Mgomo wa malori waanza jijini Mbeya

Mgomo wa malori waanza jijini Mbeya

Kwa ujinga wako unadhani hayo maroli niya watu wa mbeya
Mbeya sio bangi, ila wanajielewa. Kama CCM ingekuwa na uwezo wa kuwahoji polisi kutokana na udhalimu wanaowafanyia raia wasio na hatia, na kuwachukulia hatua , Basi tusingefika hapa
 
Mgomo wa madereva wa malori waanza barabara ya Mbeya - Tunduma, Mkoani Songwe ambapo mpaka majira ya saa tatu asubuhi hakuna lori lililoonekana barabarani.

Umoja ni nguvu washikilie hapohapo nawapongeza sana.


Chanzo itv
mleta mada hujaeleza chanzo Cha mgomo ni nn.weka sawa basi@radika
 
Kwani watu wa Mbeya wamekatazwa kuwa na malori? Hamna sehemu nimesema kuwa malori ni ya watu wa Mbeya. Mbeya is a country's gateway.
Ukweli unabaki palepale CCM haiwathamini raia na wala haiwatetei
ccm tena imefanyaje mkuu.
 
Mbeya sio bangi, ila wanajielewa. Kama CCM ingekuwa na uwezo wa kuwahoji polisi kutokana na udhalimu wanaowafanyia raia wasio na hatia, na kuwachukulia hatua , Basi tusingefika hapa
sio kwamba wanajielewa,niwatata by nature.simple insue kwao big insue.
 
Serikali nayo ni tatizo ndo maaana wafanya biasgara webgi huwanyonya wafanyakazi wao.
Tatizo la mikataba kwa madereva lipo muda mrefu kwa Nini lisitatuliwe... Na serikali kuweka usimamizi ktk Hiyo changamoto...
 
Back
Top Bottom