Sina kumbukumbu ya CDM kubagua watu kulingana na unakotoka, sina kumbukumbu za zzk kumwona akifanya kazi na wenzake kwenye chama, kwenye kampeni za uchaguzi mkuu wa 2010, sina kumbukumbu za zzk kumpigia au kumnadi mgombea wa chama chake, huyu zzk ni naibu katibu mkuu wa CDM, kwanini kila hua karibu zaidi na viongozi wa ccm kuliko hta CDM, uwepo wake pale ofisini ni adimu sana ukilinganisha hata na John Mnyika. Sorry, hivi Mnyika nae ni mtu wa kaskazini?
Kwa maneno hayo, nani mbaguzi hapo kwa wenzie? MArtini Luther king, alichukiwa sana na watawala, zzk ni kipenzi kikubwa sana kwa watawala, hili sijui likaaje?