Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Swali:
Mgogoro unaofukuta ndani ya CUF unatokana na ugomvi wako wewe Hamad na Maalim Seif, na kutokana na kutoelewana kwenu nyie wawili, hamuoni kwamba mnaweza kusababisha mpasuko ndani ya chama na kusababisha chama kusambaratika kwa maslahi yenu binafsi?
Na kwakuwa unatambua kuwa Mgogoro si mzuri kwa afya ya chama chenu, kwanini usijiweke pembeni na suala linalosababisha mgogoro na kubaki kuwa mwakilishi?
Mgogoro unaofukuta ndani ya CUF unatokana na ugomvi wako wewe Hamad na Maalim Seif, na kutokana na kutoelewana kwenu nyie wawili, hamuoni kwamba mnaweza kusababisha mpasuko ndani ya chama na kusababisha chama kusambaratika kwa maslahi yenu binafsi?
Na kwakuwa unatambua kuwa Mgogoro si mzuri kwa afya ya chama chenu, kwanini usijiweke pembeni na suala linalosababisha mgogoro na kubaki kuwa mwakilishi?