mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 14,192
- 19,118
The highest level of plagiarism is to use some one's certificates and present yourself as if you are the owner of the certificates. Ukibainika sifa zote ulizopewa na ngazi zote ulizofika kwa kutumia cheti kisicho chako kama ngazi ya kupandia zinakuwa batili hata kama ni PhD!
Mishahara yote na posho zote ulizowahi kulipwa zinahesabika ulizipata kwa njia ya udanganyifu hivyo kutakiwa kuzirudisha na kifungo juu!!!!
Ukiona Bwana yule kakaa kimya usifikiri mchezo!!! Anasubiri tu come what may! Haogopi kupoteza cheo chake, anaogopa jinai na implications zake!
Mishahara yote na posho zote ulizowahi kulipwa zinahesabika ulizipata kwa njia ya udanganyifu hivyo kutakiwa kuzirudisha na kifungo juu!!!!
Ukiona Bwana yule kakaa kimya usifikiri mchezo!!! Anasubiri tu come what may! Haogopi kupoteza cheo chake, anaogopa jinai na implications zake!