Mguu kwa mguu kujiengua kwa CHADEMA uchaguzi Serikali za Mitaa

Ameandika Professor FRANK JONATHAN PIUS.

Twende sawa mguu kwa mguu tuukate mzizi wa fitna juu ya CHADEMA kujiengua uchaguzi Serikali za Mitaa.

Ebu tutafakari swali moja kuu kiundani:

Kwanini Chadema wamejitoa/wamesusia uchaguzi wa Serikali za Mitaa? Je, ni mpango wa ndani wa chama au wamehujumiwa?

Twendeni sawa wanajukwaa hatua kwa hatua tutafakari baadhi ya mambo yafuatayo:
  • Viongozi wa CHADEMA ndio walitakiwa kuwapa elimu viongozi waliotarajiwa kugombea uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa kutowaelekeza jinsi ya kujaza fomu za uchaguzi kwa usahihi/ufasaha.
  • Makosa lukuki kwenye ujazaji wa fomu, kwa mfano: kwenye sehemu ya chama, mgombea anajaza CHADEMA ilihali kwa msajili wa vyama vya siasa chama hicho hakipo, kilichopo kwa msajili wa vyama ni CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA).
  • Viongozi wakuu wa CHADEMA wameshindwa kuwajenga viongozi wao wa ngazi za chini na kuishia kulalama kwenye mitandao ya kijamii kuhusu changamoto zinazowakabili.
  • Viongozi wao wakuu wamejikita kutafuta huruma kwa ASASI za kiraia (kuomba kuungwa mkono kisiasa) badala ya kujikita kuwajenga viongozi wao wa chini kimbinu na kimkakati.
  • Chuki za chini chini ndani ya CHADEMA juu ya uongozi, tuhuma za ufujaji wa fedha za chama na kung’ang’ania madaraka hali iliyosababisha kila mmoja kujiendea atakavyo chini ya mwavuli wa chama.
  • Viongozi wao wa uenezi wameshindwa kuyatembelea matawi yao kwa kufanya mikutano ya ndani ili kujenga umoja na kupeana maarifa ya kimkakati ili kuukabili uchaguzi bali jukumu hili walimwachia MBOWE tu.
  • Viongozi wa juu wa CHADEMA kutumia nguvu nyingi kupambana na Serikali hasa kuichafua kimataifa na kujenga chuki na kuifitinisha na wananchi na kusahau kuwa mpinzani wao mkuu ni CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) na si Serikali jambo ambalo imeipa CCM uwanja mpana kufanya shughuli za kisiasa na wao kuishia kuhudhuria kesi Mahakamani.
Wahenga walisema, ukitaka kushinda vita sharti ujue uimara pamoja na udhaifu adui yako. Ndugu zetu CHADEMA walijua wanashind ana na Serikali pamoja na Taasisi zake, kutwa kuinanga mitandaoni na kwenye vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa bila kujua kuwa SERIKALI haitaingia kwenye uchaguzi bali CCM ndio wataingia kwenye uchaguzi.

Kifupi tunaweza kusema jamaa walikuwa wanapambana na KIVULI wasichokijua wakihisi kuwa KIVULI hicho wataenda kushindana nacho kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa na Chaguzi zijazo.

Mwanasiasa mmoja hapa nchini aliwahi kusema kuwa “KILA ZAMA NA KITABU CHAKE”, hili ina mapana yake. Huwezi kuwa kiongozi/mwenyekiti wa chama kwa muda mrefu huku umekosa mbinu za medani za namna ya kukabiliana na changamoto za chaguzi za Serikali za mitaa na ukaendela kujiita kiongozi mkuu wa chama ambaye silaha yake kuu ni kuweka mpira kwapani na kuacha timu pinzani uwanjani bila kuhesabu gharama na hasara za viongozi walizozipata kujiandaa na uchaguzi.

Nimalizie hapa kwa leo ili niwape muda mzuri wa kuyatafakari haya.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Rubbish
 
CHADEMA WANGEPATA WAPI MUDA WA KUWAFUNDISHA WAGOMBEA WAO KUJAZA FOMU WAKATI WAKIANDAA TU MKUTANO WAO HATA WA NDANI TU WANAFUATWA NA POLISI?.
NA TAWALA ZOTE ZILIZOPITA UCHAGUZI WA SEREKALI ZA MITAA ULIKUA UNAFANYIKA NA FOMU ZINAJAZWA VIZURI BILA TATIZO, SASA KWANINI MWAKA HUU NDIO WASHINDWE KUJAZA FOMU KAMA SIO FIGISU ZA KIBWEGE?
 
Ameandika Professor FRANK JONATHAN PIUS.

Twende sawa mguu kwa mguu tuukate mzizi wa fitna juu ya CHADEMA kujiengua uchaguzi Serikali za Mitaa.

Ebu tutafakari swali moja kuu kiundani:

Kwanini Chadema wamejitoa/wamesusia uchaguzi wa Serikali za Mitaa? Je, ni mpango wa ndani wa chama au wamehujumiwa?

Twendeni sawa wanajukwaa hatua kwa hatua tutafakari baadhi ya mambo yafuatayo:
  • Viongozi wa CHADEMA ndio walitakiwa kuwapa elimu viongozi waliotarajiwa kugombea uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa kutowaelekeza jinsi ya kujaza fomu za uchaguzi kwa usahihi/ufasaha.
  • Makosa lukuki kwenye ujazaji wa fomu, kwa mfano: kwenye sehemu ya chama, mgombea anajaza CHADEMA ilihali kwa msajili wa vyama vya siasa chama hicho hakipo, kilichopo kwa msajili wa vyama ni CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA).
  • Viongozi wakuu wa CHADEMA wameshindwa kuwajenga viongozi wao wa ngazi za chini na kuishia kulalama kwenye mitandao ya kijamii kuhusu changamoto zinazowakabili.
  • Viongozi wao wakuu wamejikita kutafuta huruma kwa ASASI za kiraia (kuomba kuungwa mkono kisiasa) badala ya kujikita kuwajenga viongozi wao wa chini kimbinu na kimkakati.
  • Chuki za chini chini ndani ya CHADEMA juu ya uongozi, tuhuma za ufujaji wa fedha za chama na kung’ang’ania madaraka hali iliyosababisha kila mmoja kujiendea atakavyo chini ya mwavuli wa chama.
  • Viongozi wao wa uenezi wameshindwa kuyatembelea matawi yao kwa kufanya mikutano ya ndani ili kujenga umoja na kupeana maarifa ya kimkakati ili kuukabili uchaguzi bali jukumu hili walimwachia MBOWE tu.
  • Viongozi wa juu wa CHADEMA kutumia nguvu nyingi kupambana na Serikali hasa kuichafua kimataifa na kujenga chuki na kuifitinisha na wananchi na kusahau kuwa mpinzani wao mkuu ni CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) na si Serikali jambo ambalo imeipa CCM uwanja mpana kufanya shughuli za kisiasa na wao kuishia kuhudhuria kesi Mahakamani.
Wahenga walisema, ukitaka kushinda vita sharti ujue uimara pamoja na udhaifu adui yako. Ndugu zetu CHADEMA walijua wanashind ana na Serikali pamoja na Taasisi zake, kutwa kuinanga mitandaoni na kwenye vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa bila kujua kuwa SERIKALI haitaingia kwenye uchaguzi bali CCM ndio wataingia kwenye uchaguzi.

Kifupi tunaweza kusema jamaa walikuwa wanapambana na KIVULI wasichokijua wakihisi kuwa KIVULI hicho wataenda kushindana nacho kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa na Chaguzi zijazo.

Mwanasiasa mmoja hapa nchini aliwahi kusema kuwa “KILA ZAMA NA KITABU CHAKE”, hili ina mapana yake. Huwezi kuwa kiongozi/mwenyekiti wa chama kwa muda mrefu huku umekosa mbinu za medani za namna ya kukabiliana na changamoto za chaguzi za Serikali za mitaa na ukaendela kujiita kiongozi mkuu wa chama ambaye silaha yake kuu ni kuweka mpira kwapani na kuacha timu pinzani uwanjani bila kuhesabu gharama na hasara za viongozi walizozipata kujiandaa na uchaguzi.

Nimalizie hapa kwa leo ili niwape muda mzuri wa kuyatafakari haya.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.

prof wa mtaroni huyu au wa jalalani?
 
  • Viongozi wa CHADEMA ndio walitakiwa kuwapa elimu viongozi waliotarajiwa kugombea uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa kutowaelekeza jinsi ya kujaza fomu za uchaguzi kwa usahihi/ufasaha.
  • Makosa lukuki kwenye ujazaji wa fomu, kwa mfano: kwenye sehemu ya chama, mgombea anajaza CHADEMA ilihali kwa msajili wa vyama vya siasa chama hicho hakipo, kilichopo kwa msajili wa vyama ni CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA).
  • Viongozi wakuu wa CHADEMA wameshindwa kuwajenga viongozi wao wa ngazi za chini na kuishia kulalama kwenye mitandao ya kijamii kuhusu changamoto zinazowakabili.
Nimeshindwa kuendelea kusoma kwani umenikifu tiyari kwa sababu zako hizo. Unasema kuwa viongozi wa chadema walitakiwa kuwapa elimu viongozi watarajiwa!!! Kivipi yaani?? Kwa kuwapelekea mafunzo kwa sm au?? Unajua hawana ruhusa hata ya mikutano ya ndani?? Hivi, hizo fomu, ni za kuwaajiri hao viongozi wa mitaa au ni kupata uongozi mzuri wa kuliongoza taifa hili. Kwa nini mitego kwenye fomu?? Unawzaje kusema ati chadema walibaki kugombea fedha na kugombana ndani kwa ndani. Ina uhusiano gani na kujaza fomu??
Nadhani kama kweli tunajiamini, mimi huwa napenda sana kupata ridhaa ya ninaowaongoza kuliko kupewa uongozi bila ridhaa ya nitakao waongoza.
Turuhusu tuchaguliwe sio kuteuliwa kuongoza. Ningefurahi kama uchaguzi huu ungelitupima tunavyopendwa. Nasema, Hatuna haja ya kuwaogopa hao wapinzani, tuwaweke mezani tujue tulipo kabla ya uchaguzi mkuu
 
Angalia hapa maoni ya Ph.D mbili tofauti, then discuss



1. FRANK JONATHAN PIUS

Ameandika Professor FRANK JONATHAN PIUS.

Twende sawa mguu kwa mguu tuukate mzizi wa fitna juu ya CHADEMA kujiengua uchaguzi Serikali za Mitaa.

Ebu tutafakari swali moja kuu kiundani:

Kwanini Chadema wamejitoa/wamesusia uchaguzi wa Serikali za Mitaa? Je, ni mpango wa ndani wa chama au wamehujumiwa?

Twendeni sawa wanajukwaa hatua kwa hatua tutafakari baadhi ya mambo yafuatayo:
  • Viongozi wa CHADEMA ndio walitakiwa kuwapa elimu viongozi waliotarajiwa kugombea uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa kutowaelekeza jinsi ya kujaza fomu za uchaguzi kwa usahihi/ufasaha.
  • Makosa lukuki kwenye ujazaji wa fomu, kwa mfano: kwenye sehemu ya chama, mgombea anajaza CHADEMA ilihali kwa msajili wa vyama vya siasa chama hicho hakipo, kilichopo kwa msajili wa vyama ni CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA).
  • Viongozi wakuu wa CHADEMA wameshindwa kuwajenga viongozi wao wa ngazi za chini na kuishia kulalama kwenye mitandao ya kijamii kuhusu changamoto zinazowakabili.
  • Viongozi wao wakuu wamejikita kutafuta huruma kwa ASASI za kiraia (kuomba kuungwa mkono kisiasa) badala ya kujikita kuwajenga viongozi wao wa chini kimbinu na kimkakati.
  • Chuki za chini chini ndani ya CHADEMA juu ya uongozi, tuhuma za ufujaji wa fedha za chama na kung’ang’ania madaraka hali iliyosababisha kila mmoja kujiendea atakavyo chini ya mwavuli wa chama.
  • Viongozi wao wa uenezi wameshindwa kuyatembelea matawi yao kwa kufanya mikutano ya ndani ili kujenga umoja na kupeana maarifa ya kimkakati ili kuukabili uchaguzi bali jukumu hili walimwachia MBOWE tu.
  • Viongozi wa juu wa CHADEMA kutumia nguvu nyingi kupambana na Serikali hasa kuichafua kimataifa na kujenga chuki na kuifitinisha na wananchi na kusahau kuwa mpinzani wao mkuu ni CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) na si Serikali jambo ambalo imeipa CCM uwanja mpana kufanya shughuli za kisiasa na wao kuishia kuhudhuria kesi Mahakamani.
Wahenga walisema, ukitaka kushinda vita sharti ujue uimara pamoja na udhaifu adui yako. Ndugu zetu CHADEMA walijua wanashind ana na Serikali pamoja na Taasisi zake, kutwa kuinanga mitandaoni na kwenye vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa bila kujua kuwa SERIKALI haitaingia kwenye uchaguzi bali CCM ndio wataingia kwenye uchaguzi.

Kifupi tunaweza kusema jamaa walikuwa wanapambana na KIVULI wasichokijua wakihisi kuwa KIVULI hicho wataenda kushindana nacho kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa na Chaguzi zijazo.

Mwanasiasa mmoja hapa nchini aliwahi kusema kuwa “KILA ZAMA NA KITABU CHAKE”, hili ina mapana yake. Huwezi kuwa kiongozi/mwenyekiti wa chama kwa muda mrefu huku umekosa mbinu za medani za namna ya kukabiliana na changamoto za chaguzi za Serikali za mitaa na ukaendela kujiita kiongozi mkuu wa chama ambaye silaha yake kuu ni kuweka mpira kwapani na kuacha timu pinzani uwanjani bila kuhesabu gharama na hasara za viongozi walizozipata kujiandaa na uchaguzi.

Nimalizie hapa kwa leo ili niwape muda mzuri wa kuyatafakari haya.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.



2. KALIKAWE L BAGONZA

Ameandika Baba Askofu Kalikawe Lwakalinda Bagonza

*TUJIULIZE ZAIDI*

1. Hivi CHADEMA wamejitoa au wametolewa?

2. Hivi CHADEMA wamesusa au wamesuswa?

3. Hivi CHADEMA wameacha au wameachwa?

Wasomaji msinihukumu bila kunisikiliza. Maswali haya ni ya msingi kwangu.

- Media haiko na wapinzani
-Msajili hayuko na wapinzani
-Mahakama haiko na wapinzani
-Vyombo vya dola haviko na wapinzani
-Viongozi wa dini hawako na wapinzani
-Asasi za Kiraia haziko na wapinzani
-Bunge haliko na wapinzani
-Tume ya Uchaguzi haiko na wapinzani
-Wazee mashuhuri hawako na wapinzani
-Wana taaluma hawako na wapinzani
-Wasimamizi wa chaguzi hawako na wapinzani
-Walinzi wa amani hawako na wapinzani
-Waajiri hawako na wapinzani
-Mashirika yasiyo ya kiserikali hayako na wapinzani
-Wapinzani hawako na wapinzani.
-Hata mimi siko nao, naandika kujipendekeza kwao!

Hii inaitwa unyanyapaa (stigmatization) Kwa hiyo walichokifanya, kwa maoni yangu:

Hawakujitoa, wametolewa
Hawakususa, wamesuswa
Hawakuacha, wameachwa

Kimya cha makundi yote hapo, tafsiri yake ni kuwasusa, kuwaacha, kuwatoa katika mchakato wa kidemokrasia, na kupuuza madai yao. Walio wengi, wanaona ni salama ama kukaa kimya au kuwalaumu na kuwakejeli.

Watu, kundi au mtu aliye katika hali hii ya kuachwa, ni hatari kwa jamii, ni hatari kwa nafsi yake mwenyewe na mara nyingi hujikinai.

Baba wa Taifa aliwahi kusema,

"Amani ni tunda la haki. Palipo na amani kuna haki na palipo na haki kuna amani. Tanzania tuna amani lakini haina maana kuwa haki inatendeka. Kinachotokea ni kuwa, watu wana matumaini kuwa haki itatendeka siku moja. Watu hawa siku wakikata tamaa kuwa haipo, yatatokea maafa makubwa sana. Viongozi wana jukumu la kuhakikisha matumaini ya watu kupata haki hayapotei".

Dumisha Uhuru na Umoja,
Wake kwa waume na watoto,
_Mungu Ibariki Tanzania._
 
Ameandika Professor FRANK JONATHAN PIUS.

Twende sawa mguu kwa mguu tuukate mzizi wa fitna juu ya CHADEMA kujiengua uchaguzi Serikali za Mitaa.

Ebu tutafakari swali moja kuu kiundani:

Kwanini Chadema wamejitoa/wamesusia uchaguzi wa Serikali za Mitaa? Je, ni mpango wa ndani wa chama au wamehujumiwa?

Twendeni sawa wanajukwaa hatua kwa hatua tutafakari baadhi ya mambo yafuatayo:
  • Viongozi wa CHADEMA ndio walitakiwa kuwapa elimu viongozi waliotarajiwa kugombea uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa kutowaelekeza jinsi ya kujaza fomu za uchaguzi kwa usahihi/ufasaha.
  • Makosa lukuki kwenye ujazaji wa fomu, kwa mfano: kwenye sehemu ya chama, mgombea anajaza CHADEMA ilihali kwa msajili wa vyama vya siasa chama hicho hakipo, kilichopo kwa msajili wa vyama ni CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA).
  • Viongozi wakuu wa CHADEMA wameshindwa kuwajenga viongozi wao wa ngazi za chini na kuishia kulalama kwenye mitandao ya kijamii kuhusu changamoto zinazowakabili.
  • Viongozi wao wakuu wamejikita kutafuta huruma kwa ASASI za kiraia (kuomba kuungwa mkono kisiasa) badala ya kujikita kuwajenga viongozi wao wa chini kimbinu na kimkakati.
  • Chuki za chini chini ndani ya CHADEMA juu ya uongozi, tuhuma za ufujaji wa fedha za chama na kung’ang’ania madaraka hali iliyosababisha kila mmoja kujiendea atakavyo chini ya mwavuli wa chama.
  • Viongozi wao wa uenezi wameshindwa kuyatembelea matawi yao kwa kufanya mikutano ya ndani ili kujenga umoja na kupeana maarifa ya kimkakati ili kuukabili uchaguzi bali jukumu hili walimwachia MBOWE tu.
  • Viongozi wa juu wa CHADEMA kutumia nguvu nyingi kupambana na Serikali hasa kuichafua kimataifa na kujenga chuki na kuifitinisha na wananchi na kusahau kuwa mpinzani wao mkuu ni CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) na si Serikali jambo ambalo imeipa CCM uwanja mpana kufanya shughuli za kisiasa na wao kuishia kuhudhuria kesi Mahakamani.
Wahenga walisema, ukitaka kushinda vita sharti ujue uimara pamoja na udhaifu adui yako. Ndugu zetu CHADEMA walijua wanashind ana na Serikali pamoja na Taasisi zake, kutwa kuinanga mitandaoni na kwenye vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa bila kujua kuwa SERIKALI haitaingia kwenye uchaguzi bali CCM ndio wataingia kwenye uchaguzi.

Kifupi tunaweza kusema jamaa walikuwa wanapambana na KIVULI wasichokijua wakihisi kuwa KIVULI hicho wataenda kushindana nacho kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa na Chaguzi zijazo.

Mwanasiasa mmoja hapa nchini aliwahi kusema kuwa “KILA ZAMA NA KITABU CHAKE”, hili ina mapana yake. Huwezi kuwa kiongozi/mwenyekiti wa chama kwa muda mrefu huku umekosa mbinu za medani za namna ya kukabiliana na changamoto za chaguzi za Serikali za mitaa na ukaendela kujiita kiongozi mkuu wa chama ambaye silaha yake kuu ni kuweka mpira kwapani na kuacha timu pinzani uwanjani bila kuhesabu gharama na hasara za viongozi walizozipata kujiandaa na uchaguzi.

Nimalizie hapa kwa leo ili niwape muda mzuri wa kuyatafakari haya.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Kwa kuwa hoja inatoka kwenye masaburi ni masaburi tu yatajibu
 
Aliyeandika ni professor kweli au ushenzi flani mwenyewe upumbavu uliotukuka.

Hayawezi kuwa maandishi ya professor haya too rubbish
 
Hivi huu ndio ulikuwa uchaguzi wakwanza waserikali zamitaa vyama vyaupinzani (chadema) kugombea?? Kwanini yatokee kwenye utawala huu tu!!!?
 
Ameandika Professor FRANK JONATHAN PIUS.

Twende sawa mguu kwa mguu tuukate mzizi wa fitna juu ya CHADEMA kujiengua uchaguzi Serikali za Mitaa.

Ebu tutafakari swali moja kuu kiundani:

Kwanini Chadema wamejitoa/wamesusia uchaguzi wa Serikali za Mitaa? Je, ni mpango wa ndani wa chama au wamehujumiwa?

Twendeni sawa wanajukwaa hatua kwa hatua tutafakari baadhi ya mambo yafuatayo:
  • Viongozi wa CHADEMA ndio walitakiwa kuwapa elimu viongozi waliotarajiwa kugombea uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa kutowaelekeza jinsi ya kujaza fomu za uchaguzi kwa usahihi/ufasaha.
  • Makosa lukuki kwenye ujazaji wa fomu, kwa mfano: kwenye sehemu ya chama, mgombea anajaza CHADEMA ilihali kwa msajili wa vyama vya siasa chama hicho hakipo, kilichopo kwa msajili wa vyama ni CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA).
  • Viongozi wakuu wa CHADEMA wameshindwa kuwajenga viongozi wao wa ngazi za chini na kuishia kulalama kwenye mitandao ya kijamii kuhusu changamoto zinazowakabili.
  • Viongozi wao wakuu wamejikita kutafuta huruma kwa ASASI za kiraia (kuomba kuungwa mkono kisiasa) badala ya kujikita kuwajenga viongozi wao wa chini kimbinu na kimkakati.
  • Chuki za chini chini ndani ya CHADEMA juu ya uongozi, tuhuma za ufujaji wa fedha za chama na kung’ang’ania madaraka hali iliyosababisha kila mmoja kujiendea atakavyo chini ya mwavuli wa chama.
  • Viongozi wao wa uenezi wameshindwa kuyatembelea matawi yao kwa kufanya mikutano ya ndani ili kujenga umoja na kupeana maarifa ya kimkakati ili kuukabili uchaguzi bali jukumu hili walimwachia MBOWE tu.
  • Viongozi wa juu wa CHADEMA kutumia nguvu nyingi kupambana na Serikali hasa kuichafua kimataifa na kujenga chuki na kuifitinisha na wananchi na kusahau kuwa mpinzani wao mkuu ni CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) na si Serikali jambo ambalo imeipa CCM uwanja mpana kufanya shughuli za kisiasa na wao kuishia kuhudhuria kesi Mahakamani.
Wahenga walisema, ukitaka kushinda vita sharti ujue uimara pamoja na udhaifu adui yako. Ndugu zetu CHADEMA walijua wanashind ana na Serikali pamoja na Taasisi zake, kutwa kuinanga mitandaoni na kwenye vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa bila kujua kuwa SERIKALI haitaingia kwenye uchaguzi bali CCM ndio wataingia kwenye uchaguzi.

Kifupi tunaweza kusema jamaa walikuwa wanapambana na KIVULI wasichokijua wakihisi kuwa KIVULI hicho wataenda kushindana nacho kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa na Chaguzi zijazo.

Mwanasiasa mmoja hapa nchini aliwahi kusema kuwa “KILA ZAMA NA KITABU CHAKE”, hili ina mapana yake. Huwezi kuwa kiongozi/mwenyekiti wa chama kwa muda mrefu huku umekosa mbinu za medani za namna ya kukabiliana na changamoto za chaguzi za Serikali za mitaa na ukaendela kujiita kiongozi mkuu wa chama ambaye silaha yake kuu ni kuweka mpira kwapani na kuacha timu pinzani uwanjani bila kuhesabu gharama na hasara za viongozi walizozipata kujiandaa na uchaguzi.

Nimalizie hapa kwa leo ili niwape muda mzuri wa kuyatafakari haya.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
NI MWENYE KUVAA MIWANI NA UJASIRI WA UTU UZIMA (KIBURI) NDIYE ANAYE WALAHUMU CHADEMA KUJITOA. LAKINI WATU MAKINI NA WENYE KUMJUA MUNGU NA PIA WANAO HESHIMU HISTORI . WANAFANYA MAAMUZI MAZITO NA YASIYO HATHIRI MAISHA . HEBU SOMA HABARI HIIKutoka 1:8-22
[8]Basi akainuka mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu.
[9]Akawaambia watu wake, Angalieni, watu wa wana wa Israeli ni wengi tena wana nguvu kuliko sisi.
[10]Haya! Na tuwatendee kwa akili, wasije wakaongezeka; tena, ikitokea vita, wao nao wasije wakashikamana na adui zetu na kupigana nasi, na kutoka katika nchi hii.
[11]Basi wakaweka wasimamizi juu yao wawatese kwa mizigo yao. Nao wakamjengea Farao miji ya kuwekea akiba, Pithomu na Ramesesi.
[12]Lakini kwa kadiri ya walivyowatesa ndivyo walivyoongezeka na kuzidi kuenea. Nao walichukiwa kwa sababu ya wana wa Israeli.
[13]Wamisri wakawatumikisha wana wa Israeli kwa ukali;
[14]wakafanya maisha yao kuwa uchungu kwa kazi ngumu; kazi ya chokaa na ya matofali, na kila namna ya kazi ya mashamba; kwa kazi zao zote walizowatumikisha kwa ukali.
[15]Kisha mfalme wa Misri akasema na wazalisha wa Waebrania, mmoja jina lake aliitwa Shifra, na wa pili jina lake aliitwa Pua;
[16]akasema, Wakati mwazalishapo wanawake wa Kiebrania na kuwaona wa katika kuzaa, ikiwa ni mtoto mwanamume, basi mwueni, bali ikiwa ni mtoto mwanamke, na aishi.
[17]Lakini wale wazalisha walikuwa wakimcha Mungu, wasifanye kama walivyoamriwa na huyo mfalme wa Misri, lakini wakawahifadhi hai wale wanaume.
[18]Basi mfalme wa Misri akawaita wale wazalisha na kuwauliza, Kwa nini kufanya jambo hili, na kuwahifadhi watoto waume wawe hai?
[19]Wazalisha wakamwambia Farao, Ni kwa sababu hao wanawake wa Kiebrania si kama wanawake wa Kimisri; kwa kuwa ni hodari hao, nao huzaa kabla mzalisha hajapata kuwafikilia.
[20]Basi Mungu akawatendea mema wale wazalisha; na hao watu wakaongezeka sana, wakaendelea na kuzidi kuwa na nguvu nyingi.
[21]Ilikuwa kwa sababu wale wazalisha walikuwa wakimcha Mungu, akawasimamishia nyumba.
[22]Kisha huyo Farao akawaagiza watu wake, akisema, Kila mtoto mwanamume atakayezaliwa mtamtupa mtoni, na kila mtoto mwanamke mtamhifadhi hai.
 
Ameandika Professor FRANK JONATHAN PIUS.

Twende sawa mguu kwa mguu tuukate mzizi wa fitna juu ya CHADEMA kujiengua uchaguzi Serikali za Mitaa.

Ebu tutafakari swali moja kuu kiundani:

Kwanini Chadema wamejitoa/wamesusia uchaguzi wa Serikali za Mitaa? Je, ni mpango wa ndani wa chama au wamehujumiwa?

Twendeni sawa wanajukwaa hatua kwa hatua tutafakari baadhi ya mambo yafuatayo:
  • Viongozi wa CHADEMA ndio walitakiwa kuwapa elimu viongozi waliotarajiwa kugombea uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa kutowaelekeza jinsi ya kujaza fomu za uchaguzi kwa usahihi/ufasaha.
  • Makosa lukuki kwenye ujazaji wa fomu, kwa mfano: kwenye sehemu ya chama, mgombea anajaza CHADEMA ilihali kwa msajili wa vyama vya siasa chama hicho hakipo, kilichopo kwa msajili wa vyama ni CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA).
  • Viongozi wakuu wa CHADEMA wameshindwa kuwajenga viongozi wao wa ngazi za chini na kuishia kulalama kwenye mitandao ya kijamii kuhusu changamoto zinazowakabili.
  • Viongozi wao wakuu wamejikita kutafuta huruma kwa ASASI za kiraia (kuomba kuungwa mkono kisiasa) badala ya kujikita kuwajenga viongozi wao wa chini kimbinu na kimkakati.
  • Chuki za chini chini ndani ya CHADEMA juu ya uongozi, tuhuma za ufujaji wa fedha za chama na kung’ang’ania madaraka hali iliyosababisha kila mmoja kujiendea atakavyo chini ya mwavuli wa chama.
  • Viongozi wao wa uenezi wameshindwa kuyatembelea matawi yao kwa kufanya mikutano ya ndani ili kujenga umoja na kupeana maarifa ya kimkakati ili kuukabili uchaguzi bali jukumu hili walimwachia MBOWE tu.
  • Viongozi wa juu wa CHADEMA kutumia nguvu nyingi kupambana na Serikali hasa kuichafua kimataifa na kujenga chuki na kuifitinisha na wananchi na kusahau kuwa mpinzani wao mkuu ni CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) na si Serikali jambo ambalo imeipa CCM uwanja mpana kufanya shughuli za kisiasa na wao kuishia kuhudhuria kesi Mahakamani.
Wahenga walisema, ukitaka kushinda vita sharti ujue uimara pamoja na udhaifu adui yako. Ndugu zetu CHADEMA walijua wanashind ana na Serikali pamoja na Taasisi zake, kutwa kuinanga mitandaoni na kwenye vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa bila kujua kuwa SERIKALI haitaingia kwenye uchaguzi bali CCM ndio wataingia kwenye uchaguzi.

Kifupi tunaweza kusema jamaa walikuwa wanapambana na KIVULI wasichokijua wakihisi kuwa KIVULI hicho wataenda kushindana nacho kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa na Chaguzi zijazo.

Mwanasiasa mmoja hapa nchini aliwahi kusema kuwa “KILA ZAMA NA KITABU CHAKE”, hili ina mapana yake. Huwezi kuwa kiongozi/mwenyekiti wa chama kwa muda mrefu huku umekosa mbinu za medani za namna ya kukabiliana na changamoto za chaguzi za Serikali za mitaa na ukaendela kujiita kiongozi mkuu wa chama ambaye silaha yake kuu ni kuweka mpira kwapani na kuacha timu pinzani uwanjani bila kuhesabu gharama na hasara za viongozi walizozipata kujiandaa na uchaguzi.

Nimalizie hapa kwa leo ili niwape muda mzuri wa kuyatafakari haya.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Profesa wa ugoro huyo bila shaka.
 
Back
Top Bottom