Mh Rais yanayomshinda hayaongelei tena

Sikiliza rafiki yangu tunajua katiba inasema mitano mitano, lakini uhalisia ni formality tu hiyo Rais anapiga miaka 10. Hata Ilani huwa ya miaka 10 ndugu. Kwa hiyo wewe jiandae kisaikolojia tu kama ulikuwa unawaza sijui kinaweza kutokea kitu gani ondoa akilini, ana miaka 8 imebaki vuta subra atekeleze ahadi zake.
Mkuu formality hii inaapply saana kwa Chama chao kumchagua Mgombea, lakini kwa Anything can happen tuache kuchagua kwa Mazoea! Ndiyo maana Waafrika tunaonekana watu wa Ajabu ajabu hivi hivi, tunafanya maamzi kwa mazoea, kweli laana hii sijui ilitoka wapi!
 
Bwana Mkubwa ana katabia kunyamazia alikovurunda
Hazungumzii kabisa uzwaji wa nyumba za serikali,meli ya uvuvi,mv Dar es salaam,wala mabilioni yaliyopotea wizara ya ujenzi chini yake wala million kumi kumi za wabunge
Lakini mapangaboi atazungumzia miaka yote ya utawala wake
 
Hata Swala la Viwanda, anapiga Bajeti kwa fedha ya Mfukoni kwa Jirani yako, hatari saana!
Viwanda havijengwi na serikali,vinajengwa au vitajengwa na watu/taasisi binafsi.
Kazi ya serikali ni kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji.
Mazingira rafiki ni pammoja na kurudisha hadhi ya technical schools,technical colleges ili tupate mafundi wenye ujuzi wa kutosha.
Vinginevyo viwanda bila mafundi wazawa ni kuwatengenezea ajira mataifa ya nje.
 
Safari za nje kwa watumishi naona zisharuhusiwa tena ndani ya Business class kwenda Paris
935ddbb770245aadf4cea1a57a7cb8f9.jpg
 
Bwana Mkubwa ana katabia kunyamazia alikovurunda
Hazungumzii kabisa uzwaji wa nyumba za serikali,meli ya uvuvi,mv Dar es salaam,wala mabilioni yaliyopotea wizara ya ujenzi chini yake wala million kumi kumi za wabunge
Lakini mapangaboi atazungumzia miaka yote ya utawala wake
Hahahaha, umeona Mkuu. Halafu Juzi tu kwenye Ishu ya Makonteina ya Mchanga, Tume imesema kwenye Kontena Ukiweka Taluma la Reli halafu Ukapitisha kwenye Scanner, Scanner haioni. Ninavyosikia Zile Scanners amenunua Kipindi hiki si muda mrefu, amekaa kimya maana anajua akiongea atakuwa anajikosoa!
 
Viwanda havijengwi na serikali,vinajengwa au vitajengwa na watu/taasisi binafsi.
Kazi ya serikali ni kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji.
Mazingira rafiki ni pammoja na kurudisha hadhi ya technical schools,technical colleges ili tupate mafundi wenye ujuzi wa kutosha.
Vinginevyo viwanda bila mafundi wazawa ni kuwatengenezea ajira mataifa ya nje.
Wasipokuja hao unaowategemea? Sijui kama umeelewa hoja yangu!
 
Kwani toka amechukua hii nafasi kuna aliloweza? Mimi naona mipango mingi utekelezaji zero.
 
Kweli aisee, Swala la Kuteua Wa Vyama vingine eti naye katufanya Wendawazimu Watanzania! Aibu yake huyu!
Tatizo anajiona ye ndo ana akili kuliko watanzania wote....anasahau uongozi unahitaji busara....anasahau kuna watangulizi wake ambao ilitakiwa ndo wawe washauri wake....uongozi si kutumia mabavu tu kila sehemu
 
Bado yuko busy kuunda serikali yake, awamu ya 1 (miaka 5) atakuwa na jukumu la kuunda serikali, awamu ya 2 ndio ataanza kujenga nchi RASMI
 
Mkuu formality hii inaapply saana kwa Chama chao kumchagua Mgombea, lakini kwa Anything can happen tuache kuchagua kwa Mazoea! Ndiyo maana Waafrika tunaonekana watu wa Ajabu ajabu hivi hivi, tunafanya maamzi kwa mazoea, kweli laana hii sijui ilitoka wapi!
Mungu atupe uhai tu
 
Mwanza nilikwenda nikakuta sukari sh3000!.Kutoka mwanza kwenda kagera sugar izalishwapo sukari ni umbali wa mwendo wa saa12 na pungufu.

Mwanza - Kagera Sugar Plantations and the factory ni mwendo wa 12hrs !!?

Mkuu unakuwa unasafiri kwa baiskeli ama bajaji ?

It's defenetely less than 6hrs by bus and less than 45mins by air.....!!

Sijawahi panda meli, labda uwe unamaanisha kwa mwendo wa meli ya MV Mapenzi 16Century....!!!
 
Back
Top Bottom