mchillo
JF-Expert Member
- Oct 13, 2010
- 500
- 224
Mimi ni mwanaharakati wa mageuzi na naomba kumpa pongezi Mh. Hamad kwa kutetea heshima ya chama chake.
Naomba niseme waziwazi kwamba sioni tatizo kwa yeye kutamka nia ya kugombea uongozi ili ajaribu kukiimarisha CUF kinachoonekana waziwazi kupoteza mwelekeo. Tatizo ninaloliona hapa ni ulevi wa madaraka wa viongozi ndani ya vyama vya kisiasa na uoga wa kuwaachia wengine madaraka.
Naomba niseme waziwazi kwamba sioni tatizo kwa yeye kutamka nia ya kugombea uongozi ili ajaribu kukiimarisha CUF kinachoonekana waziwazi kupoteza mwelekeo. Tatizo ninaloliona hapa ni ulevi wa madaraka wa viongozi ndani ya vyama vya kisiasa na uoga wa kuwaachia wengine madaraka.