwa kiundani kwanini ilifikia hatua hiyo ya kuachana.
Swali la kujiuliza, kama kweli mh. Mbowe ameachana na Lilian kwanini basi asiweke mambo hadharani kuwa Mukya sasa ndiye mke wake?
Kwa upande mwingine au basi ni wazi kuwa anamuogopa mzee Mtei baba yake na Liliani kwamba endapo ataweka wazi uhusiano wake wa kimapenzi atatimuliwa kwenye chama?
Je mh. Mbowe haoni kuna haja yeye kama kiongozi kuwa na mwanamke mmoja kama mke ili jamii ijifunze kutoka kwake?
Au basi tuamini kuwa yawezekana naye Joyce Mukya ni mke wa mtu?