Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,814
- 11,991
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi, akiambatana na viongozi mbalimbali leo Jumamosi tarehe 17 Septemba alihudhuria maziko ya Mhashamu Baba Askofu Mkuu Mstaafu wa Kanisa Angilikana Tanzania ambaye pia aliwahi kuwa Askofu wa Dayosis ya Tanga na Zanzibar , John Ramadhani.
Ibada ya Mazishi ilifanyika katika kanisa Kuu la Mkunazini na kuendeshwa na Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Mhashamu William Mdolwa Maimbo.
Askofu John Ramadhani alifariki dunia tarehe 12 Septemba katika hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam baada ya kufanyiwa upasuaji wa ubongo uliokuwa ukivuja damu.
Ibada ya Mazishi ilifanyika katika kanisa Kuu la Mkunazini na kuendeshwa na Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Mhashamu William Mdolwa Maimbo.
Askofu John Ramadhani alifariki dunia tarehe 12 Septemba katika hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam baada ya kufanyiwa upasuaji wa ubongo uliokuwa ukivuja damu.