Mgomo wa malori waanza jijini Mbeya

Mgomo wa malori waanza jijini Mbeya

radika

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
20,450
Reaction score
32,291
Mgomo wa madereva wa malori waanza barabara ya Mbeya - Tunduma, Mkoani Songwe ambapo mpaka majira ya saa tatu asubuhi hakuna lori lililoonekana barabarani.

Chanzo ni dereva aliyepigwa na askari Mbeya siku 3 zilizopita na kufariki.

Umoja ni nguvu washikilie hapohapo nawapongeza sana.

Chanzo: ITV
 
Hii ndio hali halisi ya barabara ya Mbeya - Tunduma baada ya madereva kuitikia wito wa kugoma na kupuuza mikwara ya Mutafungwa .

FB_IMG_1612250958835.jpg
 
Wanahujumu uchumi hao, wenzao wa mabasi dsm walichimbwa mkwara kimia
 
Tatizo la mikataba kwa madereva lipo muda mrefu kwa Nini lisitatuliwe... Na serikali kuweka usimamizi ktk Hiyo changamoto...
 
Back
Top Bottom