Mhe. Habibu Mnyaa alifumua upya suala la gesi

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Feb 28, 2012
16,365
12,823
Katika ile hali ambayo ilitarajiwa na wengi,leo katika kipindi cha jion bungeni,Mh engineer Habibu Mnyaa(mb)amelifumua tena suala la gesi na kutoa hoja ya kuelezea kiini cha mgogoro wa gesi ambao wana kusini wanausimamia ya kwamba ni hoja zenye mashiko ambazo serikali imekua inazipiga dan dana kwa miaka mingi.

Alichokifanya waziri mkuu Pinda ni kuipindua hoja ile na kuweka ulazimishaji wa vipaumbele vya serikali..

Huku waziri mkuu akisisitiza kuwa mpango wa kujenga bomba upo pale pale,upande mwingine hapo hapo bungeni wanampinga..
Tutaona mwisho wake tuh..
 
Usafirishaji wa gesi asilia kwa njia ya bomba una hatua tisa, ambazo ni lazima zifuatwe zote bila kuiruka hata moja. Mojawapo ni wananchi wanaoishi maeneo ambayo bomba litapita ni lazima waridhie. Na hii ni sheria ya kimataifa, hivyo kiwete hawezi kuipeleka gesi hii bagamoyo. Sisi hatutoridhia gesi asilia kusafirishwa kwa bomba kupelekwa dar na hatimaye bagamoyo. Gesi asilia haitokiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
Usafirishaji wa gesi asilia kwa njia ya bomba una hatua tisa, ambazo ni lazima zifuatwe zote bila kuiruka hata moja. Mojawapo ni wananchi wanaoishi maeneo ambayo bomba litapita ni lazima waridhie. Na hii ni sheria ya kimataifa, hivyo kiwete hawezi kuipeleka gesi hii bagamoyo. Sisi hatutoridhia gesi asilia kusafirishwa kwa bomba kupelekwa dar na hatimaye bagamoyo. Gesi asilia haitokiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
labda watatumia bluetooth
 
Usafirishaji wa gesi asilia kwa njia ya bomba una hatua tisa, ambazo ni lazima zifuatwe zote bila kuiruka hata moja. Mojawapo ni wananchi wanaoishi maeneo ambayo bomba litapita ni lazima waridhie. Na hii ni sheria ya kimataifa, hivyo kiwete hawezi kuipeleka gesi hii bagamoyo. Sisi hatutoridhia gesi asilia kusafirishwa kwa bomba kupelekwa dar na hatimaye bagamoyo. Gesi asilia haitokiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.

Labda kama ni sheria za kimataifa ila kama ni za hapa Tz mnalo kwani tz sheria ni kivuli
 
Back
Top Bottom