Mhe. Makonda mfungulie kesi Askofu Gwajima

Mhe. Makonda mfungulie kesi Askofu Gwajima

Huu mfupa ni mgumu kwake. Anasubiria busara za mkuu wa kaya tyu
 
aliombewa na mashehe leo atajisalimisha kanisa gani ?yawezekana miujiza ikatendeka vyeti vikageuzwa kuwa vyake !
 
Ina maana ndio unajua leo kweli hizo tuhuma anazotuhumiwa ni za kweli??
 
Yaaani hata bora usingetoa mfano huu....unaonekana kabisa kuwa wewe bado una-download kichwani. Ungesubiri kwanza mpaka uwe fully loaded ndipo ujibu.
Mm simtetei yeyote hapo. Kama gwajima anauza sembe ahukumiwe kwa sembe, kama ya bashite ni ya kweli anatumia vyeti vya mtu mwingine aondoke kwenye uongozi! Ww najua unatoka povu kumtetea bashite kwa interest zako
 
Back
Top Bottom