Mhe. Hamad Rashid Kuendelea kuwa Bungeni

Pakawapakawa

Senior Member
Nov 19, 2012
110
20
Wapendwa wanasheria,

Je bado ni halali Mhe. Hamad Rashid kundelea kuwa Bungeni. Mwanzoni pamoja na CUF kutomtambua ilikuwa sawa kwa kufuatia amri ya Mahakama ambayo hakuwa na uwezo wa kufikia mwisho wa shauri hili hata kama Bunge lingekuwa linaendeleaa kwa miaka 10 zaidi.

Hata hivyo baada ya yeye kutangaza kugombea Urais wa ZNZ kupitia ADC nadhani ulikuwa mwisho wa kuingia Bungeni.

Isitoshe tayari amechukua fomu ya kugombea urais wa Zanzibar kupitia chama hicho Mbadala. Pamoja na kwa kwa kesho ni mwisho wa Bunge,

Je kisheria hii imekaaje?.
 
Ukiwa associate wa FISIEMU unakuwa juu ya sheria, ndiyo maana kesi yake mpaka leo haijaamuliwa. Unategemea nini kama mahakama zetu ni za akina Judge Augustine Ramadhani?
 
Ukiwa associate wa FISIEMU unakuwa juu ya sheria, ndiyo maana kesi yake mpaka leo haijaamuliwa. Unategemea nini kama mahakama zetu ni za akina Judge Augustine Ramadhani?

Unamaanisha Augustine Ramadhani Rais mtarajiwa!.
 
Wapendwa wanasheria,

Je bado ni halali Mhe. Hamad Rashid kundelea kuwa Bungeni. Mwanzoni pamoja na CUF kutomtambua ilikuwa sawa kwa kufuatia amri ya Mahakama ambayo hakuwa na uwezo wa kufikia mwisho wa shauri hili hata kama Bunge lingekuwa linaendeleaa kwa miaka 10 zaidi.

Hata hivyo baada ya yeye kutangaza kugombea Urais wa ZNZ kupitia ADC nadhani ulikuwa mwisho wa kuingia Bungeni.

Isitoshe tayari amechukua fomu ya kugombea urais wa Zanzibar kupitia chama hicho Mbadala. Pamoja na kwa kwa kesho ni mwisho wa Bunge,

Je kisheria hii imekaaje?.

Huu uzi hauitaji form six kujua kwamba ubunge wa Hamad rashid ulikoma immediately baada ya kutangaza kugombea urais kwa tiketi ya ADC,kwamujibu wa Katiba ambayo inasomwa na kila mtu sio wanasheria peke yake.
 
Hamad Rashid kwa maoni yangu amekwishajipoteza katika ulimwengu wa siasa hoja na sera zake ni almost sawa na za CCM na amekuwa msaliti hata kwa hoja alizoziasisi na kuzipigania hapo mwanzo.
 
Back
Top Bottom