Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,430
- 37,645
Muulize kama sauti inatosha au ninyonge batani ya volyumu kwenda kulia?kama unaona wivu, kufa na wewe utangazwe
Muulize kama sauti inatosha au ninyonge batani ya volyumu kwenda kulia?kama unaona wivu, kufa na wewe utangazwe
Nani kakulazimisha kusoma? Umeambiwa kama unaona wivu kufa na wewe utangazwe, kama siyo wivu basi una roho mbaya kama JiweNione WIVU upo Sasa.. Nashangaa munafurahi kutangaza vifo
Pia Namungo wamepigwa stop kuingia AngolaMbweni, Ununio hadi Kunduchi imetikiswa!
Rip
Na wewe kajinyonge basi tukutangazeNione WIVU upo Sasa.. Nashangaa munafurahi kutangaza vifo
ulo sahihi inabidi hata kwenye CV watu kwenye eneo la hobbies waandike Hobby yangu ni kutangaza vifo vya watu mitandaoniWatanzania wamepata Hobby mpya ya kutangaza vifo
Ni mbinu za kimichezo hizo!Pia Namungo wamepigwa stop kuingia Angola
Itembee na ocean road hadi kivukoni hapa tuone mtikisiko.Mbweni, Ununio hadi Kunduchi imetikiswa!
Rip
Namungo hawana ubavu wa kufanyiwa mbinu. Ingawaje inawezekanaNi mbinu za kimichezo hizo!
Mnawapelekea majanga yenuNi mbinu za kimichezo hizo!
Mama si aliwahi kuwa Kamishna wa kazi huyu....Kama Ni yeye kwa life style yake kifua hakikuwa na Afya...msisinguzie mengine!View attachment 1701387
Mahakama ya Tanzania inasikitika kutangaza kifo cha Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mhe. Regina Rweyemamu aliyefariki dunia leo asubuhi katika hospitali ya Kitengule iliyopo Tegeta jijini Dar es salaam.
Msiba wa Jaji Mstaafu Rweyemamu uko nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es salaam.
Mahakama ya Tanzania inatoa pole kwa familia ya marehemu, ndugu, jamaa na marafiki kufuatia msiba huu.
Taarifa Zaidi kuhusiana na msiba huu zitapatikana baadaye.
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE.
Naona unatafuta mazingira uweke umbeya, life style gani tena na ya nini hapa!Mama si aliwahi kuwa Kamishna wa kazi huyu....Kama Ni yeye kwa life style yake kifua hakikuwa na Afya...msisinguzie mengine!
HahahahaWatanzania wamepata Hobby mpya ya kutangaza vifo
Yaani Mungu asitimize yake,eti tunaangamia kwa kukosa maarifa! Alipangalo Mungu hakuna wakulitenguwa hata ukiwa na maarifa bakuli tele!!Kaazi kweli kweli. Jinsi tunayo angamia kwa kukosa maarifa.
Sasa si mpeleke matangazo yenu kule Redio one kwa Marehemu Mengi!!sasa kwanini unachukia watu wakitangaza vifo vya wapendwa wao. kama hutaki kusikia au kuona matangazo kama hayo basi jitoe kwenye mitandao ya kijamii