Pollonium 210 imeharibu ubongo.
Mbona inawezekana kabisa, ni uamuzi wa busara sana. Kwa kawaida binadamu bladder inakuwa full kila baada ya masaa ma3, basi likitoka ubungo kituo cha kwanza Msamvu, cha pili ruaha mbuyuni cha tatu Makambako/ Njombe na mwisho safari inakuwa imekwisha kwa wale wa songea, Mbeya sijafika lakini baada ya kutoka makambako nadhani si zaidi ya masaa ma5
Mbona inawezekana kabisa, ni uamuzi wa busara sana. Kwa kawaida binadamu bladder inakuwa full kila baada ya masaa ma3, basi likitoka ubungo kituo cha kwanza Msamvu, cha pili ruaha mbuyuni cha tatu Makambako/ Njombe na mwisho safari inakuwa imekwisha kwa wale wa songea, Mbeya sijafika lakini baada ya kutoka makambako nadhani si zaidi ya masaa ma5
Watu tunatofautiana bro, wengine tukinywa hata robo glass ya maji basi unachokoza utachimba dawa zaidi ya maji uliyokunywa. Na kuna wenye matatizo kama wazee, wajawazito na watoto.Nadhani serikali kwanza ingeweka hivyo vituo na vyoo vya njiani halafu ndio wangetuletea hii habari. Watu wanaopewa tenda ya kutengeneza barabara labda watengeneze kabisa na vituo vya mapumziko.
Mbona inawezekana kabisa, ni uamuzi wa busara sana. Kwa kawaida binadamu bladder inakuwa full kila baada ya masaa ma3, basi likitoka ubungo kituo cha kwanza Msamvu, cha pili ruaha mbuyuni cha tatu Makambako/ Njombe na mwisho safari inakuwa imekwisha kwa wale wa songea, Mbeya sijafika lakini baada ya kutoka makambako nadhani si zaidi ya masaa ma5
Maundumula nadhani Mupirocin ameeleza vizuri kabisa kwamba kama utaratibu unawekwa na unakubaliwa ni rahisi kupanga vituo vya kusimama kwani mbona vipo tayari? - tubadilike na kuwa jamii ya wastaarabu zaidi
kama unakwenda Mbeya mfano, sehemu zenye hotel na vyoo mbona ni nyingi? kuna chalinze, Morogoro/msamvu, mikumi, ruaha mbuyuni/aljazeela, Kitonga motel, ilula, Iringa Town, Mafinga, Makambako, na kabla ya kufika mbeya vipo vingi hapa katikati. kama utaratibu utawekwa watu watajenga mahotel na vyoo mimi sioni tatizo katika hilo cha msingi narudia tubadilike na kuwa jamii ya wastaarabu zaidi