Mh. Hamad Rashid LIVE on Star TV

Mh. Hamad Rashid LIVE on Star TV

Ndugu mtangazaji, nimefadhahika sana kumsikia mh Hamad, anaunga mkono swala la posho za wabunge.

Ananipa mashaka na nia yake yakutaka kuwa kiongozi mkubwa kama katibu, kuwa lengo lake bado ni maslahi binafsi.
 
Amejibu kiujanjaujanja hamad anawanafunzi 18 anaowasomesha hv anaona kuongezwa kwa posho itamsaidia
...Hicho kimenistaajabisha kidogo. Anasema mfumo mbovu, halafu anautetea kiaina. Kwahiyo, anafikiria ni nani ataurekebisha -ukizingatia yeye anachofanya ni unafki wa kuukosoa huku akiupigia chapuo kwa upande mwingine.
 
Ndugu mtangazaji, nimefadhahika sana kumsikia mh Hamad, anaunga mkono swala la posho za wabunge.

Ananipa mashaka na nia yake yakutaka kuwa kiongozi mkubwa kama katibu, kuwa lengo lake bado ni maslahi binafsi.
Hivi mmeona ni wabunge tu wanaopewa posho kubwa?

Kwanini hao wanaopinga posho wasiseme watumishi wote waserikari na wa binafsi wasiongezwe au kupewa posho?

Ni mtego tuu wa wanasiasa kujifanya wao wanahuruma na wananchi kumbe wanacho wanachokitafuta. Nadiriki kusema wanafiki wakubwa waniulize ni kwanini nasema hivyo niwaumbue hapa.
 
Yaani namshangaa huyu jamaa kuhalalisha ongezeko haramu la posho kisha anasomesha wanafuzi 18. Hivi alishajuiliza nini kimesababisha wazazi wa hao wanafunzi washindwe kuwalipia ada mpaka yeye mtu baki abebe jukumu hilo?
Angekuwa na busara angesaidia kupigania sera ya redistribution of Income ifanye kazi badala ya watu wachache kushika uchumi! Ongezeko la mishahara liwe consistent kwenye jamii nzima ya wafanyakazi.
Huyu jamaa kanihakikishia jinsi uwezo wake wa kufikiri ulivyo mdogo.
Amejibu kiujanjaujanja hamad anawanafunzi 18 anaowasomesha hv anaona kuongezwa kwa posho itamsaidia
 
Mkuu naomba unisaidie: mbali na bunge wapi kwingine posho zinaongezwa kwa amount kubwa?
Kuna siku waalimu wameboreshewa maslahi bila ya kutumia nguvu ya maneno na vitisho vya kuandamana?
Hivi mmeona ni wabunge tu wanaopewa posho kubwa?

Kwanini hao wanaopinga posho wasiseme watumishi wote waserikari na wa binafsi wasiongezwe au kupewa posho?

Ni mtego tuu wa wanasiasa kujifanya wao wanahuruma na wananchi kumbe wanacho wanachokitafuta. Nadiriki kusema wanafiki wakubwa waniulize ni kwanini nasema hivyo niwaumbue hapa.
 
Hivi mmeona ni wabunge tu wanaopewa posho kubwa?

Kwanini hao wanaopinga posho wasiseme watumishi wote waserikari na wa binafsi wasiongezwe au kupewa posho?

Ni mtego tuu wa wanasiasa kujifanya wao wanahuruma na wananchi kumbe wanacho wanachokitafuta. Nadiriki kusema wanafiki wakubwa waniulize ni kwanini nasema hivyo niwaumbue hapa.

Mkuu naomba kukufamisha wa ukiwa na muda unaweza ku google kwa mifano

  • Tatizo sio posho tatizo ni osho na mishahara kutoangaia vipaubele.
  • Tatizo ni pale siasa inapokuwa kazi ya umma inayolipa vizuri kuliko utendaji wa umma.
Mifano. tafuuta data hizi google utuleteee majibu
Tafuta mshahara wa "RPC" wa london au new yrk ulinganishe na mshahra wa mbunge.
tafuta au gogle mshahara wa afisa wa afya wa "mkoa wa usa" au jimbo ulinganishe na ule mshahar wa mbunge

Tafuta data hizi za Tanzania tupe majibu kama ni sawa
Afisa kilimo wa mkoa na wilaya wanapokea shilingi ngapi
Afisa Mifugo wa mkoa na wilaya wanapokea mshahar wa shingi ngapi
Afisa mhadsi, Maji,

JUMUISHO
Huwezi kupata maendeleo ya kweli sehemu ambapo siasa ni ajira inayolipa zaidi ya ajira ya utendaji. Hawa wabunge wetu wanatakiwa wapiganie maslahi ya mfisa elimu, afya, kilimo, mikoani na wilani yawe makubwa zaidi yao. Hawa ndio watu wataokoleta na wanatiwa kuleta maendeleo na si wanasiasa.

Mbunge anayetetea posho wa kutolea mfano wa idadi ya watoto aliojitolea kusomesha na misaada mingine ya hiari inaonekana hajui kazi ya ubuge.
 
hivi mmeona ni wabunge tu wanaopewa posho kubwa?

Kwanini hao wanaopinga posho wasiseme watumishi wote waserikari na wa binafsi wasiongezwe au kupewa posho?

Ni mtego tuu wa wanasiasa kujifanya wao wanahuruma na wananchi kumbe wanacho wanachokitafuta. Nadiriki kusema wanafiki wakubwa waniulize ni kwanini nasema hivyo niwaumbue hapa.

kumbuka msimamo wa chadema kwenye bunge la bajeti, jumla ya posho serikalini ilikuwa bil.985/=. Walipinga kiwango hicho(ni kikubwa mno). Sasa leo unauliza hypocracy ipi?
 
Ni busara nzuri umetumia mtangazaji yahya M. huu ndo uendeshaji wa vipindi wa kisasa, we need this kind of networking to provide input for our interview. well done yahya, my advice is that, plz send pre session thread atleast two days before or one ili watu mbalimbali tujue uwepo wa interview muhimu kama hii, pia tukupe inputs mbali mbali for your interview. but generally, i real appreciate your approach Yahya.
 
Naomba nimuulize Mzee wangu hapo Hamad Rashid, ni kwa nini ameanza harakati za kuwania ukatibu mkuu mapema kiasi hiki tofauti na taratibu za kichama? Je kwa sisi ambao tuliofuatilia kipindi cha mwanzo kabisa bungeni mara baada ya uchaguzi na kuona jinsi alivyokuwa anahangaika kubadili vifungu vya bunge ili kuwe na kambi isiyo rasmi bungeni,atatushawishi vipi kuwa yeye si mroho wa madaraka?
Maalimu Seif alikuwa wa Kwanza kutangaza kugombea Ukatibu Mkuu kwenye Baraza kuu
 
hamad rashid acheni migogoro jengeni chama acheni uroho wa madaraka.
Hujui Migogoro nayo inajenga Chama??? Wakwanza kuleta Migogoro alikuwa ni Nyerere !!! aliwapinga Wakolono !!! Kitendo cha Ndiyo Mzee ni hatari kwa maendelea angalia nchi ya Kenya
 
Hamad ni mroho wa madaraka, baada ya kuukosa ukuu wa kambi ya upinzani

kinachomwasha ni wenzake kuula serikali ya SMZ
 
Back
Top Bottom