Mh. G. Lema achafua hali ya hewa mbele ya Askofu Laizer

lema kama hutabadilika utaishia hapo dogo, yani hujui hata wapi pa kuongelea hayo maneno?
uko sahihi kuwa arusha hakuna meya wa haki, ila wewe unadhani kuropoka msibani habari hizo ni sehemu sahii?
usipobadilika huna maisha marefu kwenye siasa dogo....usikurupuke kwa makofi ya jukwaani, bado unasafari ndefu sana.
mwisho wa siku tutakuuliza hamasa unazofanya zimesaidia nini kwenye miradi ya jimbo, wewe piga hamasa zako kwani huna uwezo wa mezani na kuchambua mambo ila kwa hamasa unaweza, sasa tumia wataalamu wakusaidie mambo mengine, unaona usivyokuwa na maaili kbisa
 
G.Lema mbunge wetu anatakiwa awe na uvumilivu wa kisiasa. Kwa maoni yangu pale siyo mahala pake kwani wote wamenda kwa dhumuni moja tuu "mazishi".
Lema ni mvumilivu wa kisiasa asiependa wajinga , vilaza na makarunguyeye kutoka kwa Magamba
 
lema kama hutabadilika utaishia hapo dogo, yani hujui hata wapi pa kuongelea hayo maneno?uko sahihi kuwa arusha hakuna meya wa haki, ila wewe unadhani kuropoka msibani habari hizo ni sehemu sahii?usipobadilika huna maisha marefu kwenye siasa dogo....usikurupuke kwa makofi ya jukwaani, bado unasafari ndefu sana.mwisho wa siku tutakuuliza hamasa unazofanya zimesaidia nini kwenye miradi ya jimbo, wewe piga hamasa zako kwani huna uwezo wa mezani na kuchambua mambo ila kwa hamasa unaweza, sasa tumia wataalamu wakusaidie mambo mengine, unaona usivyokuwa na maaili kbisa
kwani kakwambia yeye anataka kufika mbali ? Yeye ubunge ndio post anayofit. Anawawakilisha wanaARUSHA KWA KASI NA VIWANGO ! Hata leo ukiitishwa uchaguzi kati yake Na Kikwete ktk ubunge, Lema atashinda .
 
lema kama hutabadilika utaishia hapo dogo, yani hujui hata wapi pa kuongelea hayo maneno?
uko sahihi kuwa arusha hakuna meya wa haki, ila wewe unadhani kuropoka msibani habari hizo ni sehemu sahii?
usipobadilika huna maisha marefu kwenye siasa dogo....usikurupuke kwa makofi ya jukwaani, bado unasafari ndefu sana.
mwisho wa siku tutakuuliza hamasa unazofanya zimesaidia nini kwenye miradi ya jimbo, wewe piga hamasa zako kwani huna uwezo wa mezani na kuchambua mambo ila kwa hamasa unaweza, sasa tumia wataalamu wakusaidie mambo mengine, unaona usivyokuwa na maaili kbisa

Acha ushabiki wa kitoto , mimi nilikuwepo na narudia kusema Lema aliongea mambo mengi ya maana na kwa busara ya hali ya juu na hilo la kukataa uwepo wa meya aliliongea mwishoni kwamba watu wasipotoshwe kwamba Arusha kuna Meya kama inavyotajwa hapa. Baada ya hapo akakabidhi mic. na hakuwa anaongea kwa jazba. Tatizo lako wewe magamba yanakuwasha na unatakiwa utafute mti au vichaka ukajivue magamba .
 
lema kama hutabadilika utaishia hapo dogo, yani hujui hata wapi pa kuongelea hayo maneno?uko sahihi kuwa arusha hakuna meya wa haki, ila wewe unadhani kuropoka msibani habari hizo ni sehemu sahii?usipobadilika huna maisha marefu kwenye siasa dogo....usikurupuke kwa makofi ya jukwaani, bado unasafari ndefu sana.mwisho wa siku tutakuuliza hamasa unazofanya zimesaidia nini kwenye miradi ya jimbo, wewe piga hamasa zako kwani huna uwezo wa mezani na kuchambua mambo ila kwa hamasa unaweza, sasa tumia wataalamu wakusaidie mambo mengine, unaona usivyokuwa na maaili kbisa
ukweli siku zote husemwa mahali popote bila kujali ni msiba ama sherehe. Acha kutumia akili za kukopa we mpuuzi.
 
Hii imetokea leo tarehe 12/6/2011 saa 9.00 Katika Ibada ya mazishi iliyokuwa ikiongozwa na askofu Laizer, Msaidizi wa askofu na wakuu wa majimbo katika Usharika wa KKKT Kijenge mbele ya mbunge wa Ngorongoro na M/Kiti wa CCM mkoa.

Katika Ibada hii alikuwepo Gaudence Lyimo embattled Meya wa Arusha na hapa ndipo drama ilipo anza pale Lema alipoambiwa atoe salaam za rambirambi kwa maelfu ya waombolezaji kutoka maeneo mengi ya manispaa ya Arusha akiwa msemaji wa mwisho. Baada ya salaam zake zilizojaa hekima na Busara aliwaonya wombolezaji na haswa MC aliyekuwa anamtaja taja Meya wa manispaa ya Arusha. Alipokuwa anamalizia akasema" nasikia mtu anayetajwa tajwa kama meya wa manispaa Arusha hapa; ninaomba mtambue kwamba mpaka sasa arusha hatujamchagua Meya na hatuna Meya". Hali hii iliwafanya vijana kushangilia huku Askofu laizer akabaki akiwa anatazama kana kwamba anasema' NO COMMENT'.

Hakuna aliye dilute maneno ya Mh. Lema kwani MC alichuku mic na kuendelea kuwatangazia watu utaratibu uliokuwa unaendelea huku minunguno ikitawala kwa kila mtu kutoa mtazamo wake kuhusu statement ya mh. Lema. wengine walimsifu kwa kuwa jasiri na wengine wakasema ameharibu. Je wewe mwana JF unasemaje kuhusu hiyo statement ya Lema.

Ibada hii ilikuwa ya mazishi ya Mkurugenzi wa kampuni ya Mbogo expedition Ltd ndugu Godwin Elihuruma Moleli a.k.a.Mbogo( 1975-2011) aliyefariki kwa kupata ajali mbaya ya gari usiku wa tarehe 9/6/2011 maeneo ya Moshono Manispaa ya Arusha

Acha ushabiki wa kitoto , mimi nilikuwepo na narudia kusema Lema aliongea mambo mengi ya maana na kwa busara ya hali ya juu na hilo la kukataa uwepo wa meya aliliongea mwishoni kwamba watu wasipotoshwe kwamba Arusha kuna Meya kama inavyotajwa hapa. Baada ya hapo akakabidhi mic. na hakuwa anaongea kwa jazba. Tatizo lako wewe magamba yanakuwasha na unatakiwa utafute mti au vichaka ukajivue magamba .

Mvumbuzi wewe ndiyo unachanganya watu na heading yako "Mh. G. Lema achafua hali ya hewa mbele ya Askofu Laizer" sasa watu wakisema kuwa hakupaswa kuchafua hali ya hewa msibani unakuwa mkali vipi bwana
 
Du hii ni kali, mimi nilikuwa kwenye mazishi ila wakati wanaweka mashada niliondoka ofcoz nilimwona Lema na nikahisi akipewa nafasi ya kuongea ataharibu. Lol, kumbe aliharibu kweli.
 
Watu walikuwa wananong'ona kwa kushangaa mtu anayedaiwa kuwa ni mbunge kuongea pumba mbele ya hadhara kama ile tena katika mazishi..... Lema will never change, his poor education will always haunt him and cause disrepute to Arushans. Watu wa Arusha wamechoshwa na vitendo vya aibu anavyofanya kila kukicha.Thanks God haniwakilishi...nawahurumia waliopoteza kura zao.
kwani ni kweli meya wa arusha alishachaguliwa?
 
Watu walikuwa wananong'ona kwa kushangaa mtu anayedaiwa kuwa ni mbunge kuongea pumba mbele ya hadhara kama ile tena katika mazishi.....
Lema will never change, his poor education will always haunt him and cause disrepute to Arushans.
Watu wa Arusha wamechoshwa na vitendo vya aibu anavyofanya kila kukicha.
Thanks God haniwakilishi...nawahurumia waliopoteza kura zao.
We ni limbukeni kijana wa NAPE ukiwa kazini haya mchukue MKWEREE wako na GODBLESS LEMA Uwapeleke hapo ARUSHA wafanye mkutano ndiyo utamjua RAIS wa ARUSHA NANI,
 
Mvumbuzi wewe ndiyo unachanganya watu na heading yako "Mh. G. Lema achafua hali ya hewa mbele ya Askofu Laizer" sasa watu wakisema kuwa hakupaswa kuchafua hali ya hewa msibani unakuwa mkali vipi bwana
Kwani lipi ambalo hujalielewa watu wamagamba mnakazi haya baba wasalimu watu wa masaki na mdogo wako aliyeko MAREKANI anayesoma kwa wizi wa kodi za watanzania maskini mwambie aje TANZANIA kutusalimia
 
Godbless Lema ni RAIS wa ARUSHA,ni mpiganaji wa ukweli,yupo radhi kufa huku akiwa amesimama akipigania haki kuliko wewe ambaye upo radhi ufe ukiwa umekaa huku watanzania wakilia kwa dhuruma yenu MAGAMBA
 
g Katika hatua nyingine ndani ya ibada ni pale M/Kiti wa CCM mkoa aliposema marehemu alikuwa mstari wa mbele katika ku- support Chama lakini aliposimama Mh. G. Lema yeye akasema amekuja kwenye msiba kwa sababu Mbogo alimchnagia kwenye kampeni. Pia Mh. Lema akasema Mbogo ali support mfuko wa maendeleo wa jimbo la Arusha(ArDF) ambao uli asisiwa na Lema. Which is which ? M/kiti wa CCM mkoa anadai Marehemu alikuwa mstari wa mbele kwenye Chama cha Magamba. Mh. G. Lema anasema marehemu ali kuwa supporter mzuri wa CHADEMA. Nani mkweli hapa? Ila sikuona nguo za rangi ya matawi kuonyesha kwamba huyu jamaa hakuwa CCM kwani mtu wao akifariki huwa mstari wa mbele kuja na nguo za rangi ya majani na bendera yao mbaya.
Saaafiiiiiii saaaana.
 
Watu walikuwa wananong'ona kwa kushangaa mtu anayedaiwa kuwa ni mbunge kuongea pumba mbele ya hadhara kama ile tena katika mazishi.....
Lema will never change, his poor education will always haunt him and cause disrepute to Arushans.
Watu wa Arusha wamechoshwa na vitendo vya aibu anavyofanya kila kukicha.
Thanks God haniwakilishi...nawahurumia waliopoteza kura zao.

Wewe ama huishi Arusha au akili yako haifanyi kazi.
 
hapo kwenye maelfu tu ndo naona kuna shida! maana hawakuzidi 400 sasa maelfu mzeiya niaje niaje chaliiangu!!!
 
sikuwahi kujua kama una hasira kiasi hiki, haaaaaaah.
Huyu jamaa hupenda sana kutusemea watu wa Arusha sijui nani kamchagua usemaji yaani kwenye familia yao wakisema hawamtaki lema basi atakuja jamvini na kusema Arusha hatumtakia Lema....
 
Watu walikuwa wananong'ona kwa kushangaa mtu anayedaiwa kuwa ni mbunge kuongea pumba mbele ya hadhara kama ile tena katika mazishi.....
Lema will never change, his poor education will always haunt him and cause disrepute to Arushans.
Watu wa Arusha wamechoshwa na vitendo vya aibu anavyofanya kila kukicha.
Thanks God haniwakilishi...nawahurumia waliopoteza kura zao.
HTML:


Hapo kwenye red, mbona mimi sijamchoka?
 
Mmh,mimi sijaona hali ya hewa yeyote iliyochafuliwa hapo na Mheshimiwa Lema,kwani Chama cha Magamba kimekuwa kikitumia fursa hata kama ni za msiba kueneza habari za uongo,ni kweli wana Arusha hatuna Meya,na hata kama elimu yake ni ya Kidato cha Nne,tunahitaji wakombozi na si walaji in the name of wasomi.
Tuliokuwepo tuliona ujasiri wa kukemea ulaghai bila woga,kwani hata Mbogo alikuwa Mtetezi wa Vijana na ni role mode pia.
 
Back
Top Bottom