Mh.Spika Mimi naunga hoja Mkono 100%, Lakini kule..

Mh.Spika Mimi naunga hoja Mkono 100%, Lakini kule..

Hawa wabunge kwkweli ni vichekesho,na wanacho angalia zaidi ni kula tu na sio uzalendo wa kweli.
Najisiskia vibaya sana kuona nchi yangu ikiwa ktk hali kama hii ya ss.
 
Kwa kila mfuatiliaji wa bunge hata shangaa sana kwa hiki nnacho kisema hapa`wabunge wa CCM wamekua na kasumba moja mbaya sana ya KUHUNGA MKONO HOJA ikiwa haina maana au mashiko jimboni mwake, utakuta mbunge wa CCM ana simama na kuongea matatizo makubwa sana na ni very serious problems huku akiyataja tena kwa ukali na msisitizo na wengine wakisisitiza et waliiambia wizara husika toka mwaka juzi lakini haikuyafanyia kazi na mwisho wa kuchangia utasikia et NAHUNGA MKONO HOJA MHESHIMIWA! Nin sasa io kama uliunga mkono hoja tangia mwaka juzi matatizo ayo ayo na bado hayakutatuliwa kuna haja gan tena na leo uunge mkono hoja? Think out side of the box n big! Acheni ushabiki wa kivyama nakua na uccm mtatuua wananchi wa kawaida..
 
kwa kila mfuatiliaji wa bunge hata shangaa sana kwa hiki nnacho kisema hapa`wabunge wa ccm wamekua na kasumba moja mbaya sana ya KUHUNGA MKONO HOJA ikiwa haina maana au mashiko jimboni mwake, utakuta mbunge wa ccm ana simama na kuongea matatizo makubwa sana na ni very serious probleums uku akiyataja tena kwa ukali na msisitizo na wengine wakisisitiza et waliiambia wizara husika toka mwaka juzi lakini haikuyafanyia kazi na mwisho wa kuchangia utasikia et NAHUNGA MKONO HOJA MHESHIMIWA! Nin sasa io kama uliunga mkono hoja tangia mwaka juzi matatizo ayo ayo na bado hayakutatuliwa kuna haja gan tena na leo uunge mkono hoja? Think out side of the box n big! Acheni ushabiki wa kivyama nakua na uccm mtatuua wananchi wa kawaida..

Utakuta wanasema mhemishiwa spika jimboni kwangu walimu hakuna, maji hakuna, barabara hazipitiki, tujengewe vituo vya polisi, nguzo za umeme zimepita vijiji hivi havina umeme na kwenye bajeti hapa sijaona kama matatizo ya wapiga kura wangu yatatuliwa mwishoni anamalizia naunga mkono hoja mia kwa mia
 
kwa kila mfuatiliaji wa bunge hata shangaa sana kwa hiki nnacho kisema hapa`wabunge wa ccm wamekua na kasumba moja mbaya sana ya KUHUNGA MKONO HOJA ikiwa haina maana au mashiko jimboni mwake, utakuta mbunge wa ccm ana simama na kuongea matatizo makubwa sana na ni very serious probleums uku akiyataja tena kwa ukali na msisitizo na wengine wakisisitiza et waliiambia wizara husika toka mwaka juzi lakini haikuyafanyia kazi na mwisho wa kuchangia utasikia et NAHUNGA MKONO HOJA MHESHIMIWA! Nin sasa io kama uliunga mkono hoja tangia mwaka juzi matatizo ayo ayo na bado hayakutatuliwa kuna haja gan tena na leo uunge mkono hoja? Think out side of the box n big! Acheni ushabiki wa kivyama nakua na uccm mtatuua wananchi wa kawaida..

Huko kwenye red ndio maana yake nini?

Natania mkuu. . . mantiki imeeleweka. kweli wabunge wengi ni vilaza mno.
 
Lazima aanze kuponda upinzani ili hata akilalama hasionekane ni Mchadema, hawako huru na ndio tatizo la bunge letu kwa sasa
 
mimi nawashangaa sana wasukuma hawa wa Tabora kumpa msomali kuwa mwakilishi wao hivi jamani somalia kuna nini na mtua anyetoka huko uone anafaa kumpa nafasi akakutetee? Tabora fungukeni mtaimba wimbo wenu huo wa tumesahaulika mpaka mnakwisha wote
 
sasa kama mwigulu nchemba mi sikuwai kumwona akiongea logic?? Kazi yake ni kuwaponda cdm kwa vi2 visivyokua na mantiki na haweza kuusanisha anacho ongea na hoja iliotolewa! Anaenda out of the topic, tofauti na wenzie wa cdm wenyewe wanausanisha wanacho ongea na hoja ucka hata kama wanaponda lakin ni kwa facts.
 
Serikali dhaifu, baba riz dhaifu, mawaziri vihiyo wabunge wanachangia hoja kwa kutumia masaburi ccm ni janga la kitaifa
 
Wabunge wa Chama Tawala wameamrishwa kulalamika kadri wawezavyo ili wananchi wawaone na kuwasikia ila lazima waunge mkono hoja kinyume na hapo wanawekwa kwenye list ya kung'olewa menu na kucha bila ganzi.:yo:
 
Bunge na wabunge wanategemea huruma ya serkali, ndiyo maana serksali inataka waisifgu kwanza halafu baadaye unatoa shida yako tena kwa kuomba na kubembeleza! Wengi wetu tulitarajia wabunge wangesaidia kuielekeza serkali kurejea katika kutekeleza vision 2025 na mipango yake hii ya bajeti lakini kinachoshuhudiwa ni tofauyi!
 
Fact n true n I always wonder when au mps esp.from the leading majority will acknowledge peril encompassing their voter? I appreciate Deo as he feel the pinch as an elect
 
HUYU RAGE NI MSOMALI SO ANA VURUGU NA MAFUJO KAMA YA WASOMALI WA HUKO KWAO.MIE SIMSHANGAI HATA KIDOGO. KIPINDI CHA UCHAGUZI WA IGUNGA WENGI TULIONA KILICHOTOKEA KUHUSU YEYE. NI MMOJA KATI YA WANAMAGAMBA WALIOSABABISHA CCM KUPOTEZA KITI CHA UBUNGE KUPITIA MAAMUZI YA MAHAKAMA.:yo:
 
Hawa jamaa hawaeleweki kabisa Mbunge anasimama na kusifu Serikali kuwa ni sikivu,inajali watu wake,inamipango madhubuti kuiniua uchumi wa watu wake na kadharika ikiwa sambamba na kuunga mkono hoja zitolewazo na mawaziri katika kuwasilisha bajeti.
Wanapokuja kunichosha ni kuwa baada ya kutoa sifa zote hizo,Mbunge husika anaanza kulalamika mara ooh serikali imetutelekeza wakazi wa jimbo la ..... mara ooh serikali haikamilishi miradi kwa wakati muafaka na kero nyingi nyingi.
Ni bora mnapopata nafasi kuchangia muwe straight to point sio kuzunguka zunguka.
 
Bange tu wote hao hawana jipya halafu bora uishi na mchawi kuliko mafiki hana maana hata kidogo na ccm wengi ni wanafiki.
 
Bora uwe muokota mipira Old Trafford kuliko kuwa Waziri au Mbunge wa serikali ya CCM
 
nyambafu zaooooooo. bunge UGANDA KTK KANDA YA AFRIKA NA MASHARIKI.
Hawa jamaa hawaeleweki kabisa Mbunge anasimama na kusifu Serikali kuwa ni sikivu,inajali watu wake,inamipango madhubuti kuiniua uchumi wa watu wake na kadharika ikiwa sambamba na kuunga mkono hoja zitolewazo na mawaziri katika kuwasilisha bajeti.
Wanapokuja kunichosha ni kuwa baada ya kutoa sifa zote hizo,Mbunge husika anaanza kulalamika mara ooh serikali imetutelekeza wakazi wa jimbo la ..... mara ooh serikali haikamilishi miradi kwa wakati muafaka na kero nyingi nyingi.
Ni bora mnapopata nafasi kuchangia muwe straight to point sio kuzunguka zunguka.
 
Back
Top Bottom