newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
Mh!waziri wa wizara ya mambo ya ndani, Mr. Masha amesema "Sijui idadi ya magereza off my head", leo at 07:47 katika 'Power Breakfast' kipindi cha asubuhi cha Clouds FM.
Waziri ameulizwa Tanzania ina idadi ya magereza mangapi amesema hajui, sasa waziri mwenye mamlaka juu ya magereza hajui ana magereza mangapi, Angekuwa mzee wa masamaki na vitoweo, Mh. Magufuli ......... ungepata full data.
Waziri ameulizwa Tanzania ina idadi ya magereza mangapi amesema hajui, sasa waziri mwenye mamlaka juu ya magereza hajui ana magereza mangapi, Angekuwa mzee wa masamaki na vitoweo, Mh. Magufuli ......... ungepata full data.