Mh.Spika Mimi naunga hoja Mkono 100%, Lakini kule..

Mh.Spika Mimi naunga hoja Mkono 100%, Lakini kule..

Unajua fika kwamba unaunga mkono hoja 100%.Sasa kwa nini unapoteza muda adimu wa kujadili mambo ya maana kwa kuelezea matatizo au kutokuridhishwa na mambo fulani fulani kisha bila aibu unasema unaunga mkono hoja mia kwa mia. Huu ni unafiki na wizi/ ufisadi wa waziwazi wa muda adhimu ambao ungeweza kutumika kujadili mambo mengine ya maendeleo.

Wabunge wengi wa CCM wamekuwa vinara wa kueleza matatizo na kupoteza muda wa bunge kisha wanaunga mkono hoja 100%.kwa nini msikae kimya mruhusu wenye hoja za maana wazungumze ili kushinikiza serikali na nyinyi msubiri kutumia masaburi yenu na kusema ndiyooooo kama ilivyo kawaida yenu.

Hakika nawambieni vizazi vijavyo vitafukuwa mafuvu yenu na kuchunguza kama mlikuwa mnatumia ubongo wa makamasi kipindi cha uhai wenu. Na kwa hasira wataomba mafuvu hayo yakatupwe baharini sehemu isiyojulikana ili isije ikaambukiza umasuburi wenu kwa kizazi kipya
 
Wakati akianza kuchangia mzee Aden Rage kama ilivo kawaida kwa wabunge wengi wa CCM alianza kwa kuuponda upinzani kwamba wao ni kulalamika tu kama vile hawaoni mambo mazuri yanayofanywa na serikali ya CCM. Lakini cha kushangaza katika dakika kumi alizopewa, dakika nane zote ameilalamikia mwanzo mwisho mojawapo likiwa kusahaulika kwa shule ya Tabora boys aliyosoma muasisi wa Taifa letu.

Amelalamika barabara za Tabora ni asilimia ndogo sana zimejengwa kwa lami matokeo yake kipindi kama hiki hazipitiki kwani zinazolewa na maji. Na cha ajabu zaidi akamaliza kwa kuunga mkono bajeti ya waziri mkuu kwa 100%.

1. Kwanza anaanza kuunga mkono hoja asilimia 100.
2. Baadae anaanza kutoa List ya matatizo inayopingana na hoja.
3. Tatu naonesha jazba na matusi anapokabiliwa na hoja nzito inayohitaji kufikiri.
4. Akijadili anaonesha ushabiki wa chama.
5. Anamalizia mchango wake kwa kuunga mkono hoja.
 
bajet imepita au haikupita? nyie kalieni ugaidi sisi tunaogoza nchi nchi na kusimamia/kutekeleza ilani ya chama .bungen hakuna maandamano
 
Kwani wazima hawa basi. Full contradiction! Hata hawavutii.
 
bajet imepita au haikupita? nyie kalieni ugaidi sisi tunaogoza nchi nchi na kusimamia/kutekeleza ilani ya chama .bungen hakuna maandamano

una matatizo wewe sio haba. Bajeti itapita hatukatai ila CCM wabunge wengi hawajui maana ya asilimia mia.
 
Wakati akianza kuchangia mzee Aden Rage kama ilivo kawaida kwa wabunge wengi wa CCM alianza kwa kuuponda upinzani kwamba wao ni kulalamika tu kama vile hawaoni mambo mazuri yanayofanywa na serikali ya CCM. Lakini cha kushangaza katika dakika kumi alizopewa, dakika nane zote ameilalamikia mwanzo mwisho mojawapo likiwa kusahaulika kwa shule ya Tabora boys aliyosoma muasisi wa Taifa letu.

Amelalamika barabara za Tabora ni asilimia ndogo sana zimejengwa kwa lami matokeo yake kipindi kama hiki hazipitiki kwani zinazolewa na maji. Na cha ajabu zaidi akamaliza kwa kuunga mkono bajeti ya waziri mkuu kwa 100%.

Mkuu!

Hadi tufike 2015 tutaipata na kukiona cha moto. Yaani huko MAGAMBANI ni vituko vitupu.
 
una matatizo wewe sio haba. Bajeti itapita hatukatai ila CCM wabunge wengi hawajui maana ya asilimia mia.


Bora umwambie tu, maana hawa vibaraka wa magamba kwa vihela kidogo wanavyolipwa wako tayari kuuza utu wao, kuna hoja zingine ukisoma unaweza 'kurudisha chakula kabisa' aisee ni kazi kweli...
 
Wakati akianza kuchangia mzee Aden Rage kama ilivo kawaida kwa wabunge wengi wa CCM alianza kwa kuuponda upinzani kwamba wao ni kulalamika tu kama vile hawaoni mambo mazuri yanayofanywa na serikali ya CCM. Lakini cha kushangaza katika dakika kumi alizopewa, dakika nane zote ameilalamikia mwanzo mwisho mojawapo likiwa kusahaulika kwa shule ya Tabora boys aliyosoma muasisi wa Taifa letu.

Amelalamika barabara za Tabora ni asilimia ndogo sana zimejengwa kwa lami matokeo yake kipindi kama hiki hazipitiki kwani zinazolewa na maji. Na cha ajabu zaidi akamaliza kwa kuunga mkono bajeti ya waziri mkuu kwa 100%.

Alidhani anaongea na Friends of Simba...hajazungumzia masuala ya usajili???
 
bajet imepita au haikupita? nyie kalieni ugaidi sisi tunaogoza nchi nchi na kusimamia/kutekeleza ilani ya chama .bungen hakuna maandamano

How much are you paid for giving out such trivial arguments?
 
nyie mabunge wa ccmmmm acheni utahira hamuoni haibu kuongea upumbavu na kuuunga mkono upumbavu huku mi mpiga kura yako nakuangalia, we mbunge wa ccm ka huna cha kuongea ka kimya hatutaki mashudu shame on u

:-*
 
Kwa maono yangu hii nchi inaelekea kwenye vita baridi baina ya serikari na chadema, waislamu na wakristu pia maskinu na matajili. Yote hiyo ni kwa sababu ya uongozi uliopo madarakani saivi
 
Wabunge wengi wa ccm ndivyo walivyo, utadhani wamelaniwa vile.

Wako hoi kimawazo, thinking capacity yao inazidi kushuka, wanafikiri kibinafsi zaidi.

Mwaka huu watakoma, maana kushindana na moyo kazi kweli, wanaambiani kwenye vikao vyao vya ndani ya ccm kuwa lazima waponde upinzani na kuitetea serikali yao, huku wakiangalia wanakotoka mambo yako hoi kwa uzembe wa serikali hiyo waliyoambiwa waitetee. Ndio maana utasikia naunga mkono hoja mia kwa mia, hata kabla hajachangia, sikiliza baada ya hapo sasa, malalamiko kila eneo analochangia, wapuuzi kweli hawa jamaa, wanajimaliza kilaani, bila wao kujua.
 
Kwani wazima hawa basi. Full contradiction! Hata hawavutii.
Mimi naunga hoja mkono asilimiamia moja with some reservations. Kwanza kabisa siyo detailed enough kwa hiyo siyo rahisi kuchangia. Halafu mambo mengi hayaeleweki. Hivi kweli is there any seriousness kwa mbunge kama huyu? Ni KIlufi tu aliyeni-impress Leo. Huyu ni mbunge wa Mbarali.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
bajet imepita au haikupita? nyie kalieni ugaidi sisi tunaogoza nchi nchi na kusimamia/kutekeleza ilani ya chama .bungen hakuna maandamano

ningekuzibua risasi nilianza kuchomoa bastola hapa. Kumbe niko kwenye mtandao. Watu wengine kauli zenu ni za wanyama. Mnapaswa KUWINDWA kama digidigi
 
Back
Top Bottom