Habari Njema: Kuchimba dawa kwa abiria sasa ni dakika 20

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,641
218,091
Hii ndiyo Taarifa mpya iliyosambazwa na Mamlaka ya kudhibiti usafiri wa ardhini (LATRA) Ambapo madereva wa mabasi ya abiria wametakiwa kuzingatia muda huo katika kula na kuchimba dawa kwa abiria wao.

Mamlaka hiyo imetoa namba ya simu 08000110019 ya kupiga bure endapo kuna dereva atayeshindwa kufuata mwongozo huu mpya.

Chanzo : Mwananchi

Ni matumaini yetu kwamba ile adhabu ya abiria kukimbilia basi lililomuacha huku ameshikilia suruali yake isimdondoke itakuwa imefika mwisho.
 
Hii ndiyo Taarifa mpya iliyosambazwa na Mamlaka ya kudhibiti usafiri wa ardhini (LATRA) , Ambapo madereva wa mabasi ya abiria wametakiwa kuzingatia muda huo katika kula na kuchimba dawa kwa abiria wao.

Mamlaka hiyo imetoa namba ya simu 08000110019 ya kupiga bure endapo kuna dereva atayeshindwa kufuata mwongozo huu mpya .

Chanzo : Mwananchi

Ni matumaini yetu kwamba ile adhabu ya abiria kukimbilia basi lililomuacha huku ameshikilia suruali yake isimdondoke itakuwa imefika mwisho .
Kwani awali ilikuwa dakika ngapi?
 
Lalamiko kwa abiria sio muda wa kuchimba dawa huo dk 10 .Sasa dk 20 zote za nn? unatutosha Kabisa uliopo..yaani Hawa LATRA mgonjwa anaumwa kichwa unamtibu miguu...lalamiko letu Ni chakula Bei ghali..watu hatufanani vipato.unashushwa hotel hamna hata chakula Cha Bei nafuu..kweli lunch Nile 8,000 au elfu 10 etc? Haya ndio Mambo yakufanyia kazi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hii ndiyo Taarifa mpya iliyosambazwa na Mamlaka ya kudhibiti usafiri wa ardhini (LATRA) Ambapo madereva wa mabasi ya abiria wametakiwa kuzingatia muda huo katika kula na kuchimba dawa kwa abiria wao.

Mamlaka hiyo imetoa namba ya simu 08000110019 ya kupiga bure endapo kuna dereva atayeshindwa kufuata mwongozo huu mpya.

Chanzo : Mwananchi

Ni matumaini yetu kwamba ile adhabu ya abiria kukimbilia basi lililomuacha huku ameshikilia suruali yake isimdondoke itakuwa imefika mwisho.
Wafafanue zaidi baada ya saa ngapi za kusafiri abilia wapewe nafasi ya kuchimba dawa,
Maana mabasi mengine ni shida,unatembezwa saa Tano au kilomita 400!bila kupewa nafasi ya kuchimba dawa,huwa ni mateso sana.
 
Bado ni kizungumkuti tu, ukiacha dharula, wangesema kila baada ya kilomita ngapi gari inapaswa kusimama kwaajili ya kuchimba dawa, wasafiri wana afya tofauti tofauti.

Kama ni muda wa safari, barabara ndio changamoto kubwa sana, ikifuatiwa na askari, dereva ni changamoto ya mwisho. Barabara pana na zenye viwango, basi inasifiri kwa 100kph bila tatizo, sasa mara shimo, mara tuta, mara askari anarukia barabarani kutokea kichakani na speed gun yake n.k

Hapa mpaka Chalinze, inapaswa kuwa lisaa tu kwa miundombinu bora, 600km zimalizwe kwa masaa 7.5 tu
 
Sijaelewa, hiyo ni kwa safari zote bila kujali umbali, mathalan safari ya Tanga na Moro haifanani ya Mwanza na Bukoba.
 
Lalamiko kwa abiria sio muda wa kuchimba dawa huo dk 10 .Sasa dk 20 zote za nn? unatutosha Kabisa uliopo..yaani Hawa EWURA mgonjwa anaumwa kichwa unamtibu miguu...lalamiko letu Ni chakula Bei ghali..watu hatufanani vipato.unashushwa hotel hamna hata chakula Cha Bei nafuu..kweli lunch Nile 8,000 au elfu 10 etc? Haya ndio Mambo yakufanyia kazi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
nakuunga mkono hojaa bei ya hotel tunazopelekwa sio rafiki kwa mifuko yetu
 
Back
Top Bottom