Mhe. Mbowe na Mhe. Joyce Mukya mtafanya hili suala kuwa siri mpaka lini?

Status
Not open for further replies.
Kwa Baba riz Ana wake wangap?? Ulishawah kuuliza kuhusu Hilo?? Je riz na Yule alooa majuz n watoto wa mama salma?? Hebu tuongeleen mambo ya msing yanayogusa maisha yetu ya kila siku kwa maslah ya watz weng

We pimbi tofautisha kati ya mke na hawala. First lady ni mke wa prezdaa, lilian hawala wa dj. Huoni tofaut?
 
Yaan niache kufkiria bei ya umem nifkr mahusiano ya mbowe yanahusian nin na makal ya maish yang?
 
mim huwa najiuliza hiki chama miongoni mwa sera zake hii ya UZINZI imo?
Mbowe nilikuheshim sana na nilikuona wa maana sana ila katika hili la kutaka kulipiza kisasi kwa dr.slaa sijafurahia. kwa kuwa slaa anatembea na mke wa mtu ngoja nami niponde raha na hawala mukya hamtufanyii vema wanakondoo wenu. Tatzo kwa kuwa dr. Kaenda marekani na hawala nawe ukaamua uende dubei! Hivi visasi mpka lini?
 

Mbona Vasco Da gama mwenye hadhi kubwa zaidi ya Mbowe hawawahi kuweka mambo yake wazi ili jamii ikajifunza kutoka kwake? Unajua huyu mwenzetu ana wanawake wangapi?
 
Hoji mambo yamasingi ww..ubongo wako unakamasi? Ushaambiwaga Mbowe na lady wke walishaachana mmmda, kilichobak niu-busnes partiner tu kat yao,au unataka akuoe ww? Haya embu tuambie huyo Joyce nimke wamtu?. Hoji kaongea nn kwny OPD ya m4c leo..poor u!
 
Hivi yule mbunge komba yuko na nini kweli?
nikumbusheni ndo nianze kumjadili mbunge wa Hai.
 
Last edited by a moderator:
Mbowe anapaswa aombe radhi jamii kwani hii ni aibu kutumia kodi za wananchi kwa mambo ya ngono hii ni aibu kwa Mbowe na Chadema.
kAMA DUSHELELE LAKO HALIFANYI KAZI ACHA ZINAZOFANYA KAZI ZIFANYE NAHISI WE NI SHOGA NA HUYO MLETA MADA.KAPUYA ALIFANYAJE NAE HAU HUJUI KUKU WE
 
Kidini yetu baba Ritz anaruhusiwa kuwa na wake wanne;
Tena wanatakiwa wakae pamoja kwenye boma moja.

Mbowe ni muasherati,
Ameacha mke ameenda kulala na kimada.


 
Last edited by a moderator:
Ishu ni kwamba tunataka uwazi na ukweli,ya baba miraji yanajulikana na yapo wazi ndo maana hayaojiwi,Sasa mbowe na yeye aweke wazi sio kuficha ficha mambo.kusema eti haituhusu sio kweli sbb mbowe ni kiongozi mkubwa,au anamuogoba mzee mtei? Kama ni kweli anamuogoba bac chadema ni saccos ya mtei na wanahisa ni wakaskazini,wana cdm acheni mahaba.Kama mbwai, mbwai tu
 

mkuu hawa vijana wa ufipa usiwalaumu angalia saa yako sahv hawaoni tena kiibodi ya computer wanaandka tu,washagonga gongo za kutoshaaa
 
Ni mwaka wa nne sasa hatujapata ufafanuzi wa huyu mama na magogoni!



mke mdogo wa Vasco da Gama!!!mbona inajulikana.Nakumbuka pia wakati nyerere anatafuta uhuru mikoa mingi kulikuwa na kina mama kazi yao kumficha Nyerere majumbani kwao wakati wa mapambano ya kudai uhuru
 
Hivi Mbowe ana jini mahaba? Mtu una mke na familia lakini bado anakitembeza tembeza nje.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…