Wew wenzako wanafanya qz saiz, ww upo vimbweta kweli😆😆😆 acha upate INC, mana hakuna namna mkuuWaliogoma .....wafutiwe leseni .....maana hakuna namna
Waliogoma wafutiwe leseni maana hakuna namna
Hata Kiswahili hujui. Ni mzima wewe au umekimbia matibabu?Kiswahili safi kinashindikana kuandika kichwani zitakuwepo ww? Endelea kula ugar wa bure nyumbani kwenu
Hii ndio hali halisi ya barabara ya Mbeya - Tunduma baada ya madereva kuitikia wito wa kugoma na kupuuza mikwara ya Mutafungwa .
View attachment 1692325
.....mkuu af nilikuwa nataka niende mwanjelwa.....sasa bajaji cjui nao wamegomaWew wenzako wanafanya qz saiz, ww upo vimbweta kweli😆😆😆 acha upate INC, mana hakuna namna mkuu
......mkuu kumbuka wao wana mgogoro na waajir wao ....so impact inakuja kuonekana kwa wananchi wa kawaidaHivyo ni vitisho na sio njia salama kutatua mgogoro kwa vitisho.
Madereva wasikilizwe na endapo wapo sahihi wapewe haki yao.
Wewe utakuwa wakala wa shetaniMbona hiyo siyo stendi ni barabara!
ccmWewe utakuwa wakala wa shetani
Hapo mbona c mbali mkuu, chukua pisi kali ikupe kampani, unaweza kufika had nanenane kwa dak kadhaa tu bila kuchoka🤣🤣🤣🤣🤣.....mkuu af nilikuwa nataka niende mwanjelwa.....sasa bajaji cjui nao wamegoma
WamEshiBa hAoMbona mwishoni amesema pale?
Wanagoma kwasababu polisi walimpiga dereva wa Lori mpaka kumuua.
......hakika mkuu ....nilienda hadi kabwe .na Soweto..,😄😄Hapo mbona c mbali mkuu, chukua pisi kali ikupe kampani, unaweza kufika had nanenane kwa dak kadhaa tu bila kuchoka🤣🤣🤣🤣🤣
Hawanaga ushirikiano hao chuma nyingi zipo znamwaga moto barabaran matajiri wameombwa namba za lesen za madereva wao waliogoma maana wanaathiri had uchumi wa mmiliki wamepigwa mkwara wakalegea wenyewe