Mh.Spika Mimi naunga hoja Mkono 100%, Lakini kule..

Mh.Spika Mimi naunga hoja Mkono 100%, Lakini kule..

bajet imepita au haikupita?
nyie kalieni ugaidi sisi tunaogoza nchi nchi na kusimamia/kutekeleza
ilani ya chama .bungen hakuna maandamano

Kaka,

Kwa taharifa ya Marando kwenye vyombo vya habari na jinsi magazeti ya TD yalivyopotea mtaani leo, lakini pamoja na thread juu ya ripoti ya Marando yenye simu za watu kupotea hapa JF, imedhihirika kuwa MAGAIDI NI CCM hapa nchini.
 
bajet imepita au haikupita? nyie kalieni ugaidi sisi tunaogoza nchi nchi na kusimamia/kutekeleza ilani ya chama .bungen hakuna maandamano

Wewe mpumbavu mnaongoza nchi na nani? Utakuta kwenu hamna hata aliye balozi halafu unasema tunaongoza wenzio wanafaidi wewe mshikapembe tu wanaokunywa maziwa wengine

Ni ujinga usiopimika pale ambapo unakosoa hotuba na lakini kibao halafu mwisho anasema ameunga mkono 100% unalalamika nini sasa?

Mumeweka chama kwanza wananchi badae hivi chama kinaweza kukuchagua uende bungeni bila kupigiwa kura na wananchi waliokutuma?
 
bajet imepita au haikupita? nyie kalieni ugaidi sisi tunaogoza nchi nchi na kusimamia/kutekeleza ilani ya chama .bungen hakuna maandamano

Ccm mnan'goa watu kucha na macho bila ganzi
 
''Kwa kuwa upande mmoja wa wadhalimu umeamua kufanya lolote kwa maslahi yao bila kujali kuwa Taifa linaangamia, Upande mwingine wa kizalendo utafanya lolote ili kuliokoa Taifa, kwa hivyo, VITA YA WENYEWE KWA WENYEWE yaweza kutoepukika'' Who cares?
 
Mimi naunga hoja mkono asilimiamia moja with some reservations. Kwanza kabisa siyo detailed enough kwa hiyo siyo rahisi kuchangia. Halafu mambo mengi hayaeleweki. Hivi kweli is there any seriousness kwa mbunge kama huyu? Ni KIlufi tu aliyeni-impress Leo. Huyu ni mbunge wa Mbarali.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums


Na mbunge wa Buchosa dada mmoja hivi sijui anaitwa nani (somebody Masele) nae alichangia vizuri sana hoja.
 
ningekuzibua risasi nilianza kuchomoa bastola hapa. Kumbe niko kwenye mtandao. Watu wengine kauli zenu ni za wanyama. Mnapaswa KUWINDWA kama digidigi
.......umeona mkuu kuna watu humu wanaweza kukusababishia ban...naona keshaenda kuchukua posho yake
 
This man did not prepare his argument. "It pays to be prepared", as Aesop said in (c.620-560 BC)
 
Jamani hawa wabunge wa ccm wananipa hasira sana. Hiv mtu unalalamika jimbo lako halina huduma muhimu hapo hapo unaunga mkono bajeti ambayo hata jimbo lako halijatengewa kitu kweli ni utaahira. Kilicho baki ni sisi wananchi kupima na kuchagua wagombea wa chama chenye kutetea maslahi ya wananchi, kuliko hawa wenye kuweka matumbo mbele.
 
kazi kweli kweli kumbe hata yeye haoni mazuri ya chama na serikali yake? Kama kuna mazuri mbona analalamika kama wapinzani? Yetu macho.:smile-big:
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,Rage simba imemshinda sembuse ubunge,Upinzani watuandalie mtu mapema tukachukue jimbo.
 
Wabunge wa ccm-IMPOTENT=-------
Upumbavu=Lugha ya matusi, lipi wanajua?? So hakuna la kushangaa kwa hawa jamaa. Ila nashangaa na wtanzania ambao bado tunawapigia Kura ama hatulindi kura zetu, wanaiba na kujifanya wameshinda.
 
Back
Top Bottom