Mhe. Makonda mfungulie kesi Askofu Gwajima

Mhe. Makonda mfungulie kesi Askofu Gwajima

Hivi kwa mtu amabaye haoni aibu kusimama madhabauni badala ya kutoa neno anatoa macho kuangalia wake za watu....bila aibu alimtafna mke wa Mbasha na mimba juu....unawezaje kataa kuwa haka kazee akatumii madawa ya kulevya?.

Leta evidence.
 
Acheni ujinga hapa tunataka vyeti mchezo uishe tena dakika ya kwanza tu!

Tuna haki ya kuhoji mnalipwa fedha zetu mbona Bakhresa hatuhoji vyeti vyake?
 
Mheshimiwa Makonda pole sana kwa jina lako kuendelea kuchafuliwa pasipo kuchukua hatua za kisheria. Kipindi cha nyuma ulishawahi kuagiza
Mhe. Kubenea akamatwe na kufikishwa Mahakamani kutokana na kutumia lugha ya matusi ambapo alipatikana na hatia na kuhukumiwa kutumikia kifungo cha nje.

Vivyo hivyo nakushauri ukafungue kesi dhidi ya Gwajima ili iwe fundisho kwa watu wengine wanaotoa taarifa za uongo kwa jamii kwa lengo la kukushushia hadhi yako. Kuendelea kukaa kimya kutamaanisha kuwa yalioongelewa ni ya kweli.
Acha kumremba remba...Bashite weka mezani vyeti au jitumbue jipu lako mwenyewe
 
Yeye alivyochafua wenzie je?
Au ndio mkuki kwa nguruwe!!
Kabla hajamshitaki aonyeshe kwanza vyeti vyake.
 
Yan makonda bana alifkir maovu yake hayatagundulika jamaa anavyopenda sifa ingekua anasingiziwa siku nyingi angeshaita waandshi wa habar awaonyeshe vyeti ngwajima na mange wote wangeshafunguliwa mashtaka skunying sana
Mahakama yake ni Masheik
 
Bashite atakua busy anatengeneza vyeti, ndio maana mkuu wa nchi nae yupo kimya, hapo wameishawapa order baraza watengeneze vyeti, Sisi safari hii labda awaue na wazazi maana mzee bashite yupo
 
Muuza madawa ya kulevya utamjuwa tu jinsi anavyotokwa na povu. Failure, una data zake au unafuata upepo tu?
Kwa hiyo wewe ukimkuta mbakaji anapambana na jambazi utawaachanisha na kukomaa kuwa mbakaji hana uhalali wa kupambana na jambazi? Tunataka aoneshe vyeti vyake!
 
Anaweza kuulizwa maswali mahakamani ambayo hayana majibu.
 
Mheshimiwa Makonda pole sana kwa jina lako kuendelea kuchafuliwa pasipo kuchukua hatua za kisheria. Kipindi cha nyuma ulishawahi kuagiza
Mhe. Kubenea akamatwe na kufikishwa Mahakamani kutokana na kutumia lugha ya matusi ambapo alipatikana na hatia na kuhukumiwa kutumikia kifungo cha nje.

Vivyo hivyo nakushauri ukafungue kesi dhidi ya Gwajima ili iwe fundisho kwa watu wengine wanaotoa taarifa za uongo kwa jamii kwa lengo la kukushushia hadhi yako. Kuendelea kukaa kimya kutamaanisha kuwa yalioongelewa ni ya kweli.
Atathubutu
 
Rc Makonda ndiye mteule pekee wa Rais JPM anayefanya kazi na kuwatumikia wananchi

Siku za nyuma niliandika waraka wangu kuonesha kwamba Makonda anastahili nafasi ya juu kabisa ya kuwatumikia watanzania wote na sio Dsm pekee
Makonda anastahili cheo cha juu kabisa kwa sasa

Makonda aliahidi kujenga viwanja vitatu vya mchezo wa soka mkoani DSm
Leo hii balozi wa china akiambatana na mkuu huyu wa mkoa wameweka jiwe la msingi la kuanza ujenzi wa uwanja wa bandari kwa gharama ya dola 450,000/=

Na pia balozi huyu ameahidi kujenga viwanja vingine ndani ya mkoa wa dsm baada ya uwanja wa bandari kukamilika na pia kuwapatia ajira vijana zaidi ya ya 24,000 wa kitanzania katika makampuni ya kichina yanayotegemea kuanza kazi hivi karibuni
Huyu ndio aina ya kiongozi anayetakiwa hapa Tanzania
Makonda ni mfano tosha kwa sasa
Hivi kweli ni bora tuwe na maprofesa wenye vyeti lukuki lakini wasiwe na utendaji kazi kama huyu kijana?
Hivi tumkose makonda kisa hao wauza unga?
Nani anaitaji cheti cha makonda zaidi ya utendaji kazi wake?

Tunawaona wawakilishi wetu wasomi wakiwa bungeni kazi wanazofanya na sheria wanazopitisha
Majimbo yote yenye wabunge wasomi yana hali mbaya sana ya maendeleo
Wakishachaguliwa wanaamia mbezi na masaki majimboni adi kampeni zikikaribia

OMBI LANGU KWA MH RAIS

Makonda tunamuitaji sana sisi wanyonge kuliko wasomi wengine
Wasomi hawa ndio waliokuwepo kwenye escrow, richmond na Epa
Mikataba yote mibovu hapa nchini ilisimamiwa na wasomi

NDIMI
RAPHAEL LUKINDO
Nibora ungejiita rafa kilaza.
Waliofukuzwa kazi hawakua na ufanisi kazini?.
Kama mmeanzisha vita ya vyeti vya kugushi ifanywe kwa usawa.

Wakati wengine tunasoma yeye anachana mistari kisha leo unamtetea
FICHA UJINGA WAKO MKUU.
 
Wewe umekuwa msemaji wa Bashite haya lete uthibitisho wa kuwa hajapata zero
 
Muuza madawa ya kulevya utamjuwa tu jinsi anavyotokwa na povu. Failure, una data zake au unafuata upepo tu?
Hizo data unazohoji si zitabainishwa baada ya uhakiki maana Makonda aliwatuhumu wengi akiwemo Ask Gwajima na watuhumiwa wamefanyiwa search na kisha vipimo vya mwili kitaalamu sasa tatizo liko wapi na Makonda na yeye akichinguzwa kitaalamu dhidi ya tuhuma zinazomkabili? au Makonda yuko above the law ?
 
Kwa hiyo wewe ukimkuta mbakaji anapambana na jambazi utawaachanisha na kukomaa kuwa mbakaji hana uhalali wa kupambana na jambazi? Tunataka aoneshe vyeti vyake!


Yaaani hata bora usingetoa mfano huu....unaonekana kabisa kuwa wewe bado una-download kichwani. Ungesubiri kwanza mpaka uwe fully loaded ndipo ujibu.
 
Back
Top Bottom