kijana13
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 1,981
- 3,611
Na hivi vihopsitali vilivyo mtaani wanajiita ma specialist ni vyakuogopa...Kuna hospital moja nzuri tu iko mbezi beach walimpima mtu na mashine ya ECG wakasema anatatizo la moyo anatakiwa aanze clinic muhimbili ..kufika muhimbili kwa daktari bingwa akapimwa Hana tatizo lolote la moyo...kurudia Tena sehemu nyingine hana...