Mmmmmh!
Heb niwakumbushe mambo haya.
1.tuache ushabiki bali busara na hekma vituongoze
2.umoja na mshikamano viwe dira na ngao yetu.
3.haki iletayo aman tuitafutie fursa.
4.tupeane elim ili kupunguza au kuondoa utajiri wa ujinga ulio pumbaza jamii ya kitz hadi kushndwa kuunganisha matukio.
MWISHO JAPO SI HABA,
Enz za omary nundu,alisifia wizara ya uchukuz japo ilkua imejaa rushwa na kla aina ya ulaghai,mwenzake kaja na ufanis thabit,je nundwe amejionea uwezo wake mdogo na dhaif.
Ahadi kbao zmetolewa na wanaserkal lakn AHAAAAA WATZ HATUON hatuon.tumekomalia wapnzan wanao fanyiwa zengwe kla kuchao hasa hasa kuwaonyesha wtz ati wapnzan nivisiki,ati ccm ni nuru,WIZI MTUPU
.