Mzanzibar Halisi
JF-Expert Member
- May 8, 2014
- 284
- 106
Ukiwa ndani ya CCM hutakiwi kutumia elimu yako zaidi ya matakwa ya Chama.
Hawa jamaa nadhani ni 'confused minds', hawasemi wanachomaanisha wala hawamainishi wanayosema!Ninachoshangaa hapa ni kwamba wana CCM wanaingia kwa mbwembwe,wanaisifu serikali yao kwa mambo ya hovyo halafu wanailamu sana kwa kushindwa au kuharibu mambo muhimu kwa uhai wa taifa na watu wake.Mengi ni mabaya kuliko wanayosea upinzani.Kwanini sasa wasimame,na kwaniniw asiseme wazi kwamba CCM ni failure.
Kuna mtu anaongea usenge hapa sijawahi kuona...
huwa napata shida waelewa maccm wanabisha ili iwe nini?Mara nyingi huwa nashindwa unganisha Wayasemayo na wayatendayo au hata wanayosema dkk moja na wanayosema dkk ingine.Km vile wamepoteza dira ktk akili nini wanasimamia.Hawa jamaa nadhani ni 'confused minds', hawasemi wanachomaanisha wala hawamainishi wanayosema!
na wanazipiga blah blah haswa.Hawajamaa naona kama wana piga hadisi tu, I wish October could be tomorrow!!. Tired with dis bla,bla bla za magamba.
Sisi tunasema huko ni kuwewesekaSijajua sasa wanawakilisha Serikali au Wananchi,
Utasikia naipongeza sana serikali yangu ya CCM kwa kuturetea maendeleo katika uongozi wake, mbele anaanza kuleta vilio kibao kutoka kwa wananchi wake, oooooooooooo Umeme, Maji, Dawa, Barabara na huduma nyingi mbovu kwanini Serikali haiwasaidii Wananchi, sasa unajiuliza Serikali aliyo isifia ni ipi? na anyoililia ni ipi.
CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee