Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 754
- 3,097
Hakikisha wanasafisha kabla....Epuka midonda ya kooHalafu ukute ndio mademu sipati picha papuchi itakuwa katika hali gani lakini mimi muhuni nalamba tu
Nimethibitisha,viwango vyake vya usafi ni ISO Certified.Vipi yeye anajua kuoga?nani amethibitisha hilo?
Sasa kama wenye taaluma hawajiheshimu sisi tutawaheshimu vipi? Mambo ya ajabu kama hayo yatafanywa na wahadhiri wa sanaa sanaa na porojo zingine za kijinga jinga, hutamkuta mhadhiri wa udaktari wa binadamu (MD) akifanya ushambenga kama huo, mara ooh, hawafui chupi, mara oooh wanagawa 0719.., mara ooh hawapigi mswaki, ujinga tu...Somo la maana ni lipi? Heshimu taaluma za watu kima wewe.
Umenena! Ni vizuri kuheshimu taaluma za watu..Somo la maana ni lipi? Heshimu taaluma za watu kima wewe.
Unaweza ukawa na akili nyingi,lakini ukakosa hekima.Ubinadamu ni kuheshimiana na kujua utu wa mtu,kama msomi hakupaswa kabisa kunena hayo
Kwamba?Nimethibitisha,viwango vyake vya usafi ni ISO Certified.
Mhadhiri mwenyewe anafundisha masomo ya porojo porojo, mnategemea nini toka kwake? Ni ushambenga kama huu tu nduo tutegemee, sijona mhadhiri wa uhandisi akijishebedua kama huyu..