Laurence
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 3,104
- 420
Katika hali isiyokua ya kawaida yule mh Betrice Shelukindo aliejinasibu kua ni Mpambanaji wa Ufisadi katika Bunge la tisa ameibuka na kumshangaa mh.Sitta kwa kusema wote waliolifikisha taifa na adha ya umeme wachukuliwe hatua wakati huohuo Mh Shelukindo amesema Sitta alikua sehemu ya tatizo na angeanza kuwajibika yeye kwanza,nawasilisha ba ndugu,source: Jambo leo na Mtanzania