Mgomo wa Wahadhiri na Wanafunzi UDOM 2011

Teteh teteh! Wewe sio ma mkwe bali ba mkwe. Hakika ukweli unaumaa. Pole ee tena sana tu!
Waliomuweka madarakani waliona kuwa anawafaa, wewe sio mwanachama wa Udomasa, kwa ukerekwe? Kama sio madai ya msingi-kwa nini ofisi yenu ilipokea mishahara mipya ikipga kimya badala ya kutoa taarifa kwa wadau kuwa mishahara imekuja lakn ina makosa? Je, sio nyie mliotamka na kubandika kuwa 95% ya wafanyakazi hawastahili kupewa pesa za kujikimu? Sasa iweje leo mnapinga tamko lenu kuwa mtaanza kupunguza madeni kupitia OC? Kpnd hicho mlijigamba kweli hata baadhi yenu mlidiriki kusema Udom wameajiriwa watu 3 tu, wengne wote ni njaa ndo zilizowaleta. Tena mkieneza kasumba eti achaneni na washika chaki na njaa zao. Hamjui kuwa posho na mishara yenu ni kodi za hao hao washka chaki? Huenda ikawa hizo fedha na nyumba mnazojenga na kuhonga ndo hzo zinazodaiwa leo.
Mtabana na kujibinya wee ila katawaponyoka tu.
Anguko la mtu mzima ****** hulia mbwataaa!

Kweli itawaweka huru.
Poor Kikula & Kinabo, bila shaka haya yote hayapasi kuwakuta, anyway chachu kidogo huchachua donge nzima.
Wacha kudanganya watu. Wewe unaelewa fika unachosema si sahihi. Na ukweli unao.

I. Mishahara mipya
Unafahamu kwa takwimu ulizopewa na Menejimeti kuwa hayumkini kuwa HAZINA walileta mishahara mipya mwezi Novemba kama unavyodai.
Taarifa nilizonazo, umepewa copies za ex-chequers kuanzia mwezi wa saba zinazoonyesha kuwa UDOM imekuwa ikipokea fedha pungufu za mishahara toka HAZINA. Copies hizo zinaonyesha kuwa mwezi Oktoba na Novemba UDOM ilipokea kiasi cha fedha kinachofanana na hakuna ongezeko kama wewe na huyo jamaa wako wa HAZINA mnavyodai. Ushahidi huo unao.

2. Malipo ya fedha za kujikimu
Makamu Mkuu wa Chuo alishatolea maelezo kwenye mkutano wake na wafanyakazi kuwa Chuo kimeamua kutoa kwa awamu. Wewe hutaki wenzio walioanza kazi mwaka 2007 wapate pesa zao ndiyo maana unawadanganya.

3. Safari ya Msarifu na Mkurugenzi wa Rasilimali Dar es Salaam
Viongozi hawa wanaripoti UDOMASA au kwa Management? Uliambiwa baada ya kikao chenu kazi zote zilisimama. Wewe ni muongo, unajua kabisa kuwa viongozi hawa walikwenda Dar es Salaam kuwasilisha bajeti za mwaka ujao wa fedha. Kwa nini unataka kudanganya wenzio? Usitumie shida za wengine kujitafutia umaarufu.

4. Ulipwaji wa mishahara
Hakuna wizi kama unavyodai. Kama data clerk wa hazina alifanya makosa unataka na Menejiment ifanye makosa pia? Wewe una barua ya ajira inayoonyesha mshahara wako, unapopaswa kuanzia, nyongeza ya kila mwaka na kadhalika. Wewe mwenyewe umetia saini kukubali mkataba huo. Bila shaka unalipwa kulingana na barua yako ya ajira. Kama kuna kiasi kinazidi kutoka Hazina, Menejiment ya UDOM inapaswa kurudisha kinachozidi HAZINA. ukidai ulipwe haki si yako ni ufisadi. Mbona huzungumzii wafanyakazi wanaoletewa fedha pungufu za mishahara yao toka hazina kama wewe ni mkweli? Unavyowadanganya wenzako kuwa waendelee kudai tofauti ya kiasi cha mshahara unaotoka Hazina na unaolipwa na UDOM kwa mujibu wa mikataba yenu ya ajira unawapotezea muda. Hili haliwezekani hata kama utadai miaka 1000 wacha siku 2. Kulipwa tofauti unayodai ni kuvunja sheria na wewe unalijua hilo. Kwa kuwa serikali haiwezi kuvunja sheria, hata ukidai kwa rais wa jamhuri hawezi kusikilia upuuzi wako. Wewe unatia aibu wasomi wa nchi hii. Kumbe hujui hata sheria ndogo ndogo za kazi?


Sera ya Mazishi
Leo nimeona tangazo linalowataka wafanyakazi wasiotaka kuendelea na sera ya mazishi wajitoe, mbona hili husemi.

Bwana Paul Loisulie, wewe ulitumwa kwenda Dar kufuatilia masuala ya mishahara, umeshaieleza Menejimenti kilichojiri huko? Mmefikia muafaka gani na menejiment? Mbona husemi kama ulilipwa pesa za kwenda Dar kwa masuala hayo? Wewe ni mwizi, kwa nini umechukuwa michango ya wanachama wa UDOMASA wakati Menejimeti ya UDOM imekulipa zaidi ya laki nne kwa safari yako ya Dar kama posho ya kujikimu na nauli?

Sisi tunaipenda UDOM, tunataka watoto wetu wasomeshwe. Serikali ilishatangaza mishahara mipya na italipwa tu. Migogoro ya nini?
Mishahara kulipwa tofauti iachie Menejiment na HAZINA. Wewe kama ni Mzalendo kweli ifahamishe HAZINA ufisadi wa uongozi wa UDOM kisha waachie wenyewe washughulikiane. Kama una ushahidi zaidi wa ufisadi peleka TAKUKURU wafanye kazi zao. Mbona hili hufanyi?

Wewe umepoteza siku mbili bila kufanya kazi, je ukatwe mshahara? Kama sivyo, huu nao si ufisadi?

Menejiment ya UDOM ikikuchukulia hatua za kisheria utalia na nani? Usiwaponze wenzio bila sababu za msingi.

WEWE HUFAI KUWA MWENYEKITI WA UDOMASA. ACHIA WATU WENYE UWEZO NA UPEO NAFASI HIYO. KWA NINI HUTAKI KUJIFUNZA KUTOKA KWA MZEE SHIVJI AU MAREHEMU CHACHAGE ENZI ZA UDASA. HAWA HAWAJAHI KUWA NA MADAI YA KIPUUZI KAMA HAYA YAKO.
 
WAHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), wameendeleza msimamao wao wa kutoingia madarasani kufundisha, hadi watakapopata maelezo ya kutosha kutoa kwa Rais au Hazina, juu ya marekebisho ya mishahara yao mipya.

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanataaluma wa Chuo hicho (UDOMASA), Paul Loisulie, alisema nje ya ukumbi wa mikutano katika jengo la Utawala la zamani kuwa mkutano huo utaendelea hadi atakapokuja Rais Jakaya Kikwete au watakapopata maelezo ya kutosha kutoka Hazina.

Mwenyekiti huyo alisema mpaka sasa hawajafikia mwafaka, kwani hawajapata maelezo ya kutosha juu ya muda wa kupata mishahara utofauti mkubwa uliopo ukilinganishwa na kazi yao.

Msimamo huo unatokana na tukio la juzi la wahadhiri kutoingia darasani na kufanya kile walichokiita mkutano endelevu ili kujadili hatma ya maslahi yao, ikiwa ni pamoja na mshahara mpya na fedha za kujikimu.

Loisulie alisema uongozi wao umeshaandika barua kwa Rais Kikwete na kupeleka malalamiko yao na kutumwa Ofisi ya Wizara ya Elimu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Wizara ya Fedha, Ofisi ya Makamu wa Rais na UDOM.

Alisema wahadhiri hawana mpango wa kugoma, lakini hawataingia madarasani mpaka
watakapopata ufumbuzi wa suala lao.

Loisulie alisema tangu mshahara mpya uanze kulipwa, hawajapata fedha hizo ikiwa ni pamoja
na za kujikimu ambazo ni haki ya kila mwajiriwa.

Alisema wamelazimika kusimamia msimamo wao baada ya kugundua kuwa wafanyakazi wa UDOM hupewa 'Pay Slip' badala ya ‘Salary Slip' kutoka Hazina.

Makamu Mkuu wa UDOM, Profesa Idris Kikula, alisema madai ya wahadhiri hao si ya msingi bali ni ukosefu wa welewa.

Alisema madai ya kukosa mishahara na fedha za kujikimu ni suala ambalo lipo katika hatua ambazo zinaweza kutatuliwa badala ya kuendeleza migomo na kususa kuingia madarasani.

Alidai kuwa mishahara inayotolewa kwa wafanyakazi wa chuo hicho hailingani kutokana na kila mtu na nafasi yake ya kazi na kuna walimu ambao majina yao hayaonekani Hazina na wanalazimika kulipwa na chuo.

Alisema mishahara inayotoka Hazina inatofautiana na stahili za wahadhiri hao, kwa sababu mingine ni mikubwa kuliko cheo cha mtu na mingine ni midogo kuliko stahili ambayo anapaswa kupewa mhadhiri, hivyo chuo kinaweka uwiano wa mishahara kutokana na cheo na muda ambao mfanyakazi amekuwa kazini.
 
Nadhani tumeona rangi halisi ya wachache wanavyotumia njia za ajabu kujikisanyia mapato na utajiri huku wakiwaumiza wenzao bila huruma!
 
moto unawaunguza, mamkwe habari ya usaliti, mambo yanaendaje? au kwa sababu umepewa nyumba nzima ukakaa peke yako kwa maelekezo ya PFA au unadhani hatujui, utachemka sana mwaka huu sawa ma......
 
Ifike mahali mafisadi muogope uwepo wa Mungu!!!mnyonge mnyongen lakin haki yake mpeni!eti mshahara unaozd hurudishwa hazina!! Labda hili lingewezekana endapo uongozi wa Fedha UDOM ungekuwa chini ya MALAIKA MKUU GABRIEL!!
 
Ifike mahali mafisadi muogope uwepo wa Mungu!!!mnyonge mnyongen lakin haki yake mpeni!eti mshahara unaozd hurudishwa hazina!! Labda hili lingewezekana endapo uongozi wa Fedha UDOM ungekuwa chini ya MALAIKA MKUU GABRIEL!!
 
WE MAMKWE kibaraka mkubwa huna hoja vielelezo vyote UDOMASA wanavyo na copy zimeshatumwa TAKUKURU NA katika wizara zote husika. Hakuna mjadala hawa mafisadi lazima wafikishwe mahakamani. Umeona wapi mhahara wa serikali ukatofautiana kwa watu wa daraja moja???? Kashfa hii haikwepeki kirahisi tunajua uongozi wa UDOM umekua na kawaida ya kuwapatia bahasha baadhi waandishi wa habari wa dodoma ili wasiandike mambo mazito yanayohatarisha nyazfa zao lakini kwa hili la ufisadi ukweli utabainika.

JF ni jamvi linaloheshimika sana na watu wenye akili zao. Mimi si mmoja wa wanajumuia ya UDOM kama nilivyojitambulisha kuwa ni mkazi wa viunga vya Unguja kitongoji kinachoitwa Kisimamkojo. Kwangu na walalahoi wenzangu UDOM imekuja kama mkombozi. Hapa kitongojini tuna vijana kadhaa ambao wanasoma UDOM na wengine wamemaliza na wamepata ajira na hivi sasa wanawasitiri wazee wao. Bila UDOM wangeishia forodhani kufanya kazi za ukuli au uvuvi. Ninajua kwa wasiopenda UDOM iendelee kuwepo watasema mengi, wataniita watakavyo, mimi sijali. Ukweli unabaki palepale UDOM ni chuo kipya na kimeanza kwa kasi kubwa. Matatizo ya hapa na pale nakiri yanaweza kuwepoa kama ilivyo katika taasisi nyingine za umma na binafsi. Nisichokipenda ni unafiki wa viongozi wa UDOMASA ukiongozwa na Mwenyekiti wao. Niliamua kufuatilia matatizo ya UDOM pande zote mbili za wanafunzi na waalimu wao na wafanyakazi wengine.

1. Wanafunzi ambao ni pamoja na ami zangu jana jioni walinieleza kuwa uongozi wa wanafunzi na menejimenti walikutana na kuna mambo wamekubaliana yatatekelezwa na pande zote mbili. TUSUBIRI MATOKEO

2. Wafanyakazi wanataaluma nina hakika kuna mambo ambayo viongozi wao hawawafikishii. Hoja zangu za jana zinalenga kuonyesha upande wa pili wa shilingi. Hakuna cha usaliti wala vitisho.

3. Taarifa zinazotoka kwa wanataaluma hao hao zinasema kuwa Mwenyekiti na Katibu wake walitumwa pamoja na watu wengine kwenda Dar es Salaam Wizara ya Fedha kufuatilia matatizo ya ulipaji wa mishahara ya UDOM. Kuna mambo yalijitokeza ikiwa na pamoja na baadhi ya wafanyakazi kutopelekewa mishahara yao. Baadhi ya Wafanyakazi kupelekewa fedha pungufu za mishahara yao. Hili UDOMASA hawalizungumzi kabisaaaa.

4. Hivi sasa vyuo vikuu vya umma vinaandaa mfumo wa utumishi wa pamoja, nilitarajia UDOMASA kama wadau wangedai ushiriki wao kwa hili pia

5. Katika harakati zangu za kufuatilia kadhia hii leo saa 2.30 nimezfanikiwa kuzungumza na ami yangu mwajiriwa wa HAZINA kitengo cha kompyuta, anasema zoezi la ulipaji wa mishahara mipya lilifanywa kwa haraka sana, wafanyakazi ni wengi na kuna uwezekano mkubwa wa kutokea makosa katika uingizaji wa data. Taasisi nyingi zimelalamika. Kwa sasa wanafanya marekebisho. Bila shaka viongozi wa UDOMASA walipokwenda Dar walipata taarifa hizo. Kwa nini hawawaambii wafanyakazi wenzao haya?

6. Nimezungumza pia na ami yangu aliyepo skuli ya sanaa, anasema muswada wa sera ya mazishi ulipelekwa kwa wadau zikiwemo idara, skuli, UDOMASA na hata RAAWU kabla ya kupitishwa na Baraza la Chuo. Wafanyakazi kadhaa wamenufaika na mfuko huo. Hata hivyo kama Menejimenti imesema asiyetaka ajitoe, tatizo ni nini? Si ajitoe tu.

7.Kama UDOM kuna ufisadi na taarifa zimeshafikishwa TAKUKURU, bila shaka wahusika wameshaanza kuzifanyia kazi taarifa hizo na matokeo yataonekana tu.

8. UDOMASA imenifanya nipitie nyaraka nyingi za zamani kuhusu UDASA, naona wenzao wa UDASA walikuwa na madai na nyenzo za kudai zenye mantiki. Nawashauri hawa vijana wakajifunze kwa wenzao wa UDASA.

9. Mgomo huu unatuumiza sisi wakulima na wavuvi ambao watoto wetu wanasoma hapo chuoni kwani hatuna pesa za kuwahamishia vyuo vingine.

MWISHO NAAMINI JF NI JUKWAA LA GREAT THINKERS. LET US THINK ALOUD !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
wewe acha unafiki mwambie huyo ami yako akupashe vizuri taarifa zote wafanyakazi wanazo hakuna taarifa yoyote ambayo viongozi wa udomasa hawajaifikisha kwa wenzao yote unayojifanya hayajafika yamefika na wanazo with details a - z, andika vitu vyenye msingi na si porojo.

'be a great thinker'
 
JF ni jamvi linaloheshimika sana na watu wenye akili zao. Mimi si mmoja wa wanajumuia ya UDOM kama nilivyojitambulisha kuwa ni mkazi wa viunga vya Unguja kitongoji kinachoitwa Kisimamkojo. Kwangu na walalahoi wenzangu UDOM imekuja !!
Wewe tunakufahamu kabisa wewe si mkazi wa zanzibar, hebu kumbuka mazungumzo yako popote juu ya kwamba wanaudom wanachuki binafsi na... na ndio mada zako katika jamvi, unafanyakazi college ya informatics, kwa ushahidi wa thread zako, wewe ni mdini mkubwa kwa makala zako, wewe unaitwa ma... ukichangia tena kwa lengo la kupotosha ninakutaja, hadi kabila lako umejitambulisha katika jamvi. chunga sana ndugu yangu kwani katiba ya Udomasa inaenda kukuwajibisha kabisa
 
We maMkwe unaongea nini?
Unaona madai ya walimu hayana msingi au na wewe upo kitengo cha juu?
Mambo yenu yashakuwa wazi. Mtafute namna ya kujimuvuzisha.
Naichukia management ya chuo inajali matumbo yao na misura yao iliyozeeka.
Halafu huyo babu mlacha utafikiri hajasoma jamani.
Ama kweli udom no mlacha no cry.
Walimu endeleeni na hakuna kulala hadi kisomeke.
 
Vyuo kulipa mishahara tofauti na inayotolewa na hazina ni mchezo ambao upo sana hapa bongo. Mfano ni Chuo cha uhasibu arusha (IAA) ambao kwa miaka mingi walikuwa wakiwalipa wafanyakazi mishahara pungufu, ilipokuja kugundulika wafanyakazi walilipwa milioni kadhaa. Madai haya ni ya msingi yasipuuziwe. Vilevile, watu wawe makini, wacje wakachakachua, ikaonekana makosa yalifanyika hazina
 
JF ni jamvi linaloheshimika sana na watu wenye akili zao. Mimi si mmoja wa wanajumuia ya UDOM kama nilivyojitambulisha kuwa ni mkazi wa viunga vya Unguja kitongoji kinachoitwa Kisimamkojo. Kwangu na walalahoi wenzangu UDOM imekuja kama mkombozi. Hapa kitongojini tuna vijana kadhaa ambao wanasoma UDOM na wengine wamemaliza na wamepata ajira na hivi sasa wanawasitiri wazee wao. Bila UDOM wangeishia forodhani kufanya kazi za ukuli au uvuvi. Ninajua kwa wasiopenda UDOM iendelee kuwepo watasema mengi, wataniita watakavyo, mimi sijali. Ukweli unabaki palepale UDOM ni chuo kipya na kimeanza kwa kasi kubwa. Matatizo ya hapa na pale nakiri yanaweza kuwepoa kama ilivyo katika taasisi nyingine za umma na binafsi. Nisichokipenda ni unafiki wa viongozi wa UDOMASA ukiongozwa na Mwenyekiti wao. Niliamua kufuatilia matatizo ya UDOM pande zote mbili za wanafunzi na waalimu wao na wafanyakazi wengine.

1. Wanafunzi ambao ni pamoja na ami zangu jana jioni walinieleza kuwa uongozi wa wanafunzi na menejimenti walikutana na kuna mambo wamekubaliana yatatekelezwa na pande zote mbili. TUSUBIRI MATOKEO

2. Wafanyakazi wanataaluma nina hakika kuna mambo ambayo viongozi wao hawawafikishii. Hoja zangu za jana zinalenga kuonyesha upande wa pili wa shilingi. Hakuna cha usaliti wala vitisho.

3. Taarifa zinazotoka kwa wanataaluma hao hao zinasema kuwa Mwenyekiti na Katibu wake walitumwa pamoja na watu wengine kwenda Dar es Salaam Wizara ya Fedha kufuatilia matatizo ya ulipaji wa mishahara ya UDOM. Kuna mambo yalijitokeza ikiwa na pamoja na baadhi ya wafanyakazi kutopelekewa mishahara yao. Baadhi ya Wafanyakazi kupelekewa fedha pungufu za mishahara yao. Hili UDOMASA hawalizungumzi kabisaaaa.

4. Hivi sasa vyuo vikuu vya umma vinaandaa mfumo wa utumishi wa pamoja, nilitarajia UDOMASA kama wadau wangedai ushiriki wao kwa hili pia

5. Katika harakati zangu za kufuatilia kadhia hii leo saa 2.30 nimezfanikiwa kuzungumza na ami yangu mwajiriwa wa HAZINA kitengo cha kompyuta, anasema zoezi la ulipaji wa mishahara mipya lilifanywa kwa haraka sana, wafanyakazi ni wengi na kuna uwezekano mkubwa wa kutokea makosa katika uingizaji wa data. Taasisi nyingi zimelalamika. Kwa sasa wanafanya marekebisho. Bila shaka viongozi wa UDOMASA walipokwenda Dar walipata taarifa hizo. Kwa nini hawawaambii wafanyakazi wenzao haya?

6. Nimezungumza pia na ami yangu aliyepo skuli ya sanaa, anasema muswada wa sera ya mazishi ulipelekwa kwa wadau zikiwemo idara, skuli, UDOMASA na hata RAAWU kabla ya kupitishwa na Baraza la Chuo. Wafanyakazi kadhaa wamenufaika na mfuko huo. Hata hivyo kama Menejimenti imesema asiyetaka ajitoe, tatizo ni nini? Si ajitoe tu.

7.Kama UDOM kuna ufisadi na taarifa zimeshafikishwa TAKUKURU, bila shaka wahusika wameshaanza kuzifanyia kazi taarifa hizo na matokeo yataonekana tu.

8. UDOMASA imenifanya nipitie nyaraka nyingi za zamani kuhusu UDASA, naona wenzao wa UDASA walikuwa na madai na nyenzo za kudai zenye mantiki. Nawashauri hawa vijana wakajifunze kwa wenzao wa UDASA.

9. Mgomo huu unatuumiza sisi wakulima na wavuvi ambao watoto wetu wanasoma hapo chuoni kwani hatuna pesa za kuwahamishia vyuo vingine.

MWISHO NAAMINI JF NI JUKWAA LA GREAT THINKERS. LET US THINK ALOUD !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

MaMkwe kweli umejidharilisha na pia ni muoga. YOU ARE COWARD!!!. Kumbuka hili ni janvi la Great Thinkers kama ulivyosema lakini sidhani kama wewe ni mmoja wao. Yaani unapokea taarifa na kumeza tu bila kutafakari, unarusha mashambulizi kama msemaji wa management ya UDOM!! Mimi nadhani ungeleta hoja zako kama tetesi ukawaachia wana JF kufanya uchambuzi. Great Thinker nadhani anatakiwa awe na busara possibly kuchagua maneno ya kutumia hasa unapomuongelea mtu binafsi. Kitu kingine majibu yako ni kwa mtoa hoja-Colgate au Paul Loisulie?

Du! Pole sana ndg. yangu.
 
JF ni jamvi linaloheshimika sana na watu wenye akili zao. Mimi si mmoja wa wanajumuia ya UDOM kama nilivyojitambulisha kuwa ni mkazi wa viunga vya Unguja kitongoji kinachoitwa Kisimamkojo. Kwangu na walalahoi wenzangu UDOM imekuja kama mkombozi. Hapa kitongojini tuna vijana kadhaa ambao wanasoma UDOM na wengine wamemaliza na wamepata ajira na hivi sasa wanawasitiri wazee wao. Bila UDOM wangeishia forodhani kufanya kazi za ukuli au uvuvi. Ninajua kwa wasiopenda UDOM iendelee kuwepo watasema mengi, wataniita watakavyo, mimi sijali. Ukweli unabaki palepale UDOM ni chuo kipya na kimeanza kwa kasi kubwa. Matatizo ya hapa na pale nakiri yanaweza kuwepoa kama ilivyo katika taasisi nyingine za umma na binafsi. Nisichokipenda ni unafiki wa viongozi wa UDOMASA ukiongozwa na Mwenyekiti wao. Niliamua kufuatilia matatizo ya UDOM pande zote mbili za wanafunzi na waalimu wao na wafanyakazi wengine.

1. Wanafunzi ambao ni pamoja na ami zangu jana jioni walinieleza kuwa uongozi wa wanafunzi na menejimenti walikutana na kuna mambo wamekubaliana yatatekelezwa na pande zote mbili. TUSUBIRI MATOKEO

2. Wafanyakazi wanataaluma nina hakika kuna mambo ambayo viongozi wao hawawafikishii. Hoja zangu za jana zinalenga kuonyesha upande wa pili wa shilingi. Hakuna cha usaliti wala vitisho.

3. Taarifa zinazotoka kwa wanataaluma hao hao zinasema kuwa Mwenyekiti na Katibu wake walitumwa pamoja na watu wengine kwenda Dar es Salaam Wizara ya Fedha kufuatilia matatizo ya ulipaji wa mishahara ya UDOM. Kuna mambo yalijitokeza ikiwa na pamoja na baadhi ya wafanyakazi kutopelekewa mishahara yao. Baadhi ya Wafanyakazi kupelekewa fedha pungufu za mishahara yao. Hili UDOMASA hawalizungumzi kabisaaaa.

4. Hivi sasa vyuo vikuu vya umma vinaandaa mfumo wa utumishi wa pamoja, nilitarajia UDOMASA kama wadau wangedai ushiriki wao kwa hili pia

5. Katika harakati zangu za kufuatilia kadhia hii leo saa 2.30 nimezfanikiwa kuzungumza na ami yangu mwajiriwa wa HAZINA kitengo cha kompyuta, anasema zoezi la ulipaji wa mishahara mipya lilifanywa kwa haraka sana, wafanyakazi ni wengi na kuna uwezekano mkubwa wa kutokea makosa katika uingizaji wa data. Taasisi nyingi zimelalamika. Kwa sasa wanafanya marekebisho. Bila shaka viongozi wa UDOMASA walipokwenda Dar walipata taarifa hizo. Kwa nini hawawaambii wafanyakazi wenzao haya?

6. Nimezungumza pia na ami yangu aliyepo skuli ya sanaa, anasema muswada wa sera ya mazishi ulipelekwa kwa wadau zikiwemo idara, skuli, UDOMASA na hata RAAWU kabla ya kupitishwa na Baraza la Chuo. Wafanyakazi kadhaa wamenufaika na mfuko huo. Hata hivyo kama Menejimenti imesema asiyetaka ajitoe, tatizo ni nini? Si ajitoe tu.

7.Kama UDOM kuna ufisadi na taarifa zimeshafikishwa TAKUKURU, bila shaka wahusika wameshaanza kuzifanyia kazi taarifa hizo na matokeo yataonekana tu.

8. UDOMASA imenifanya nipitie nyaraka nyingi za zamani kuhusu UDASA, naona wenzao wa UDASA walikuwa na madai na nyenzo za kudai zenye mantiki. Nawashauri hawa vijana wakajifunze kwa wenzao wa UDASA.

9. Mgomo huu unatuumiza sisi wakulima na wavuvi ambao watoto wetu wanasoma hapo chuoni kwani hatuna pesa za kuwahamishia vyuo vingine.

MWISHO NAAMINI JF NI JUKWAA LA GREAT THINKERS. LET US THINK ALOUD !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Muungwana, hata kwa mtu ambaye alisomea chuo cha kata..atajua maelezo yako ni yakinafiki na hayana chembe yoyote ya ukweli. What I see wewe ni mmoja wa staff wa hapo UDOM na kwa bahati uko on the "other side of the fence" ukineemeka kwa matatizo ya wenzako. Lakini ushuri wangu...historia ni mwalimu mzuri. Be very careful. Dont mortgage your future on somebody`s shoulders. Inawezekana kesho akaingia mwingine. Au ukahamia ofisi nyingine ambayo hujulikani..ambapo itategemea jitihada na uwezo wako kupanda cheo au "kuneemeka" So be objective and try to be yourself. Na hata hao wakubwa wakijua where you stand. They will respect you.


Kind regards,
 
KUDADADEKI!:Cry:

Sasa mie naidai UDOM kiasi gani? Paul- hebu KOMAA kaka Solidarity forever!

TUKO PAMOJA KAKA

Yaani ningekuwa Huko sijui-INGEKUWAJE

TAABU
 
Wacha kudanganya watu. Wewe unaelewa fika unachosema si sahihi. Na ukweli unao.

I. Mishahara mipya
Unafahamu kwa takwimu ulizopewa na Menejimeti kuwa hayumkini kuwa HAZINA walileta mishahara mipya mwezi Novemba kama unavyodai.
Taarifa nilizonazo, umepewa copies za ex-chequers kuanzia mwezi wa saba zinazoonyesha kuwa UDOM imekuwa ikipokea fedha pungufu za mishahara toka HAZINA. Copies hizo zinaonyesha kuwa mwezi Oktoba na Novemba UDOM ilipokea kiasi cha fedha kinachofanana na hakuna ongezeko kama wewe na huyo jamaa wako wa HAZINA mnavyodai. Ushahidi huo unao.

2. Malipo ya fedha za kujikimu
Makamu Mkuu wa Chuo alishatolea maelezo kwenye mkutano wake na wafanyakazi kuwa Chuo kimeamua kutoa kwa awamu. Wewe hutaki wenzio walioanza kazi mwaka 2007 wapate pesa zao ndiyo maana unawadanganya.

3. Safari ya Msarifu na Mkurugenzi wa Rasilimali Dar es Salaam
Viongozi hawa wanaripoti UDOMASA au kwa Management? Uliambiwa baada ya kikao chenu kazi zote zilisimama. Wewe ni muongo, unajua kabisa kuwa viongozi hawa walikwenda Dar es Salaam kuwasilisha bajeti za mwaka ujao wa fedha. Kwa nini unataka kudanganya wenzio? Usitumie shida za wengine kujitafutia umaarufu.

4. Ulipwaji wa mishahara
Hakuna wizi kama unavyodai. Kama data clerk wa hazina alifanya makosa unataka na Menejiment ifanye makosa pia? Wewe una barua ya ajira inayoonyesha mshahara wako, unapopaswa kuanzia, nyongeza ya kila mwaka na kadhalika. Wewe mwenyewe umetia saini kukubali mkataba huo. Bila shaka unalipwa kulingana na barua yako ya ajira. Kama kuna kiasi kinazidi kutoka Hazina, Menejiment ya UDOM inapaswa kurudisha kinachozidi HAZINA. ukidai ulipwe haki si yako ni ufisadi. Mbona huzungumzii wafanyakazi wanaoletewa fedha pungufu za mishahara yao toka hazina kama wewe ni mkweli? Unavyowadanganya wenzako kuwa waendelee kudai tofauti ya kiasi cha mshahara unaotoka Hazina na unaolipwa na UDOM kwa mujibu wa mikataba yenu ya ajira unawapotezea muda. Hili haliwezekani hata kama utadai miaka 1000 wacha siku 2. Kulipwa tofauti unayodai ni kuvunja sheria na wewe unalijua hilo. Kwa kuwa serikali haiwezi kuvunja sheria, hata ukidai kwa rais wa jamhuri hawezi kusikilia upuuzi wako. Wewe unatia aibu wasomi wa nchi hii. Kumbe hujui hata sheria ndogo ndogo za kazi?


Sera ya Mazishi
Leo nimeona tangazo linalowataka wafanyakazi wasiotaka kuendelea na sera ya mazishi wajitoe, mbona hili husemi.

Bwana Paul Loisulie, wewe ulitumwa kwenda Dar kufuatilia masuala ya mishahara, umeshaieleza Menejimenti kilichojiri huko? Mmefikia muafaka gani na menejiment? Mbona husemi kama ulilipwa pesa za kwenda Dar kwa masuala hayo? Wewe ni mwizi, kwa nini umechukuwa michango ya wanachama wa UDOMASA wakati Menejimeti ya UDOM imekulipa zaidi ya laki nne kwa safari yako ya Dar kama posho ya kujikimu na nauli?

Sisi tunaipenda UDOM, tunataka watoto wetu wasomeshwe. Serikali ilishatangaza mishahara mipya na italipwa tu. Migogoro ya nini?
Mishahara kulipwa tofauti iachie Menejiment na HAZINA. Wewe kama ni Mzalendo kweli ifahamishe HAZINA ufisadi wa uongozi wa UDOM kisha waachie wenyewe washughulikiane. Kama una ushahidi zaidi wa ufisadi peleka TAKUKURU wafanye kazi zao. Mbona hili hufanyi?

Wewe umepoteza siku mbili bila kufanya kazi, je ukatwe mshahara? Kama sivyo, huu nao si ufisadi?

Menejiment ya UDOM ikikuchukulia hatua za kisheria utalia na nani? Usiwaponze wenzio bila sababu za msingi.

WEWE HUFAI KUWA MWENYEKITI WA UDOMASA. ACHIA WATU WENYE UWEZO NA UPEO NAFASI HIYO. KWA NINI HUTAKI KUJIFUNZA KUTOKA KWA MZEE SHIVJI AU MAREHEMU CHACHAGE ENZI ZA UDASA. HAWA HAWAJAHI KUWA NA MADAI YA KIPUUZI KAMA HAYA YAKO.


Huyu ni mlacha au Ame
 
Wacha kudanganya watu. Wewe unaelewa fika unachosema si sahihi. Na ukweli unao.

I. Mishahara mipya
Unafahamu kwa takwimu ulizopewa na Menejimeti kuwa hayumkini kuwa HAZINA walileta mishahara mipya mwezi Novemba kama unavyodai.
Taarifa nilizonazo, umepewa copies za ex-chequers kuanzia mwezi wa saba zinazoonyesha kuwa UDOM imekuwa ikipokea fedha pungufu za mishahara toka HAZINA. Copies hizo zinaonyesha kuwa mwezi Oktoba na Novemba UDOM ilipokea kiasi cha fedha kinachofanana na hakuna ongezeko kama wewe na huyo jamaa wako wa HAZINA mnavyodai. Ushahidi huo unao.

2. Malipo ya fedha za kujikimu
Makamu Mkuu wa Chuo alishatolea maelezo kwenye mkutano wake na wafanyakazi kuwa Chuo kimeamua kutoa kwa awamu. Wewe hutaki wenzio walioanza kazi mwaka 2007 wapate pesa zao ndiyo maana unawadanganya.

3. Safari ya Msarifu na Mkurugenzi wa Rasilimali Dar es Salaam
Viongozi hawa wanaripoti UDOMASA au kwa Management? Uliambiwa baada ya kikao chenu kazi zote zilisimama. Wewe ni muongo, unajua kabisa kuwa viongozi hawa walikwenda Dar es Salaam kuwasilisha bajeti za mwaka ujao wa fedha. Kwa nini unataka kudanganya wenzio? Usitumie shida za wengine kujitafutia umaarufu.

4. Ulipwaji wa mishahara
Hakuna wizi kama unavyodai. Kama data clerk wa hazina alifanya makosa unataka na Menejiment ifanye makosa pia? Wewe una barua ya ajira inayoonyesha mshahara wako, unapopaswa kuanzia, nyongeza ya kila mwaka na kadhalika. Wewe mwenyewe umetia saini kukubali mkataba huo. Bila shaka unalipwa kulingana na barua yako ya ajira. Kama kuna kiasi kinazidi kutoka Hazina, Menejiment ya UDOM inapaswa kurudisha kinachozidi HAZINA. ukidai ulipwe haki si yako ni ufisadi. Mbona huzungumzii wafanyakazi wanaoletewa fedha pungufu za mishahara yao toka hazina kama wewe ni mkweli? Unavyowadanganya wenzako kuwa waendelee kudai tofauti ya kiasi cha mshahara unaotoka Hazina na unaolipwa na UDOM kwa mujibu wa mikataba yenu ya ajira unawapotezea muda. Hili haliwezekani hata kama utadai miaka 1000 wacha siku 2. Kulipwa tofauti unayodai ni kuvunja sheria na wewe unalijua hilo. Kwa kuwa serikali haiwezi kuvunja sheria, hata ukidai kwa rais wa jamhuri hawezi kusikilia upuuzi wako. Wewe unatia aibu wasomi wa nchi hii. Kumbe hujui hata sheria ndogo ndogo za kazi?


Sera ya Mazishi
Leo nimeona tangazo linalowataka wafanyakazi wasiotaka kuendelea na sera ya mazishi wajitoe, mbona hili husemi.

Bwana Paul Loisulie, wewe ulitumwa kwenda Dar kufuatilia masuala ya mishahara, umeshaieleza Menejimenti kilichojiri huko? Mmefikia muafaka gani na menejiment? Mbona husemi kama ulilipwa pesa za kwenda Dar kwa masuala hayo? Wewe ni mwizi, kwa nini umechukuwa michango ya wanachama wa UDOMASA wakati Menejimeti ya UDOM imekulipa zaidi ya laki nne kwa safari yako ya Dar kama posho ya kujikimu na nauli?

Sisi tunaipenda UDOM, tunataka watoto wetu wasomeshwe. Serikali ilishatangaza mishahara mipya na italipwa tu. Migogoro ya nini?
Mishahara kulipwa tofauti iachie Menejiment na HAZINA. Wewe kama ni Mzalendo kweli ifahamishe HAZINA ufisadi wa uongozi wa UDOM kisha waachie wenyewe washughulikiane. Kama una ushahidi zaidi wa ufisadi peleka TAKUKURU wafanye kazi zao. Mbona hili hufanyi?

Wewe umepoteza siku mbili bila kufanya kazi, je ukatwe mshahara? Kama sivyo, huu nao si ufisadi?

Menejiment ya UDOM ikikuchukulia hatua za kisheria utalia na nani? Usiwaponze wenzio bila sababu za msingi.

WEWE HUFAI KUWA MWENYEKITI WA UDOMASA. ACHIA WATU WENYE UWEZO NA UPEO NAFASI HIYO. KWA NINI HUTAKI KUJIFUNZA KUTOKA KWA MZEE SHIVJI AU MAREHEMU CHACHAGE ENZI ZA UDASA. HAWA HAWAJAHI KUWA NA MADAI YA KIPUUZI KAMA HAYA YAKO.



Unatia aibu wanaUDOM maana hufai kuwa hata mwalimu wa chekechea, kichwa chako kimejaa makamasi, tunakuomba ujiuzuru hiyo position ya uDVC-Planning, Finance and Administration, urudi TUKI ukasaidie mambo ya kiswahili, wahadhiri walikueshimu sana mwanzo, ila saivi wakikuona na ulivyo mfupi kama kimbha la juzi, wanatema mate chini! Shame on you Profesa Mlacha, tunajua fedha ulizoiba UDOM umejengea sekondari yako huko Moshi, tunaandaa vielelezo, lazima usimame mahakamani mwaka huu, Kidampa mkubwa!
 
Back
Top Bottom