Hapo ujue umeme unahama kutoka kwenye lap top mpaka kwenye buffer na Kama laptop yako ingekuwa na bati ambalo linapitisha umeme basi ungekuwa unapigwa shoti hiyo??
Mbona hiyo ipo sana hata kwenye deki na dvd au hata vingamuzi sema kam utakuwa umevaa viatu unaweza usiisikie
Angalia pia kama earth wire inafanyakazi vzr au kama ipo, laptop yako ina pini ngapi za kuchomeka kwenye umeme kama zipo tatu earth ipo kama ni mbili earth wire haipo.dah mkuu hapo umemaliza kila kitu thanks 4 ua perfect contribution.
Angalia pia kama earth wire inafanyakazi vzr au kama ipo, laptop yako ina pini ngapi za kuchomeka kwenye umeme kama zipo tatu earth ipo kama ni mbili earth wire haipo.