Jaji Warioba na Tundu Lissu wanazungumza lugha moja kuhusu Muungano na Katiba. Kwanini tumshambulie Lissu na kumwacha Warioba?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
927
4,355
Nimepitia kumbukumbu za mjadala wa katiba na Muungano kwa miaka zaidi ya 11 sasa. Kumbukumbu kwenye YouTube na mahojiano yaliyowahi kufanywa na vyombo mbalimbali ikiwemo midahalo inaonyesha msimamo wa Tundu Lisu ni msimamo wa Jaji Warioba.

Matamshi anayotoa Warioba ndiyo anayotoa Tundu Lisu; vifungu vya katiba ya Zanzibar anavyotumia Lisu ndivyo anavyotumia Warioba. Ulinganisho anaofanya Lisu katika katiba hizi mbili ya Zanzibar na Muungano ndio anaofanya Warioba.

Katika spirit ile ile ya unafiki unashangaa akisema Warioba wana CCM wanakaa kimya ila akisema maeneo yale yale Lisu wana CCM wanasema anapotosha. Lakini pia katika watu wote waliojitokeza kusema hakuna aliyeweza kusoma hata Ibara moja ya Katiba akisema hii Lisu na Warioba wanapotosha na waeleze ukweli ni upi.

Kukosekana kwa wasoma katiba ndani ya CCM ndiko kumepelekea kila wanalosema linazua matusi na kejeli waonekane kama wasiosoma. Maneno haya ya Lisu kuhusu katiba na Muungano aliyasema pia Kabu
 
IMG_20211218_014906.jpg
 
Matamshi anayotoa Warioba ndiyo anayotoa Tundu Lisu; vifungu vya katiba ya Zanzibar anavyotumia Lisu ndivyo anavyotumia Warioba. Ulinganisho anaofanya Lisu katika katiba hizi mbili ya Zanzibar na Muungano ndio anaofanya Warioba.
Wanachosema mzee Warioba na Lissu ni sahihi. Wanaopinga ni wanafiki wakubwa na hawana vifungu vya Katiba kutetea misimamo yao.

Hata ndani ya ccm watu wachache ambao bado ni waadilifu na wakweli wanaunga mkono misimamo ya mh. Warioba na Lissu..


View: https://youtu.be/rsrEtEaFwGg?si=LR0JjhsptJnuxhrW
 
Lissu ana hoja ila anatumia lugha za kibaguzi na chuki. Warioba haropoki wala kumbagua mtu. Huwa anaongea point kwa lugha ya kueleweka. Lissu ni mropokaji na kajawa na chuki mno.
 
Nimepitia kumbukumbu za mjadala wa katiba na Muungano kwa miaka zaidi ya 11 sasa. Kumbukumbu kwenye YouTube na mahojiano yaliyowahi kufanywa na vyombo mbalimbali ikiwemo midahalo inaonyesha msimamo wa Tundu Lisu ni msimamo wa Jaji Warioba.

Matamshi anayotoa Warioba ndiyo anayotoa Tundu Lisu; vifungu vya katiba ya Zanzibar anavyotumia Lisu ndivyo anavyotumia Warioba. Ulinganisho anaofanya Lisu katika katiba hizi mbili ya Zanzibar na Muungano ndio anaofanya Warioba.

Katika spirit ile ile ya unafiki unashangaa akisema Warioba wana CCM wanakaa kimya ila akisema maeneo yale yale Lisu wana CCM wanasema anapotosha. Lakini pia katika watu wote waliojitokeza kusema hakuna aliyeweza kusoma hata Ibara moja ya Katiba akisema hii Lisu na Warioba wanapotosha na waeleze ukweli ni upi.

Kukosekana kwa wasoma katiba ndani ya CCM ndiko kumepelekea kila wanalosema linazua matusi na kejeli waonekane kama wasiosoma. Maneno haya ya Lisu kuhusu katiba na Muungano aliyasema pia Kabu
Simple, Lisu anaweza kuichuku nchi, while Warioba is not after that
 
Nimepitia kumbukumbu za mjadala wa katiba na Muungano kwa miaka zaidi ya 11 sasa. Kumbukumbu kwenye YouTube na mahojiano yaliyowahi kufanywa na vyombo mbalimbali ikiwemo midahalo inaonyesha msimamo wa Tundu Lisu ni msimamo wa Jaji Warioba.

Matamshi anayotoa Warioba ndiyo anayotoa Tundu Lisu; vifungu vya katiba ya Zanzibar anavyotumia Lisu ndivyo anavyotumia Warioba. Ulinganisho anaofanya Lisu katika katiba hizi mbili ya Zanzibar na Muungano ndio anaofanya Warioba.

Katika spirit ile ile ya unafiki unashangaa akisema Warioba wana CCM wanakaa kimya ila akisema maeneo yale yale Lisu wana CCM wanasema anapotosha. Lakini pia katika watu wote waliojitokeza kusema hakuna aliyeweza kusoma hata Ibara moja ya Katiba akisema hii Lisu na Warioba wanapotosha na waeleze ukweli ni upi.

Kukosekana kwa wasoma katiba ndani ya CCM ndiko kumepelekea kila wanalosema linazua matusi na kejeli waonekane kama wasiosoma. Maneno haya ya Lisu kuhusu katiba na Muungano aliyasema pia Kabu
siyo Warioba tu, hata Zitto na vyama vyote vya upinzani vinasema yale yale ya serikali 3 kwanini nongwa kwa Lissu pengine kinachomponza ni ile " style ya presentation" yake inawakera watu.
 
..Warioba anaongea kwa kumung'unya maneno.

..Lissu anaongea ukweli, vile ukweli unavyotakiwa kuongewa.
Muite chawa, hawa ndio waasisi wa uchawa ndio maana Nyerere hukupendezwa na wenye misimamo wakati ule kiasi imepeleka shida kwenye judiciary system, machawa wamejaa hata huyo Philip Mpango unastaajabu hadharani ni mtakatifu, gizani anatuwekea vilaza kama musa kassim kwenye ujaji eti kwakuwa tu wanatoka kijij kimoja' hili li nchi wamekwisha liuwa
 
siyo Warioba tu, hata Zitto na vyama vyote vya upinzani vinasema yale yale ya serikali 3 kwanini nongwa kwa Lissu pengine kinachomponza ni ile " style ya presentation" yake inawakera watu.


..majuzi Lissu alipokuwa kimya amesafiri nje ya nchi aliyekuwa akishambuliwa na Ccm ni Mbowe.

..sababu ya mashambulizi dhidi ya Lissu ni kuongea mambo ambayo Ccm hawapendi wananchi wayajue, na ushawishi wake kwa wananchi.

..unafikiri kwanini walitaka kumuua kama si kutokana na kuchanganyikiwa kwasababu amewazidi uwezo?

..wao wanapendelea wapinzani MAZUZU, wanaosubiri mikutano ya Msajili wa vyama, wasiokwenda kuongea na wananchi vijijini.
 
..majuzi Lissu alipokuwa kimya amesafiri nje ya nchi aliyekuwa akishambuliwa na Ccm ni Mbowe.

..sababu ya mashambulizi dhidi ya Lissu ni kuongea mambo ambayo Ccm hawapendi wananchi wayajue, na ushawishi wake kwa wananchi.

..unafikiri kwanini walitaka kumuua kama si kutokana na kuchanganyikiwa kwasababu amewazidi uwezo?

..wao wanapendelea wapinzani MAZUZU, wanaosubiri mikutano ya Msajili wa vyama, wasiokwenda kuongea na wananchi vijijini.
Kwakweli, ajenda za chedema ndio ajenda za wanaharakati wa Kanisa kindakindaki, nakuelewa mkuu
 
Kwakweli, ajenda za chedema ndio ajenda za wanaharakati wa Kanisa kindakindaki, nakuelewa mkuu

..Waznz ambao 99% ni Waislamu wanaamini muungano ule malengo mabaya dhidi ya imani yao.

..Kama Kanisa wameungana na Waislamu wa Znz kupinga aina ya muungano tulio nao basi hilo ni jambo jema sana.
 
Tunaposema tuunde mfumo wa serikali 3 ni hoja nzuri sana, nina maswali hapa:

Litakuwa jukumu la nani kuendesha gharama za serikali ya tatu ya Muungano?

Je, serikali ya Z'bar wataweza kusimama wenyewe?

Au zigo lote litaiangukia serikali ya Tanganyika?
 
Mtanzania akikuambia kuwa na hekima maana yake anasema kuwa muongo/mung'unya maneno, ukweli=Ukorofi/Ujeuri. Mtanzania akikuambia kuwa muelewa, Anataka ukubaliane na uongo aliokulisha.

Kama taifa tuna tatizo la msingi la kimaadili nalo ni uongo, unafiki na uzandiki. Matatizo mengi ya kimaadili yanaanzia kwenye uongo.
 
Back
Top Bottom