Mh. Godbless Lema aonja joto la jiwe!

Source ni UHURU na HABARI LEO. Habari hii ni ya kutunga -- na kama ni kweli basi CCM iliwalipa vijana kurusha mawe na halafu haraka kupeleka habari katika hayo magazeti yao ambnayo habari kama hizo huziandika tu bila kufanya independent confirmation.

jana au juzi magazeti hayo mawili yaliandika habari za Mrema na Prof yule wa Pumba wakimponda Dr Slaa. Hakuna magazeti mengine yaliyoandika habari hiyo ambayo ilitokana na waandishi wao kuagizwa kuwahoji wawili hao kuhusu mikakati ya CDM Nyanda za Juu Kusini na ambao hawakutarajiwa kuisifia CDM na Dr Slaa hata kidogo kwa jinsi wivu wa kike ulivyowajaa.

Hayo magazeti mawili sasa hivi yanakwenda kivyao -- yamekaa kama vile 'Jokers' in the pack of cards!


Habari hizi ni uzushi mtupu. Lema alikuwa arusha ijumaa jioni na jumamosi alisimamia harusi moja kubwa hapa arusha, mimi pia nilihudhuria harusi hiyo kwenye tafrija iliyofanyika kwenye ukumbi wa the blue firm-triple a. Harusi ya kijana aitwaye Amani Maresi. Its obvious, hizi habari ni uzushi mkubwa wa magazeti haya ya ccm.
 
Ndugu angalia na kauli unazozitoa. Kwa Tanzania ninayoijua mimi hatujafikia mtu kwa mijadala kama hii ya kisiasa kutoa kejeri kubwa kama hii katika watu wa dini inayekubalika na kuheshimika nchini. Mtu kusema nyumba ya ibada ya watu wa dini ya kiislamu wanaishi majini hana nia nzuri na nchi yetu. Anataka waislamu nao wajibu nini alafu yeye atapata faida gani? Nijuavyo mimi vyama vetu vyote vya siasa tulivyonavyo vina wananchama na viongozi kutokana dini zote kuu hapa nchini. Hamna kiongozi wa CHADEMA wala CCM atakayeshabia kauli kama hizi.
 
Habari lazima ibalance 'lazima mwandishi angemuuliza Lema na kutoa majibu yake au wangehojiwa hata mashuhuda kadhaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom