cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,902
- 78,951
Ni kama anajitahidi kumshambulia kuzuia wengine wasiongee wayajuayo juu yake, kiongozi wa dini kujaa chuki na kufurahiwa inanishangaza.
Makonda oyeeee
Makonda oyeeee
Ndege wafananao huruka pamoja.ha ha ha ha wafuasi wa Daud A.Bashite utawagundua tu!
Khaaa,,,[emoji845] kwani bado hajafungua.[emoji844] ..Mheshimiwa Makonda pole sana kwa jina lako kuendelea kuchafuliwa pasipo kuchukua hatua za kisheria. Kipindi cha nyuma ulishawahi kuagiza
Mhe. Kubenea akamatwe na kufikishwa Mahakamani kutokana na kutumia lugha ya matusi ambapo alipatikana na hatia na kuhukumiwa kutumikia kifungo cha nje.
Vivyo hivyo nakushauri ukafungue kesi dhidi ya Gwajima ili iwe fundisho kwa watu wengine wanaotoa taarifa za uongo kwa jamii kwa lengo la kukushushia hadhi yako. Kuendelea kukaa kimya kutamaanisha kuwa yalioongelewa ni ya kweli.
Poa atafunguakweli kabisa afungue kesi
kweli ww mbongo halisiNi kweli tena kwa kumkomoa tu, inabidi uchukue hatua ya yeye (Tapeli Gwajima) kukamatwe na kutiwa ndani mpaka kesi yake itakaposikilizwa hapo mwakani.
Siku hizi jamii forum hakuna great thinker, umeshindwa kabisa kumuelewa mleta madaWe mtoa mada mbona unapuyanga ssa,hizo taarifa za uongo zimekanushwa Na nani?
We umeelewaje?Siku hizi jamii forum hakuna great thinker, umeshindwa kabisa kumuelewa mleta mada
Yaani zero maanake hujui kila kitu! Daah! Ila ngwajima noma sanaWee hana thubutu hiyo Daudi Bashite na vyeti vyake feki. Amepata zero amezungusha yaan, zero yaan, sio four zero yaan fafafa
sasa wanamwita bure anakimbia na vyeti vyakeYan makonda bana alifkir maovu yake hayatagundulika jamaa anavyopenda sifa ingekua anasingiziwa siku nyingi angeshaita waandshi wa habar awaonyeshe vyeti ngwajima na mange wote wangeshafunguliwa mashtaka skunying sana
Ina maana unapigilia mstari kwa yaliyongelewa kuwa ni kweli?Mheshimiwa Makonda pole sana kwa jina lako kuendelea kuchafuliwa pasipo kuchukua hatua za kisheria. Kipindi cha nyuma ulishawahi kuagiza
Mhe. Kubenea akamatwe na kufikishwa Mahakamani kutokana na kutumia lugha ya matusi ambapo alipatikana na hatia na kuhukumiwa kutumikia kifungo cha nje.
Vivyo hivyo nakushauri ukafungue kesi dhidi ya Gwajima ili iwe fundisho kwa watu wengine wanaotoa taarifa za uongo kwa jamii kwa lengo la kukushushia hadhi yako. Kuendelea kukaa kimya kutamaanisha kuwa yalioongelewa ni ya kweli.
Tatizo siyo failure maana kufeli siyo jinai! Tatizo huyo bwana anasemekana anatumia cheti ambacho siyo chake! Na ameshindwa kujinasua kwa kuweka taarifa zake za SHULE tangu primary na vyeti hadharani ili kuweka kumbukumbu sawa!Muuza madawa ya kulevya utamjuwa tu jinsi anavyotokwa na povu. Failure, una data zake au unafuata upepo tu?