mambo ya ndani au binafsi siyo ya kuweka wasi tafuta kingine cha kumuharibia Mbowe na siyo kwenye mahusianoNimetonywa na mmoja wa Wabunge wa bunge la jamhuri ya Muungano kuwa , Mbunge wa Hai na kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni Mh. FREEMAN MBOWE ameuandikia barua uongozi wa Bunge akiuomba kumtumia tiketi ya Ndege mzazi mwenzake (JOYCE MUKYA) arudi nyumbani kutoka DUBAI alikokwenda kwa ziara ya Kikazi.
Habari za uhakika kutoka kwa mtonyaji huyo zinasema KUB huyo amekasirishwa sana na kitendo cha Uongozi wa Bunge kumruhusu huyo Kimwana wake aende hiyo safari huku ukijua wazi kuwa Katika safari hiyo yupo pia mbunge wa SUMBAWANGA MJINI, MHE. HILAL AESHI ambaye hapana shaka kwamba naye ana mahusiano ya kimapenzi na JOYCE MUKYA.
Hata hivyo inasemekana kuwa Uongozi wa Bunge umepuuzia maombi ya MBOWE kwa vile unaamini kuwa Waheshimiwa Wabunge hao wamekwenda DUBAI kikazi zaidi na siyo kimapenzi.
weeee sema taratibu!ccm bhana ..ha ha ha ha ha yakwao wanafanya kama hawayaoni ...mtu wenu mpk mwanaye alijinyonga baada ya kubakwa na baba yake ...kwenu hiyo wala sio dhambi ...daah
Kupita maelezo mkuu. Halafu bila aibu anatoa tamko la kuikana ile voice note!Mbowe ni shida aise
Crash Wise UMEKWENDA MBALI SANA....Mama yetu amehusikaje hapa...!?Vipi mmechoka na matamko ya kijinga mmekuja na njia hii kiseneee...CHADEMA habari nyingine baada ya hii utuletee habari za kumhusu mama yako....
Kweli kabisa kuna walioingia barabarani nchi ya kibiti...Kama anajaribiwa ingieni barabarani muone cha moto.
Mwenye picha ya Joyce Mukya tafadhali.
Nenda tovuti ya Bunge utaipata..Mwenye picha ya Joyce Mukya tafadhali.
Say that again!Umbea nao kazi sema hauna mshahara tu.........
Mi naomba ya Wema Sepetu na Lilian MboweNenda tovuti ya Bunge utaipata..
rubii umeona mwenyewe au umesikia hapa?wanakucheka watu ha ha ha a
Ana wake wawili na bado anapiga miziki ya nje tena hadharani bila aibu
Wewe Google utazipataMi naomba ya Wema Sepetu na Lilian Mbowe
Dah... Hili kaburi LA kitambo sana Prof.Sometimes