Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,476
- 2,651
Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari polisi walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.
Mlio karibu na Mhe. Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.
Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Mlio karibu na Mhe. Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.
Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama