Amri ilitolewa ndani ya bunge la Tanzania na Mh.
Mwakyembe waziri wa miundo mbinu kuwa ni marufuku kwa wenye mabasi kusimamisha magari yao njiani yakiwa na abiria porini kwa ajili ya watu kujisaidia (kuchimba dawa) wale watakaopatwa na tumbo la kuharisha na wenye kukojoa kila baada ya saa 1 watakomaje au mabasi yatatumia mifuko ya rambo?
Mwakyembe waziri wa miundo mbinu kuwa ni marufuku kwa wenye mabasi kusimamisha magari yao njiani yakiwa na abiria porini kwa ajili ya watu kujisaidia (kuchimba dawa) wale watakaopatwa na tumbo la kuharisha na wenye kukojoa kila baada ya saa 1 watakomaje au mabasi yatatumia mifuko ya rambo?