Mgomo wa Simu Utafeli...


Mwanakijiji anadhani watanzania mambumbumbu.

Tangu alipomshauri Kadinali Pengo aanzishe vita nchini watu werevu wamemuelewa vizuri kuwa hana nia njema na nchi yetu. Ndio maana mgomo wake umedorora...
 

Mtu masikini hawezi kuwa na lugha chafu hadharani kama wewe. Acha uongo, wewe sio masikini - LIPA KODI...
 


Mwanakijiji sio tatizo, tatizo ni magambas walioelewa madaraka hawajui ama wameamua makusudi kutojua shida za huyo mbongo ambaye wamemfakirisha. Bado wanataka waendelee kukamua ng'ombe ambaye hana hata tone la maziwa🙁
 
Bado kidogo tu;itakuwa ukimpigia mtu utakuwa unasikia hivi... SAMAHANI MTEJA UNAEMPIGIA ANADAIWA KODI YA LAINI YA MWEZI TAFADHALI MCHANGIE TUMFUNGULIE LAINI YAKE... Mtajuta mbona, maisha bora kwa kila mtanzania.
 


Anaejua biashara yake inategemea simu ataamua nn cha kufanya, acheni kuwasemea watu, kwani mwanakijiji amelazimisha mtu azime simu? Mbona mnapiga debe sana kulikoni?
 

Mi sigomi kabisaa...
 
Mtoa mada ndio mchangia mada, ukianza page ya 1,2,3 zote ni yeye tu anatamba.

Jitaidi mkuu Zemacropolo unatisha.
 
Hii ya kufanya tathmini bola takwimu wala taarifa ni kitu ambacho daktari hatakiwi kabisa kufanya

anyway, vilaza wapo wa aina nyingi
 
Hebu waambie bhana hapa tunajadili hoja sio watu eti oooh mwanakijiji mwanakijiji; tunataka hoja wala mwanakijiji hajasema msiwasiliane na mashule na videti vyenu visiwepo yeye kasema zima laini kwa zamu leo zima voda tumia zingine kesho airtel tumia zingine. Watu hata uwezo wa kuelewa hawana wanarukiarukia tu maneno kwani hilo pengo wakiambiwa wauza unga walizibe watashindwa si wanajulikana
 
Mgeni rasmi Dr. Slaa alihudhuria?

Mlitakiwa msubiri afike ndo mshambulie, sasa nyie mkaanza kushambulia mapemaa ndo maana hakuja. Mlivyoona haji na u.zu.zu wenu mkamalizia hasira zenu kwa mtu aliyewahoji kwann mnashambulia watu wanaofungua tawi? Najua hutaelewa labda mpaka damu itoke sikion
 

"Amani inaletwa na haki" by juliasi mtatiro leo nkuruma

Je miCCM inatenda haki kwa watu au inasambulia mtu anayewafundisha haki zao raia kama Mzee Mwanakijiji.?
 
"Amani inaletwa na haki" by juliasi mtatiro leo nkuruma

Je miCCM inatenda haki kwa watu au inasambulia mtu anayewafundisha haki zao raia kama Mzee Mwanakijiji.?
Si unajua tena kazi ya akili ndogo
 
Anaejua biashara yake inategemea simu ataamua nn cha kufanya, acheni kuwasemea watu, kwani mwanakijiji amelazimisha mtu azime simu? Mbona mnapiga debe sana kulikoni?

Hatuzimi na kama anavyoshawishi yeye wazime na sisi tuna shawishi wasizime na nna uhakika tutashinda. Nani umfungie biashara zake kwa kishilingi elfu moja kwa mwezi?

Tuone kama kesho hamtaingia humu JF, halafu mtuambie mnatumia nini kuingia humu.
 
Naona kama majibizano ya ngonjera na shairi la
"Lumumba yangu wanitesa, lkn ntakupenda daima"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…