Akihutubiwa mkutano wa hadhara ktk maeneo ya Sido,amekutana na zomea zomea,baada ya kushindwa kujibu maswali ya wakazi na wafanyabiashara wa hapo!ikamlazimu kukabidhi maiki kwa Mc,na kupanda gari,ndipo wananchi wakaanza kuimba Sugu rais na kumwita Mary fisadi.