Acha tu Mkuu.......Mimi niliishi nae nikiwa mdogo nasoma primary nilifaidi upendo wake kwa kweli.Jaji alipendwa huyu
Acha tu Mkuu.......Mimi niliishi nae nikiwa mdogo nasoma primary nilifaidi upendo wake kwa kweli.Jaji alipendwa huyu
MautiChanzo cha Kifo ni nini?
Ni changamoto ya upumuaji.. Sasa ni wanasheria zaidi ya 25 wameshafariki kwa changamoto hii achia magonjwa mengine kuanzia Januari mwaka huu.Mahakama ya Tanzania inasikitika kutangaza kifo cha Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mhe. Regina Rweyemamu aliyefariki dunia leo asubuhi katika hospitali ya Kitengule iliyopo Tegeta jijini Dar es Salaam.
Msiba wa Jaji Mstaafu Rweyemamu uko nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es Salaam.
Mahakama ya Tanzania inatoa pole kwa familia ya marehemu, ndugu, jamaa na marafiki kufuatia msiba huu.
Taarifa Zaidi kuhusiana na msiba huu zitapatikana baadaye.
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE.
Mmm misiba kama ,vyuma vinalala, mahalifa,na uzoefu wa taifa unalala, from 2 week ago nimetuma rambirambi za misiba, ila nasema hata ifike 10 m nitaendelea kutumia, Hapa sio kwetu, but Hali ni mbaya,Mahakama ya Tanzania inasikitika kutangaza kifo cha Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mhe. Regina Rweyemamu aliyefariki dunia leo asubuhi katika hospitali ya Kitengule iliyopo Tegeta jijini Dar es Salaam.
Msiba wa Jaji Mstaafu Rweyemamu uko nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es Salaam.
Mahakama ya Tanzania inatoa pole kwa familia ya marehemu, ndugu, jamaa na marafiki kufuatia msiba huu.
Taarifa Zaidi kuhusiana na msiba huu zitapatikana baadaye.
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE.