Jamani wiki ya pili sasa tangu nikutwe na mkumbo huu mh huwezi amini mtaani kwetu kuna sugar mamy linanitaka je kuna shida nikitoka nalo naombeni ma advice nini.[/QUOT
Nimeona thread leo jinsi gani tuiboreshe MMU, mi napendekeza thread kama hizi zisiwe posted mana zinachefua