Eti we
Nicholas eti ni kweli kuwa una asili ya kihutu au??
Kiswahili chako kinachanganya mno!
Au ni zile mbege za bure kutoka CDM!!?
Unajua andiko limekataza ulevi??
Ngoja nikupe andiko huenda ukaacha!!
Uzinzi na divai, na divai mpya huondoa fahamu za wanadamu.(Hosea 4:11)
Ole wa taji ya kiburi ya walevi wa Efraim na ua la uzuri wa fahari yake linalonyauka, lililo kichwani mwa bonde-linalostawi la hao walioshindwa na divai! (Isaya 28:1).
Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu, watu waume wenye nguvu huchanganya vileo, wampao haki-mwenye uovu ili wapewe ijara na kumwondolea mwenye haki haki yake. (Isaya 5;22-23).
Ole wao waamkao asubuhi na mapema, wapate kufuata kileo, wakishinda-sanahata usiku wa manane mpaka-mvinyo imewaka kama moto ndani-yao!
Na kinubi, na zeze na matari na filimbi, na mvinyo zote ziko katika-karamu zao lakini hawaangalii kazi ya Bwana wala kuyafikiri matendo ya mikono yake. (Isaya 5:11-12
Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu, litiapo bilauri rangi yake ishukapo taratibu; mwisho wake huuma kama-nyoka; Huchoma kama fila. Macho yako yatakuwa mambo mageni; na moyo wako utatoa yaliyopotoka,Naam, utakuwakama-alalaye katikati ya bahari; Au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti.-Utasema,wamenichapa wala sikuumia, wamenipiga wala sina habari, Nitaamka lini, nitazidi kuitafuta tena.(Mithali 23:31-35).
Wote ni mbwa walio bubu, hawawezi kulia, huota ndoto, hulala, hupenda usingizi. Naam, mbwa hao wana choyo-sana, hawashibi kamwe; na hao ni wachungaji wasioweza kufahamu neno, wote pia wamegeuka-upande, wazifuate njia zao wenyewe kila mmoja kwa faida yake toka pande zote. Husema, njooni nitaleta divai,na tunywe-sana-kileo na kesho itakuwa lama leo sikukuu kupita kiasi.(Isaya 56:10-12).
Teh teh teh ! Yaani haya maandiko utafkiri yanakujua tabia zako!
Cc maulana
gombesugu