tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Waziri mwenye dhamana ya masuala ya mambo ya Ndani, Mheshimiwa Kangi Lugola - Jumamosi atakuwa mgeni rasmi katika mchezo wa nusu fainali ya Ndondo Cup 2018 kati ya FARU JEURI VS KIVULE UNITED utakaofanyika kiwanja cha Bandari Temeke katika Chuo wa Utalii.
Taarifa hii ni kwa mujibu wa mdau wa michezo Shaffih Dauda