Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,419
- 15,974
Habari wakuu,
Leo nimekutana na site hii www.tms.tpf.go.tz/ ambapo mtu anatakiwa kujaza detail either licence number au plate number ya gari kucheki kama anadaiwa kutokana na makosa mbalimbali ya barabarani. Cha ajabu gari nimepaki home na ufunguo nimefungia ndani na mimi huo muda sikua home ila nimekuta nadaiwa 60,000 kwamba gari yangu ina tairi mbovu, sehemu wanapotaja kwamba gari ilikamatwa ndio napasikia kwa mara ya kwanza, leseni ya mtu aliyeshikwa na gari sio yangu na mimi huwa sina kawaida ya kuazimisha gari. Hii sio sawa kabisa.
Leo nimekutana na site hii www.tms.tpf.go.tz/ ambapo mtu anatakiwa kujaza detail either licence number au plate number ya gari kucheki kama anadaiwa kutokana na makosa mbalimbali ya barabarani. Cha ajabu gari nimepaki home na ufunguo nimefungia ndani na mimi huo muda sikua home ila nimekuta nadaiwa 60,000 kwamba gari yangu ina tairi mbovu, sehemu wanapotaja kwamba gari ilikamatwa ndio napasikia kwa mara ya kwanza, leseni ya mtu aliyeshikwa na gari sio yangu na mimi huwa sina kawaida ya kuazimisha gari. Hii sio sawa kabisa.