Umenipa fundisho aise
Kwako hata kwa dawa situmi application maana cha mbavu sikiwezi
Hahahahaaa watu wanaogopa hicho kilemba wanahisi lazima utakuwa mwanaharakati tu
Naweka picha yangu kuwa natafuta na mwenye nia aje
Maana kuweka picha ya ninayemtafuta haisaidiii naweka ya kwangu wajue kuwa niko serious na namwaga CV yangu yote
Nimekuwa nafuatilia post nyingi sana humu kwenye haka ka sub forum ka MMU. Nimegundua kitu, post nyingi zinazotolewa na wasichana/wanawake kutafuta wapenzi/wachumba au waume zimekuwa zinapata comments nyingi sana tofauti na za wanaume ambazo mara nyingine hukosa kabisa hata comment moja pamoja na kuwa ziko nyiiingi.
Jamani eeeh wapeni moyo na wanaume basi ili wasijekata tamaa
Nipo my dearest, mambo yalinitinga kidogo; l am coming back mdogo mdogo.
Pole na kuuguza, nami nilikuwa na mgonjwa Mwaisela ila Mungu amemchukua @94yrs.
thanks ma dear,kid anaendela vyema sana. Pole sana kwa msiba mpenzi
thanks ma swthrt, gdnt.Asante, tunamshukuru Mungu kwa maisha ya granny wetu humu duniani. 94 ni namba kubwa hivyo tunakila sababu ya kushukuru.
I am glad kiddo anarecover vizuri.