Mh. Mbassa (CHADEMA) ashinda kesi jimbo la Biharamulo Magharibi

Ushindi Mara ya 5 ndani ya Wiki 2 hadi 3
1. Arumeru
2. Sumbawanga
3. Biharamuro
4. Singida kwa Lisu
4. Kumwagika kwa wanachama wa CCM kuelekea CDM

Hadi sasa CDM 5 na CCM 1 (Ushindi wa mezani wa Arusha)
Hii haijawahi tokea tangu Mageuzi yaanze. Ipo kazi!
 
Weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.....kama mancity vile....hahahahahahaaaaaaaaa
 
Kwa matokeo ya leo tu ubao unasomeka 2-0(biharamulo na sumbawanga mjini)
 
Mkuu tupe mambo, oscar mukasa ni ndo yule ndugu yake na bernad mukasa na padri mwombeki mukasa? usipende kuwapa wana jamvi mambo nusu nusu ndo maana hii ni house of deep thinkers. sio thinkers wa magamba bali gud thinkers who can hold credits
 
Nawapongeza wana Biharamulo kwa ushindi huu. Na ninashukuru Jaji ametenda haki. Ktk nchi hii kwa Tume yetu ya Uchaguzi mpaka mpinzani atangazwe mshindi anakuwa ni mshindi kweli. Wapiga kura wanakua wamepambana na uchakachuaji na wizi wa kura mpaka chaguo lao atangazwe mshindi! Ingawa sisi Wakristo tunaambiwa tusamehe,lakini sitamsamehe jaji aliyehukumu kesi ya Godbless Lema hata kama ni mhaya mwenzangu. Ilikua hukumu ya kihuni na kijuha! Lakini niseme ndani ya CCM,hao jamaa hawana aibu wala woga hata kwa Mungu! Ushenzi na umafia CCM iliofanya 2010 kulazimisha ushindi Arusha Mjini hawakuwa na hudhu wala haki ya kufungua kesi ya kulalamikia matokeo yale!!! Kama bado kungekuwa bado kuna watu huko wenye busara wangezuia hiyo kesi. Kwasababu ilikua ni kuwachokoza wapiga kura wa Arusha ambako chama chochote makini hakiwezi jiingiza ktk ujinga kama huo!
 
Eee Mungu Mwenyezi jina lako libarikiwe, wewe ni Mungu unayelitazama neno lako ili ulitimize. Mungu asante kwa kuendelea kumpa haki mwenye haki. Tumedhurumiwa vya kutosha na sasa huu ni wakati wa ukombozi wa Tanzania.
Na sasa napaza sauti mbele zako Bwana na huku nikimwomba Roho Mtakatifu anisaidie kwa kuomba maana ndiye anatuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkika kuwa sasa simamia haki katika Jimbo la Ubungo na Segerea.
Eee Mungu sikia kilio cha Watanzania tuokoe na Joka hili baya CCM, shusha roho ya ufahamu kwa wana CCM waliowaadilifu wahamie kwenye chama chenye kujali watu wako yaani CHADEMA ili panga lako litakaposhuka wasije wakaangamia pamoja na wadhurumaji kwa sababu ya kuwaunga mkono kwa ujinga wao. Eee Mungu tusaidie. Nimeomba hayo katika Jina Bwana wetu YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WETU:A S-key:
 
Ni mfumo uleule wa mahakama iliyomvua Lema,kumbe mahakama huwa mbaya zinapohukumu kinyume na matakwa yenu!
 
Weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.....kama mancity vile....hahahahahahaaaaaaaaa

ulianza vizuri...umekuja kuharibu comment yako hapo mancity!
 
Back
Top Bottom